Hakuna baba ambaye hataki kuona watoto wake wote wanamtii, wanamheshimu na wanafanikiwa, tukubali tu kuwa kuna mapungufu

Hakuna baba ambaye hataki kuona watoto wake wote wanamtii, wanamheshimu na wanafanikiwa, tukubali tu kuwa kuna mapungufu

Mungu hajaumba dhambi mkuu,he is a righteous God,so he cannot be associated with sin.Architect wa dhambi ni Shetani.Alifanikiwa kumfanya mwanadamu amuasi Mungu kwa kumdanganya Hawa bustani ya Eden and consequently akaikamata roho ya mwanadamu na hatimaye mwili.It is the human soul which controls the body.
Nakuja kukujibu
 
Habari!
Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana.
Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni;
- Baba(mzazi)
-Muweza wa yote
-Yupo kila pahali
-Anajua yote
--Muumba
-Mwenye huruma.
*****Atakayewachoma moto watu wote wasiomtii na watenda dhambi.
Sasa imagine, kama dhambi anaichukia kwanini aliiumba?
Ok, tuseme yeye hajaleta dhambi,je, ni nani huyo mwenye nguvu akaweza kuumba kitu ambacho Mungu hakipendi?.
Ok. Kwanini hakuifanya hiyo dhambi isiwe na uwezo wa kumsogelea mwanadamu na badala yake mwanadamu atawaliwe na good will na uchaji tu mbele za Mungu ili adhma ya Mungu ya kuonyesha upendo ionekane?
Swali linguine: Je, mtu aliyetenda dhambi kwa siku mbili akihukumiwa adhabu ya moto wa milele (trilion and quadrillions of years ) ni sawa tuiite hiyo ni hukumu ya haki?
Mwanadamu yeyote asiye kichaa anatamani awe na watoto bora hivyo hujitahidi kumpeleka shule nzuri, kumchunga awapo nyumbani n.k ili awe mtoto bora ila muda mwingine huharibika kwasababu zilizo nje ya uwezo wake. Je, wanadamu watakapoingia motoni tuseme ni matokeo ya sababu zilizo nje ya uwezo wa Mungu muumba wake, yaani kuna jambo alitamani lakini ameshindwa?
Je, bado tumwite muweza wa yote?
Ndivo alivo taka! yeye km yeye!! inatuhusu nini sasa?? ….Laiti km weye ungekuwa mungu ungefanya hayo yooote uliyo yataja siyo? Basi huyo ni wewe!....subiri tu kuchomwa moto, hata kama utalia utachomwa tuuu!

mkipewa uhuru hamtaki! mkibanwa mnalia.. Bina damu hamnaga jema mpaka leo ni ivo ivo tyuuuu!! ngoja nikupe mifano hai hapa watu/watanzania ….

OO1,Mwanzoni tuliona tuwauze tu kupunguza msongamano mkalime mashamba uzunguni mtunzwe mpewe posho na lishe bure, make mlipenda sana kupanda majahazi! mkawageuzia kibao Ohhh utumwa! hatutaki!

wkt mliuzana wenyewe kwa wenyewe lkn hiyo mizigo leo hii mmewatwisha wazungu wa watu peke yao! mnawazodoa ati ni wauza watumwa! basi yakapita leno ni kuwasaidia

1. Mlipewa Mkoloni kawafanyisha kazi kwa faida yenu na matokeo yapo mpaka leo, akawapa na elimu ya bei poa mkalia weeee!! mpka machozi yakakauka!!

Mchonga mzanaki akapimaa kasema ''basi isiwe tabu ngoja niende kwa kujitolea! Maweee!!

2.Julius kambarage akajitolea akapigania weee! mkawa safi lkn msivokuwa na shukrani mabwa nyie mkalia mpaka mkataka kumpindua! kwa kumuua vibaya ! mzee wa watu kaona cha kufia mie kajitoa!

3.akaja Mwinyi wa watu Ohoo! labda mtatulia mzee wa Rhuksa tu huyu! mkamchora hovyo na matusi juu weee pale mlimani! ok! mpka leo mnamkejeli Mzee wa Rhukhsa!

fikiria tu Rais wenu mtukuka anawajali lkn mkafika mbali Mkamchapa makofi msikitini live! wakati anamuomba Mungu wake ili awaongoze vyema!...baada ya kumchapa mkafa!

