Mkuu, Hamas inaonyesha wana ufadhili mkubwa sana, kuwa na mji chini ya ardhi sio jambo dogo.Wafurikishe maji kwenye mahandaki,hamas watatoka
Hivi urefu wa Gaza ni km 41 na upana 10 hivi hizo km 500 ni wapi hadi wapi huko GazaMkuu, Hamas inaonyesha wana ufadhili mkubwa sana, kuwa na mji chini ya ardhi sio jambo dogo.
Kuchimba njia za urefu wa 500km chini ya ardhi ni sawa na kutoka Moshi klm hadi Dar
Mkuu haimaanishi huo urefu unanyooka tu, hizo njia zimejengwa kama mitaa kadhaa tu chiniHivi urefu wa Gaza ni km 41 na upana 10 hivi hizo km 500 ni wapi hadi wapi huko Gaza
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
TelAviv kunani tenaNimetoka kutazama video panther za Israel zinavyokong'otwa Gaza na TelAviv inavyowaka
Vyuma vya hizbullah vimetuaTelAviv kunani tena
Tunnels mzunguko wake, tunnels siyo one way streetHivi urefu wa Gaza ni km 41 na upana 10 hivi hizo km 500 ni wapi hadi wapi huko Gaza
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Ironi drome zimelala kwani tatizo wazee wa propaganda hawaonyeshiVyuma vya hizbullah vimetua
Hayo maneno mwambie basha wako eti BBC wapo ballanced, AL JAZZERA wanaonyesha ushenzi wa Mabwana zako wanavyouwa watoto na WanawakeAljazeera wapo very biased ktk kutoa taarifa. Wanaonesha na kuisema vibaya Israel tu.
Hawasemi lolote kuhusu Israel kushambuliwa hata news breafing za Netanyahu hawaoneshi.Ndo maana Israel imeamua kuwachapa hadi wawakilishi wao walio Gaza.
BBC wapo balanced
Sio razima.Aljazeera wapo very biased ktk kutoa taarifa. Wanaonesha na kuisema vibaya Israel tu.
Hawasemi lolote kuhusu Israel kushambuliwa hata news breafing za Netanyahu hawaoneshi.Ndo maana Israel imeamua kuwachapa hadi wawakilishi wao walio Gaza.
BBC wapo balanced
ANAKUWAJE MTU GAIDI NCHINI KWAKE KWA SERIKALI YA KIKOLONI?Hamas ni magaidi pasee
Kadri watakapaoona madhara ya vita yanawaumiza wao zaidi ndio watakapolazimika kuwaachia mateka ili kushawishi kusitishwa kushambuliwaFuatilia historia ndiyo utajua Hamas akamate Muisrael amuachie bila masharti?
Hahahahaš unaongea fikra zako huku umejifungia chumbani kwako na simu yako ya Tecno, huwafahamu Hamas huenda Umri wako mdogo siyo mara ya kwanza kuteka Wairael mara kibao wameishajilipua na mateka baada ya kukataliwa wanachokotaka, halafu Hamas ipo vifuani mwa Wapelestina eti wataweka mtawala wao hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga.Kadri watakapaoona madhara ya vita yanawaumiza wao zaidi ndio watakapolazimika kuwaachia mateka ili kushawishi kusitishwa kushambuliwa
Sasa hivi suala la hamas kuendelea kuwa mtawala wa Gaza limeondolewa. Israel wamengia Gaza na wataweka mtawala wanayemtaka, kwa hamas hiyo ni hatua nyingi sana kurudi nyuma
Ugaidi ni matendo. Hata ndani ya nchi raia wanaweza anza kufanya ugaidiANAKUWAJE MTU GAIDI NCHINI KWAKE KWA SERIKALI YA KIKOLONI?
Kubadilishana wafungwa ndiyo karata pekee ambayo Hamas imebaki nayo. Ila likelihood ya hiyo karata kufanikiwa kipindi hiki ni ndogo sana.
Hamas wasifanye kosa la kutaka kubadilisha mateka wa Israel kwa wafungwa wao.Hiyo ni faida ndogo sana kwa faida kubwa wanayoweza kupata kwa kuawashikilia mateka walionao mpaka mwisho
Masharti yao yawe mawili
Shartila mwanzo ni kuachiwa raia wote wanawake na watoto kwa kusitishwa vita na kurudishwa huduma zote za kijamii.
Shari la pili ili kuachiwa askari na mateka waliobaki ni kurudisha nyuma askari wote walioingia Gaza.
Masharti hayo yatasaidia kwa muda tu kwani Israel si watekelezaji wa ahadi
.Hamas katika kipindi cha mwaka mmoja waangalie mwenendo wa kuundwa kwa serikali ya Palestina yenye mamlaka kamili na bila kuweka shinikizo la kumpa madaraka Mahmoud Abbas.Kwa maana Hamas wawe ni sehemu ya serikali hiyo.
Kama masharti hayo hayatotekelezwa waweke wazi kuwa wataandaa shambulio jengine kama la Oktoba 7.
Unasimama hivyohivyo kama ambavyo ulisimama niliposema.Hadi hapo utabiri wako unasimama je?