Hakuna anayemhujumu Rais Samia. Wananchi kwa macho yao wanaona namna anavyoboronga ila hawana mbadala kwa sasa

Hakuna anayemhujumu Rais Samia. Wananchi kwa macho yao wanaona namna anavyoboronga ila hawana mbadala kwa sasa

Kichwa cha hoja kinafikirisha, ila neno hawana mbadala nalo ni neno ila kwa kiongozi makini huwezi kukosa mbadala ila hawataki labda. New comers wanaweza kuwatoa kwenye mstari wao waliojiwekea, kumbuka African style first day in the office ndio siku ya kupanga ushindi wa uchaguzi ujao.
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Mfumuko wa bei ni duniani kote na ukiamgalia kwa East africa Tanzania ndio inaongoza kutokua na mfumuko mkubwa wa bei ukilinganisha na nchi zingine
 
Watanzania wanaelewa sana tobo liko wapi na wanamwelewa sana nahodha na kwamba kitambo sana yaliyomo hayamo
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
CCM MBELE KWA MBELE
 
Bora kutekana kuliko hali ya sasa....watu wanateseka mno. Umeme na maji ni vitu basic sana kwa mtanzania wa sasa....ila hayo hamyaoni.
Wananchi wanalalamika, Mrs tourism naye anawalalamikia wananchi.

Big sign of incompetence in that high office.
CCM MBELE KWA MBELE MPAKA AKILI ZIWAINGIE,"UONGOZI SIYO UWEZO WA MTU BINAFSI BALI UONGOZI NI MFUMO"UONGOZI NA GARI AU MACHINE YOYOTE NI KITU KIMOJA ISIPOKUWA TU MADREVA AU MAOPERATOR WANAWEZA KUWA TOFAUTI,CHOMBO KIKIWA KIZURI KITAENDESHWA VEMA NA KIKIWA KIBAYA KILA ATAKAYEKITUMIA LAZIMA APITIE MACHUNGU.
 
Kwa vile hakuna WATU WASIOJULIKANA na hakuna habari za kutekana tekana ovyo.

Hakuna kugawa kugawa fedha ovyo barabarani.

Matatizo mengine ni ya kimfumo wa wa CCM kuwa mbovu.
Huyu mama atutawale tu kule yule mzee wa Chato. Nchi iliongozwa kishamba mpaka ikawa aibu kusema I'M A TANZANIAN.
Afrocans were proud with magufuli but not fool tanzanians
 
Kwa vile hakuna WATU WASIOJULIKANA na hakuna habari za kutekana tekana ovyo.

Hakuna kugawa kugawa fedha ovyo barabarani.

Matatizo mengine ni ya kimfumo wa wa CCM kuwa mbovu.
Huyu mama atutawale tu kule yule mzee wa Chato. Nchi iliongozwa kishamba mpaka ikawa aibu kusema I'M A TANZANIAN.
We ni binadamu au kunguru?
 
Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya uongozi shupavu wa Rais mama Samia suluhu Hassani umekuwa Ni uongozi uliojikita katika kuwatumikia watanzania, imejikita katika kutatua matatizo ya watanzania,kutoa majibu kwa maswali, kuleta matumaini kwa waliokata Tamaa, kuonyesha njia kwa waliopoteza njia,kuleta mwanga kwenye maisha ya watanzania waliopoteza nuru na kuona Giza machoni mwao,kuleta Tabasamu katika maisha ya watanzania kwa walio na huzuni.

Hakuna kero ambayo haifanyiwi kazi na serikali ya Mama Samia,hakuna swali linalokosa majibu. Vijana Wana Imani na uongozi wa mama Samia kwani Ni mashahidi kuwa muda mfupi tu baada ya kuapishwa Rais Samia alitoa maelfu ya ajira katika secta mbalimbali zinazofikia elfu 42, Hali hii ilileta kicheko na furaha kwa vijana wengi wa kitanzania walioguswa na kupata ajira hizi

Ukienda katika wakulima unakuta wamejaa Tabasamu usoni Pao Hadi mioyoni mwao baada ya Rais Samia kutoa mbolea za Ruzuku ambazo zimewanufaisha wakulima wengi sana,.

Ukienda katika Afya,Elimu, n.k unakuta kazi kubwa imefanyika katika kugusa maisha ya mtanzania
Wapayukaji mpo. Mtapaka rangi Hadi mkome mama ni goigoi.
 
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa.

Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika hatamu. Maana umeme kero,.maji kero ajira kero na amayeumia ni mlalahoi.

Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?

Mama anaupiga mwingi kuumiza wanyonge!
Sio kweli kwamba wananchi hawana mbadala, ni kwamba wananchi wameridhika na kila hali hata kama ni hali ya mateso, wangekua hawajaridhika wangekua barabarani miaka mingi na tungeshaisahau ccm kabisaaa
 
Serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya uongozi shupavu wa Rais mama Samia suluhu Hassani umekuwa Ni uongozi uliojikita katika kuwatumikia watanzania, imejikita katika kutatua matatizo ya watanzania,kutoa majibu kwa maswali, kuleta matumaini kwa waliokata Tamaa, kuonyesha njia kwa waliopoteza njia,kuleta mwanga kwenye maisha ya watanzania waliopoteza nuru na kuona Giza machoni mwao,kuleta Tabasamu katika maisha ya watanzania kwa walio na huzuni.