4. Mungu hachoki kuwapima akawapa konde boy Mkapa ooh! , huyoo mkamtegua kiuno kisa anajisikia sana na kajimilikisha migodi! ila mzungu akimiliki ni sawa ila asiwe mweusi dooo!!

fisadi huyu hana maamuzi sahihi Bank zetu kauza, sasa atabinafsisha mpaka magereza! heee isiwe taabu

5.Mzee wa Msoga huyu hapa anapendwa sana mara ooh! dhaifu! mnoo!...mara mzee wa Dowans!..anakula kona tyuuuu! mara yuko km Vasco Dagama! wkt hapo anatembelea hela ya wafadhili siyo yenu!

sasa sijui mngekula nini nyie midog mwitu??

6. juzijuzi hapa likaja ligu jamaa moja maarufu km gu- chuma tukaliambia kuwa kwa sababu haya ma-mbwa hayataki watu kula kona nje ya nchi basi weye kaa hapa hapa usitoke!...….. maweee

kumbe bora lingetoka likazurure ulaya huko huenda lingeepuka sumu za walala hoi kirahisi mnoo! so mkaliua hivi hivi karibuni tena kifo kibaya sana! eti linakufa kwa kulishangilia mchana kweupeee!!

haya tukaona isiwe taabu tukamwambia mama bana haya mambwa hayaeleweki hata Mungu kayashindwa haya cha kufanya wewe fanya upendavyo ndivo yalivyo haya…...

7.Mama huyooooo Tumewapa buuure!! ...eti sasa mnamuita Bibi tozo!...…...hamlidhikagi nyie Mbwa, sasa mnakwenda Pabaya Zaidi kwa Mungu mnaanza kumchokonoa! chokonoa!!

atawapigeni yule acheni masihara ya kitoto hayooo!! wewe jileta mada mpaka ukome safari hii!... akikuhurumia sana kukuonyesha kuwa upo kila ukitembea unaitika ''Abeee!
 
Habari!
Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana.
Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni;
- Baba(mzazi)
God The Creator yaani Mungu Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana.
-Muweza wa yote
Omniscience, Omnipotent, Alfa na Omega
-Yupo kila pahali
Omnipresent yuko ndani yetu.
-Anajua yote
Omniscience
The Creator
-Mwenye huruma.
*****Atakayewachoma moto watu wote wasiomtii na watenda dhambi.
True
Sasa imagine, kama dhambi anaichukia kwanini aliiumba?
Kuna vitu kumhusu Mungu, havikuandikwa kwenye vitabu vya dini. Imeandikwa Mungu aliumba kila kitu, sii kweli. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani!. Mungu hakumuumba shetani!. Mungu ameumba kila kitu chema hivyo Mungu hakuumba dhambi!. Shetani ndie ameumba dhambi na kila aina ya uovu!.

Mwanzo shetani alikuwa malaika mkuu the 2/ic. Haiwezekani Mungu amuumbe shetani halafu huyo shetani atake kumpindua Mungu yeye awe ndiye Mungu!.

Baada ya shetani kuasi, angekuwa ameumbwa na Mungu, Mungu ange m destroy!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani, the source of powers za Mungu ndio the same source of powers za shetani!. God has powers na the devil has powers.

Tofauti kati ya Mungu na shetani ni tofauti 3 tuu
1. Wote Mungu na shetani wana powers, ila Mungu ana powers zaidi ya shetani. Mungu anaweza kuzuia mipango yote ya shetani lakini shetani hawezi kuzuia mipango ya Mungu anaweza kuitubua tuu na kuichelewesha lakini sio kuizua!.
2. God ndiye the creator yaani Mungu ndie muumba, the giver of life, shetani hawezi kuumba, shetani yeye ni the destroyer wa kile Mungu alichokiumba ili kimuasi Mungu na kumfuata yeye shetani.
3. Pomoja na shetani kuwa the destroyer lakini hana uwezo to end life, uwezo to end life ni uwezo wa Mungu pekee!.

