Acha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu
Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani
Oh, kwahiyo kumbe ni wa Islamu ila si makundi ya ki-islamu.Kwani wewe muislamu ukiamua kuanzisha kundi lako kama hao ulowataja likawa lakuua na kuteka na kubaka watu halafu ukalipa jina kundi lako liitwe Allah Akbar ila lisiwe la kiislamu wala dini itakua kundi la kiislamu
Huo ujinga mlomezeshwa kuwatoka mnatakiwa mpigwe msasa kwel kwel yaani
Mkiambiwa akili zenu hazina akili mnakataaAcha utetezi usio na maana bwana, hivyo vikundi ni vya kiislam na kila mmoja anafahamu hilo na vyote vidadai kumpigania mungu wao anayeitwa allah na vinampigania kwa kuua watu wasiokubaliana nao.
Unaushahidi upi kama hao wanaofanya hivyo waislamuOh, kwahiyo kumbe ni wa Islamu ila si makundi ya ki-islamu.
Huyo 'mungu' wanao muitaga wakati wanakata makoromeo ya wasio dini yao , wani mungu wa dini ipi?
Sasa inakuwaje "waumini wa hiyo dini uliyotaja ndio pekee wananzisha makundi na kuua watu"?
Kama waliwaua nawapongeza sana haiwezekani adui anawaua kila siku halafu nyie mumtunzie watu wake na kama bado hawajawaua wafanye haraka kuwaua kuendelea kukaa nao ni sawa na kufuga majini mwisho wa siku watakuja kuwanyonya damu wewe na familia yako na utawaponza wengine wasiohusika.Shart kuu hamas wawaachie mateka,hili halitekelezeki maana hamas walishawauwa mateka wote,haya maneno ni kujimwambafai tu.
Sijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.Yanahusiana na dini gani?
Paul makenza wa hapa kenya unajua alishtakiwa kwa kesi gani unajua?
Vijana mnapenda kupelekeshwa kama mbuzi😀
Sina ushahidi, hivyo :Unaushahidi upi kama hao wanaofanya hivyo waislamu
Unaushahidi gani kama kila anaesema Allah akbar ndio muislamu?
Unamjua muumini gani aloanzisha kundi la kigaidi ?
Faida kwa wote Mayahudi na Mapalestina.Wamejichagulia kufa kuliko fedheha.Lakini masharti ya kusitisha vita yakitimizwa maisha yatakuwa mazuri kwao na kwa mayahudi.
Huo ni msimamo mzuri sana unaendana na mezani.
Nikiwaambia kwamba hamuna munalojua munajifanya kubisha na kupingaSijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.
Hao magaidi wa kislamu wanaua washirika wao ama dini nyingine?
Boko haram wanaua waislamu huko maiduguri?
Al Shabab Wanaua Wasilam wa Somalia?
Case closed bila hojaSina ushahidi, hivyo :
1. Papa ndio anasema alah akbar.
2,. TBJoshua ndio anasema alah akbhar
3. Mwamposa - ndio anasema ala akbar.
Case closed.
Siku nyengine uache kuropoka ropoka kijanaSijajua , Mackenzie ni cult na ni Mkristu na hajaua dini zingine ila ameua washirika wake.
Hao magaidi wa kislamu wanaua washirika wao ama dini nyingine?
Boko haram wanaua waislamu huko maiduguri?
Al Shabab Wanaua Wasilam wa Somalia?
Wanataka wasio waislam kwanza waondoke kwenye ardhi za kiislam au wawe waislam na baada ya hapo ndio wasambaze jihad kwingineko.Mkiambiwa akili zenu hazina akili mnakataa
Sasa kwanini makundi yote yanafanya kazi kwenye nchi za kiislamu kwa 99% na kuua waislam wenzao
Badala ya kwenda kusipokua na waislamu?
Wanawaua wale wanaopingana na mafundisho haya hapa chini 👇Nikiwaambia kwamba hamuna munalojua munajifanya kubisha na kupinga
Hujawahi kusikia au kuona alshabab wanaua watu miskitini?
Hujawahi kuona au kusikia boko haram wanaua watu miskitini?
Kama hujawahi nenda ka gugo halaf ulete majibu
Pia isis is alqaeda nawengineo wote wanaua waislam
Wanawaua wale wanaopingana na mafundisho haya hapa chini 👇
***********************************************
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
********************************************
Sijui watu uwa mnawashwaga na nini!! Kama si mihemuko,usingesema wao hawana cha kupoteza.
Mnajazwa ujinga huko mlipo,mara ohhh wamerusha makombola yote yamedakwa. