Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Alete watoto ili iwe nini labda?????
 
Isemee nafsi yako tu @ Mleta mada lakini usiwasemee wengine.

Wenzio wanaweza!

Ni notion tu yakutana kuwaaminisha watu kuwa haiwezekani ili wajichanganye waukwae.

Haiwezekani kuweza kueleweka kwenye jamii kwa kutaka kuhalalisha uzinzi na uasherati.
See
Alete watoto ili iwe nini labda?????
Umezaa na mwanamke mwingine kwanini mtoto wako huyo umfiche asijulikane nyumbani? Kwanini watoto wako wasifahamiane? Kwanini mkeo asifahamu kuwa una mtoto mwingine mahali, kwanini ndugu zako wasiwafahamu watoto wako wote. Shida ni nini? Wanaume wasiowalidhisha wake zao kitandani na kiuchumi ndio wenye woga wa aina hii. Ukiwa mwanaume lijali hata wanawake 10 wanakubali kuishi pamoja. Hii ni nature kwa viumbe wengi; kama beberu halali anawashughukikia majike wote wenye uhitaji 'heat' na wote kupata ujauzito kwa wakati hayo majike yatatulia yote bandani kwa amani. Lakini kama kama beberu halipandi vizuri utaona majike yanaanza kupandana yenyewe kwa yenyewe bandani na mimba hakuna.

Hivyo kama mwanaume nguvu zako ni za kutafutatafuta ukijifanya uko bize unatafuta pesa au kizazi huna wewe lazima umuabudu mkeo huyo kama malipo, compansension ya madhaifu yako kwake, hutajaribu kumupnesha kwamba una Mke au mtoto pahala, na mkeo lazima atabanyuliwa na wanaume wengine TU, hasa wanaume wake wa awali kabla yako, au rafiki zako wa karibu sana, au waumini wenzie, au dereva wenu au jirani yenu au mfanyakazi mwenzake au mfanyakazi wenu, au shemeji yake au hata mkwe wake kabisaa ili kuziba pengo lako. Hakuna mwanamke anayevumilia mapenzi hafifu ya mwanaume kitandani, hasa kama alishaonjaga mapenzi sahihi kwako au kwa mume mwingine.
 
Umeoa???
 
Kwako ndoa ni kutiana tu????
Wewe ndiyo unabadilisha maana ya ndoa, ndoa ni kwaajili ya kuzaaana TU, nothing more nothing less. Ndiyo maana wahenga walisema, wanawake watazaa kwa uchungu na wanaume watakula kwa jasho, na kitanda hakizai haramu. Na waliifanyia majaribio mengi sana misemo hiyo wakaona ni kweli na Iko sahihi. Kama wewe Mke wako anazaa kwa uchungu na Kula kwa jasho pia ujue kuwa huyo mwanamke sio wa peke yako. Bosi wake anakula, wateja wake wanakula, jirani anakula, mwalimu wake anakula, wanafunzi wenzake wanakula, DK wake anakula,
wafanyakazi wenzake wanakula. Na mwisho wake kitanda hakizai haramu.

Ndiyo maana wapemba na waarabu wanawake zao hawaendi hata sokoni ili kupunguza exposure,na wengine wanawavalisha majuba na vifunika USO ili kupunguza watakaompigia chabo, lakini waaapi kitanda hakizai haramu TU. Dawa kubwa ya mwanamke ni kumshughulikia usiku kucha, kumkojolesha Lila wakati na kumzalisha kIla wakati baasi.maana kazi yake aliyotumwa ni kuzaaa tu. Mwanamke anapata kiburi kama ana watoto wachache, lakini akiwa na watoto 8 hata 50/50 hataikumbuka na hajui kama IPO.
 
Ake
Jehovaaaaahhhh!!!! 🙆🙆🙆🙆🙆
Bahati mbaya wanaume hawana tabia ya kutaka kufahamu mapito ya wake zao ya utotoni, shuleni, vyuoni, kazini, kanisani, na mtaAni, hawataki kujua Nani aliwatoa bikra wake zao na walikuwa watu wa aina gani kimapenzi na kiuchumi. Hata wanawake pia hawashughuliki sana na wanawake waliokufundisha kukwichi kabla Yao ni Nani na walikuwaje kimapenzi, kitabia na kisura.
 
We ni msemaji wao? Mbona mi nijuavyo ni tofauti na hivo
 
Ahsantee! Mleta mada usijidai kama hujaona hii comment hapa.

Ni wewe peke yako ndiye huna mke 1, wanaume wengine ni wastaarabu
Huo sio ustaarabu, ni udhaifu uliokithiri, hata manabii hakuna aliyewahi kuwa na udhaifu huo.
 
Bado sijaoa ndio natafuta mke bro....
Sasa hivi unawashuhulikia TU, mwanaume mwenye akili timamu hafungi ndoa ya kanisani, maana mashrti ya Mke na mume mmoja hayatatimia. Kwenye mapenzi hakuna dini, elimu, tajiri Wala kabila. Mke wa tajiri analiwa na Mke wa maskini analiwa, mlokole analiwa na changudoa analiwa, mweupe analiwa na mweusi analiwa, kilema analiwa na mzima analiwa pia, mke wa mbunge analiwa na Mke wa balozi wa nyumba kumi analiwa. Ukimbia mshale n ukisimama mshale.
 
Acha ubishi nimekwambia Evelyn si mkaka fyuu😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…