Hivyote ukiondoa vitu vitatu hivyo, vitu vingine vyote that God can do, the devil can do!.

Shetani ni bingwa wa kujigeuza anaweza kujigeuza kiumbe chochote na ni mzuri wa kuji super impose and disguise as God hivyo kuna dini nyingi huku duniani wana mwabudu shetani disguised as God bila wao kujijua wakidhani wanamuabudu Mungu!.

Hivyo shetani baada ya kuasi, Mungu akasemezana na NENO na Roho Mtakatifu "na tuumbe kiumbe cha mfano wetu ambacho kitatutii". Mungu akamuumba Adamu

Shetani akamfuata Mungu na kumwambia ili kuujua utii wa kiumbe hiki, kipe temptation, majaribu, kikishinda majaribu ndipo utathibisha utii wa kiumbe chako.

Mungu akakubali, akamuumba mwanamke, na kumruhusu shetani aweke yale majaribu kwa kuweka ule 'mti' wa katikati na lile 'tunda' pale alipoliweka!. Hivyo ni shetani ndie aliyeumba dhambi.

Mungu akawapa binadamu conscious ya kuamua kumfuata YEYE au shetani kwa kuwapa utashi, akawaonya Adamu na Eva wasimege 'tunda' la 'mti' wa katikati, mti wa mema na mabaya, watakufa!.

Shetani akajigeuza nyoka, huku Mungu anamuona!, akademya bustanini huku Mungu anamuona!. Baada ya kuingia bustanini, akajigeuza a handsome guy na kumtokea Eva!. Eva akashtuka na kushangaa sana kuona binadamu mwingine zaidi ya Adamu mule bustanini!.

Shetani ndipo akamuuliza Eva, hiyo ni nini?, akimuelekezea kwenye 'tunda', Eva akamjibu hili ni tunda Mungu ametukataza tusile!.
Shetani akamuuliza kwa nini Mungu amewakataza msile hili 'tunda' la 'mti' huu wa katikati?.

Eva akamjibu sijui ni kwanini tumekatazwa, Mungu amesema tukila tutakufa!.

Shetani ndipo akamwambia Eva, Mungu ni muongo, amewakataza kula hili tunda kwasababu hataki mfaidi!. Hili ndio tunda tamu kuliko matunda yote, tunda hili likimegwa kisawasawa ndio utapata raha na kusikia utamu kuliko raha zote, na kuliko utamu wote!.

Na kikubwa zaidi katika kumega tunda hili, nyinyi binadamu mtapata uwezo wa ki Mungu wa kuumba viumbe wengine "concepcion". Ngoja nikuonyeshe!.

Shetani akamuonyesha Eva jinsi tunda linavyomegwa kwa kumchumia na kummegea hivyo 'tunda' kumegwa na kweli Eva akalisikia tunda lilivyo tamu kwa utamu alioupata kwa kumegwa lile tunda, hivyo akamfuata Adamu na kwanza kumhadithia utamu wa kumegwa tunda, kumfundisha jinsi tunda linavyomegwa na kumlazimisha Adamu naye lazima amege tunda na kweli Adamu naye akamega na kweli kwa utamu wa tunda, wote wakaishia uzingizini!, ila hapo ndipo wakawa wameitenda dhambi ya asili, the original sin.

Wakati yote haya yakifanyika Mungu anaangalia tuu!. Baada ya kupata mapumziko ya kutosha baada ya kazi kubwa ya kumega tunda, ndipo Mungu akawaamsha na kujishtukia wako uchi baada ya lile tendo!.

Ikafuatia adhabu ya kutimuliwa toka bustanini, mwanamume kula kwa jasho lake, mwanamke kuzaa kwa uchungu. Hapa sasa ndipo neno "zaeni muongezeke muijaze nchi yote lilipokuja!.

Hivyo ili kiumbe kipya kizaliwe ni lazima lile tendo la dhambi ya asili litendeke. Mtu pekee aliyewahi kukingiwa dhambi ya asili ni Bikira Maria kwa kupata ujauzito wa Yesu kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, huku akiwa bikira bila 'tunda' kumegwa, hivyo Yesu ndiye kiumbe pekee duniani aliyezaliwa bila dhambi ya asili kutendwa!.
Ok, tuseme yeye hajaleta dhambi,je, ni nani huyo mwenye nguvu akaweza kuumba kitu ambacho Mungu hakipendi?.
Ni shetani ndio aliumba dhambi
Ok. Kwanini hakuifanya hiyo dhambi isiwe na uwezo wa kumsogelea mwanadamu na badala yake mwanadamu atawaliwe na good will na uchaji tu mbele za Mungu ili adhma ya Mungu ya kuonyesha upendo ionekane?
Mungu amempa binadamu utashi wa kuchagua.
Swali linguine: Je, mtu aliyetenda dhambi kwa siku mbili akihukumiwa adhabu ya moto wa milele (trilion and quadrillions of years ) ni sawa tuiite hiyo ni hukumu ya haki?
Kule ni ulimwemgu wa Roho, hakuna mass, distance wala time!. Siku moja ni kama miaka 1000 na miaka 1000 ni kama siku moja!.
Mwanadamu yeyote asiye kichaa anatamani awe na watoto bora hivyo hujitahidi kumpeleka shule nzuri, kumchunga awapo nyumbani n.k ili awe mtoto bora ila muda mwingine huharibika kwasababu zilizo nje ya uwezo wake. Je, wanadamu watakapoingia motoni tuseme ni matokeo ya sababu zilizo nje ya uwezo wa Mungu muumba wake, yaani kuna jambo alitamani lakini ameshindwa?
Mungu ameumba mbigu ya raha ya milele na shetani ndie ameumbiwa jehanum ya ziwa la moto wa milele. Binadamu amepewa conscious ya utashi wa kuchagua kumfuata Mungu au kumfuata shetani.
Je, bado tumwite muweza wa yote?
Yes pamoja uwezo wa shetani, ni Mungu tuu pekee ndiye pekee muweza wa yote!.
Rejea
1. Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
2. Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
3. Kwa mnaojua hebu fafanueni hili naona kama wengi wanapotoshwa
4. Jee Wajua Dunia Nzima Sote ni Watoto wa Baba Mmoja na Mungu Mmoja?. Krismasi ni Sikukuu ya Wote, Tutoe Kwa Wengine, Tushereheke Pamoja-Merry X-Mass!.
5. Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwe Msamaha Kuitwa Shetani au?
 
God The Creator yaani Mungu Muumba wa vyote vinavyo onekana na visivyo onekana.

Omniscience, Omnipotent, Alfa na Omega

Omnipresent yuko ndani yetu.

Omniscience

The Creator

True

Kuna vitu kumhusu Mungu, havikuandikwa kwenye vitabu vya dini. Imeandikwa Mungu aliumba kila kitu, sii kweli. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani!. Mungu hakumuumba shetani!. Mungu ameumba kila kitu chema hivyo Mungu hakuumba dhambi!. Shetani ndie ameumba dhambi na kila aina ya uovu!.

Mwanzo shetani alikuwa malaika mkuu the 2/ic. Haiwezekani Mungu amuumbe shetani halafu huyo shetani atake kumpindua Mungu yeye awe ndiye Mungu!.

Baada ya shetani kuasi, angekuwa ameumbwa na Mungu, Mungu ange m destroy!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo wa shetani, the source of powers za Mungu ndio the same source of powers za shetani!. God has powers na the devil has powers.

Tofauti kati ya Mungu na shetani ni tofauti 3 tuu
1. Wote Mungu na shetani wana powers, ila Mungu ana powers zaidi ya shetani. Mungu anaweza kuzuia mipango yote ya shetani lakini shetani hawezi kuzuia mipango ya Mungu anaweza kuitubua tuu na kuichelewesha lakini sio kuizua!.
2. God ndiye the creator yaani Mungu ndie muumba, the giver of life, shetani hawezi kuumba, shetani yeye ni the destroyer wa kile Mungu alichokiumba ili kimuasi Mungu na kumfuata yeye shetani.
3. Pomoja na shetani kuwa the destroyer lakini hana uwezo to end life, uwezo to end life ni uwezo wa Mungu pekee!.

