Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana.
Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni;
- Baba(mzazi)
-Muweza wa yote
-Yupo kila pahali
-Anajua yote
--Muumba
-Mwenye huruma.
*****Atakayewachoma moto watu wote wasiomtii na watenda dhambi.
Sasa imagine, kama dhambi anaichukia kwanini aliiumba?
Ok, tuseme yeye hajaleta dhambi,je, ni nani huyo mwenye nguvu akaweza kuumba kitu ambacho Mungu hakipendi?.
Ok. Kwanini hakuifanya hiyo dhambi isiwe na uwezo wa kumsogelea mwanadamu na badala yake mwanadamu atawaliwe na good will na uchaji tu mbele za Mungu ili adhma ya Mungu ya kuonyesha upendo ionekane?
Swali linguine: Je, mtu aliyetenda dhambi kwa siku mbili akihukumiwa adhabu ya moto wa milele (trilion and quadrillions of years ) ni sawa tuiite hiyo ni hukumu ya haki?
Mwanadamu yeyote asiye kichaa anatamani awe na watoto bora hivyo hujitahidi kumpeleka shule nzuri, kumchunga awapo nyumbani n.k ili awe mtoto bora ila muda mwingine huharibika kwasababu zilizo nje ya uwezo wake. Je, wanadamu watakapoingia motoni tuseme ni matokeo ya sababu zilizo nje ya uwezo wa Mungu muumba wake, yaani kuna jambo alitamani lakini ameshindwa?
Je, bado tumwite muweza wa yote?
Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana.
Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni;
- Baba(mzazi)
-Muweza wa yote
-Yupo kila pahali
-Anajua yote
--Muumba
-Mwenye huruma.
*****Atakayewachoma moto watu wote wasiomtii na watenda dhambi.
Sasa imagine, kama dhambi anaichukia kwanini aliiumba?
Ok, tuseme yeye hajaleta dhambi,je, ni nani huyo mwenye nguvu akaweza kuumba kitu ambacho Mungu hakipendi?.
Ok. Kwanini hakuifanya hiyo dhambi isiwe na uwezo wa kumsogelea mwanadamu na badala yake mwanadamu atawaliwe na good will na uchaji tu mbele za Mungu ili adhma ya Mungu ya kuonyesha upendo ionekane?
Swali linguine: Je, mtu aliyetenda dhambi kwa siku mbili akihukumiwa adhabu ya moto wa milele (trilion and quadrillions of years ) ni sawa tuiite hiyo ni hukumu ya haki?
Mwanadamu yeyote asiye kichaa anatamani awe na watoto bora hivyo hujitahidi kumpeleka shule nzuri, kumchunga awapo nyumbani n.k ili awe mtoto bora ila muda mwingine huharibika kwasababu zilizo nje ya uwezo wake. Je, wanadamu watakapoingia motoni tuseme ni matokeo ya sababu zilizo nje ya uwezo wa Mungu muumba wake, yaani kuna jambo alitamani lakini ameshindwa?
Je, bado tumwite muweza wa yote?