Hakuna kero ambayo haifanyiwi kazi na serikali ya Mama Samia,hakuna swali linalokosa majibu. Vijana Wana Imani na uongozi wa mama Samia kwani Ni mashahidi kuwa muda mfupi tu baada ya kuapishwa Rais Samia alitoa maelfu ya ajira katika secta mbalimbali zinazofikia elfu 42, Hali hii ilileta kicheko na furaha kwa vijana wengi wa kitanzania walioguswa na kupata ajira hizi

Ukienda katika wakulima unakuta wamejaa Tabasamu usoni Pao Hadi mioyoni mwao baada ya Rais Samia kutoa mbolea za Ruzuku ambazo zimewanufaisha wakulima wengi sana,.

Ukienda katika Afya,Elimu, n.k unakuta kazi kubwa imefanyika katika kugusa maisha ya mtanzania
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Au ni jinsia mchanganyiko?
 
Point no 1.
Madeni ya taifa yanamuumiza raia wa kawaida kwa nguvu kubwa. Bunge linapitisha serikali ikoope tril 10. Lakini zinakopwa tril 15 bila maelezo. Sasa hapa kwa nini raia wa kawaida wasiumie?
Hii tabia ilianza tangu awamu ya mwendazake na tena walikua wanakopa kwa siri halafu wanatudanganya kwamba wanatekeleza kwa fedha za ndani

Tabia imeota sugu na mbawa kabisaa
 

Kilichotokea March 2021 kitakuwa funzo kwa kila chama na kila mgombea urais. Unapotakiwa kumpendekeza mgombea mwenza wako, hakikisha unaweka ubinafsi kando na woga wa kufunikwa, teua mtu ambae unajua muda wowote anaweza kukurithi na akikurithi taifa litasonga mbele.

Sijaribu kusema lolote hapa.
 
Anaborongaje? Ndio maana Wananchi wanawapuuza..

Yaani ukamwambie mkulima arudi Misri kuuza gunia 20,000 ili wewe wa Mjini na likitwmbi lako unenepeane kwa jasho lake? Rais na Wakulima walishakataa huo upuuzi..

Kama huna Pesa za kuishi Mjini Rudi kijijini huwezi endelea kulalamika Hadi 2030..

Ukame uliosababisha maji na umeme kupungua hajaleta Rais bali mlaumuni yule taahira Mwendazake aliyeamini Nchi haiwezi kukimbwa na ukame akaweka vyanzo mbadala vya umeme na mabwawa ya maji..

Mwisho umeme na Maji sio madarasa kwamba utajenga kwa miezi 4 vikakamilika,lazima msubirie mwaka zaidi ndio nafuu ije.
Lambalamba fc. Kwa hyo maji ya matumizi nayo tumlaumu hakuweka vyanzo mbadala akaendelea kuunganisha mabomba tu kwa wananchi,? Alaumiwe asiyekuwepo ili iweje? Aliyepo kama kiongozi ndo apambane. Mbona km mlitaka Magufuli atoke mkutane na mteremko sana muonekane mnapiga kazi, kila awamu ipambane na changamoto inazokumbana nazo mambo ya fulani ndo chanzo sisi wananchi hatuyajui. Nani alijenga bomba la gesi kutoka kusin kuja dsm?
 
Hii tabia ilianza tangu awamu ya mwendazake na tena walikua wanakopa kwa siri halafu wanatudanganya kwamba wanatekeleza kwa fedha za ndani

Tabia imeota sugu na mbawa kabisaa
Kukopa kulianza zamn syo awamu ya 5 tu. Mbona mnajitoa akili sana nyie ccm kisa awamu x hukulamba sukari km awamu zingine?
 
Mama Samia atakuwa na sisi mpaka mwaka 2030 Mungu akijalia.
KIpindi cha JPM kuna mambo yalikuwa hayako sawa ila tulikuwa hatuthubutu kuropoka coz aliweza kuvibana vizuri vyombo vya habari. Kina Azory Gwanda,Ngurumo etc.
Bungeni pia aliweza kuzuia na kuna mpaka wabunge walifungwa (Sugu) na wengine kupigwa Risasi ( TL).

HAPA JF tu jukwaa la siasa tulikuwa tukipost za kumkosoa JPM na serikali yake @mods wanazifuta.
Tuliona Maxence Melo wakimuweka ndani kisa privacy.

JPM 2019 alibaka uchaguzi wa serikali za mitaa bila aibu akawaengua wapinzani nchi nzima.

2020 akaunda bunge la chama kimoja. Moja mzigo mkubwa sana aliotuachia na utatutesa mpaka 2025.
Hili bunge limekuwa nuksi imagine wanapelekewa muswaada wenye mapungufu kisheria wao hata hawausomi wanaupitisha tu. Cc sheria ya tozo katika miamala ilivyowaathiri service providers kwa kukosa mapato.

Tulimtukanaga sana KIKWETE akawa anatabasamu tu. JPM alivyokuja tu ule mwaka wa kwanza tu kila mtu akachoka kuanzia wafanyabishara mpaka wafanyakazi.

Mimi nitaanza mlaumu huyu mama 2031 baada ya kutoka madarakani aise.
 
Back
Top Bottom