Hivyote ukiondoa vitu vitatu hivyo, vitu vingine vyote that God can do, the devil can do!.

Shetani ni bingwa wa kujigeuza anaweza kujigeuza kiumbe chochote na ni mzuri wa kuji super impose and disguise as God hivyo kuna dini nyingi huku duniani wana mwabudu shetani disguised as God bila wao kujijua wakidhani wanamuabudu Mungu!.

Hivyo shetani baada ya kuasi, Mungu akasemezana na NENO na Roho Mtakatifu "na tuumbe kiumbe cha mfano wetu ambacho kitatutii". Mungu akamuumba Adamu

Shetani akamfuata Mungu na kumwambia ili kuujua utii wa kiumbe hiki, kipe temptation, majaribu, kikishinda majaribu ndipo utathibisha utii wa kiumbe chako.

Mungu akakubali, akamuumba mwanamke, na kumruhusu shetani aweke yale majaribu kwa kuweka ule 'mti' wa katikati na lile 'tunda' pale alipoliweka!. Hivyo ni shetani ndie aliyeumba dhambi.

Mungu akawapa binadamu conscious ya kuamua kumfuata YEYE au shetani kwa kuwapa utashi, akawaonya Adamu na Eva wasimege 'tunda' la 'mti' wa katikati, mti wa mema na mabaya, watakufa!.

Shetani akajigeuza nyoka, huku Mungu anamuona!, akademya bustanini huku Mungu anamuona!. Baada ya kuingia bustanini, akajigeuza a handsome guy na kumtokea Eva!. Eva akashtuka na kushangaa sana kuona binadamu mwingine zaidi ya Adamu mule bustanini!.

Shetani ndipo akamuuliza Eva, hiyo ni nini?, akimuelekezea kwenye 'tunda', Eva akamjibu hili ni tunda Mungu ametukataza tusile!.
Shetani akamuuliza kwa nini Mungu amewakataza msile hili 'tunda' la 'mti' huu wa katikati?.

Eva akamjibu sijui ni kwanini tumekatazwa, Mungu amesema tukila tutakufa!.

Shetani ndipo akamwambia Eva, Mungu ni muongo, amewakataza kula hili tunda kwasababu hataki mfaidi!. Hili ndio tunda tamu kuliko matunda yote, tunda hili likimegwa kisawasawa ndio utapata raha na kusikia utamu kuliko raha zote, na kuliko utamu wote!.

Na kikubwa zaidi katika kumega tunda hili, nyinyi binadamu mtapata uwezo wa ki Mungu wa kuumba viumbe wengine "concepcion". Ngoja nikuonyeshe!.

Shetani akamuonyesha Eva jinsi tunda linavyomegwa kwa kumchumia na kummegea hivyo 'tunda' kumegwa na kweli Eva akalisikia tunda lilivyo tamu kwa utamu alioupata kwa kumegwa lile tunda, hivyo akamfuata Adamu na kwanza kumhadithia utamu wa kumegwa tunda, kumfundisha jinsi tunda linavyomegwa na kumlazimisha Adamu naye lazima amege tunda na kweli Adamu naye akamega na kweli kwa utamu wa tunda, wote wakaishia uzingizini!, ila hapo ndipo wakawa wameitenda dhambi ya asili, the original sin.

Wakati yote haya yakifanyika Mungu anaangalia tuu!. Baada ya kupata mapumziko ya kutosha baada ya kazi kubwa ya kumega tunda, ndipo Mungu akawaamsha na kujishtukia wako uchi baada ya lile tendo!.

Ikafuatia adhabu ya kutimuliwa toka bustanini, mwanamume kula kwa jasho lake, mwanamke kuzaa kwa uchungu. Hapa sasa ndipo neno "zaeni muongezeke muijaze nchi yote lilipokuja!.

Hivyo ili kiumbe kipya kizaliwe ni lazima lile tendo la dhambi ya asili litendeke. Mtu pekee aliyewahi kukingiwa dhambi ya asili ni Bikira Maria kwa kupata ujauzito wa Yesu kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, huku akiwa bikira bila 'tunda' kumegwa, hivyo Yesu ndiye kiumbe pekee duniani aliyezaliwa bila dhambi ya asili kutendwa!.

Ni shetani ndio aliumba dhambi

Mungu amempa binadamu utashi wa kuchagua.

Kule ni ulimwemgu wa Roho, hakuna mass, distance wala time!. Siku moja ni kama miaka 1000 na miaka 1000 ni kama siku moja!.

Mungu ameumba mbigu ya raha ya milele na shetani ndie ameumbiwa jehanum ya ziwa la moto wa milele. Binadamu amepewa conscious ya utashi wa kuchagua kumfuata Mungu au kumfuata shetani.

Yes pamoja uwezo wa shetani, ni Mungu tuu pekee ndiye pekee muweza wa yote!.
Rejea
1. Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.
2. Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
3. Kwa mnaojua hebu fafanueni hili naona kama wengi wanapotoshwa
4. Jee Wajua Dunia Nzima Sote ni Watoto wa Baba Mmoja na Mungu Mmoja?. Krismasi ni Sikukuu ya Wote, Tutoe Kwa Wengine, Tushereheke Pamoja-Merry X-Mass!.
5. Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwewe Msamaha Kuitwa Shetani au?
Mkuu Pascal Mayalla umemishawishi kidogo kwa majibu yako ya kina.
Ila bado nitarudi kukuuliza maswali kuhusu utashi wa kuchagua.
1. Kama Mungu alitaka watu wote wamtii yeye kwanini aliweka options mbili ? Yaani upande wake na ule wa Ibilisi.
Kwanini mwanadamu hajaumbiwa hali ya utii wa upande wa Mungu pekee (one side totally ) huku alijua kuwa hii free will itamtenganisha na baadhi ya wanadamu?
 
Dhambi haikuumbwa,aliyeumbwa ni mwanadamu.
Dhambi ni uasi,1Yohana 3:4.

Aliyekuwa WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ALIWAI KUSEMA MANENO HAYA "ukifanya fujo, unaambiwa usifanye hiki, ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu, maana hakuna namna nyingine "

Wewe mwanadamu umeambiwa Oa ili usizini,,wewe hutaki kuoa au kuolewa una zinizini tu, wewe ni muasi..
Uchomwe tu mana umekataa kutii.
Lakini pia Mungu kwa upendo wake akamshusha Yesu, ili sisi tupate kuishinda dhambi
 
Habari!
Hapa nazungumzia hawa miungu au Mungu maarufu duniani ambao mafundisho yao yameenea sana.
Dini hizi zilizoonea sana zinasema kuwa Mungu ni;
- Baba(mzazi)
-Muweza wa yote
-Yupo kila pahali
-Anajua yote
--Muumba
-Mwenye huruma.
*****Atakayewachoma moto watu wote wasiomtii na watenda dhambi.
Sasa imagine, kama dhambi anaichukia kwanini aliiumba?
Ok, tuseme yeye hajaleta dhambi,je, ni nani huyo mwenye nguvu akaweza kuumba kitu ambacho Mungu hakipendi?.
Ok. Kwanini hakuifanya hiyo dhambi isiwe na uwezo wa kumsogelea mwanadamu na badala yake mwanadamu atawaliwe na good will na uchaji tu mbele za Mungu ili adhma ya Mungu ya kuonyesha upendo ionekane?
Swali linguine: Je, mtu aliyetenda dhambi kwa siku mbili akihukumiwa adhabu ya moto wa milele (trilion and quadrillions of years ) ni sawa tuiite hiyo ni hukumu ya haki?
Mwanadamu yeyote asiye kichaa anatamani awe na watoto bora hivyo hujitahidi kumpeleka shule nzuri, kumchunga awapo nyumbani n.k ili awe mtoto bora ila muda mwingine huharibika kwasababu zilizo nje ya uwezo wake. Je, wanadamu watakapoingia motoni tuseme ni matokeo ya sababu zilizo nje ya uwezo wa Mungu muumba wake, yaani kuna jambo alitamani lakini ameshindwa?
Je, bado tumwite muweza wa yote?
Aisee,katika comment yako kuna so much ignorance about God.
 
Back
Top Bottom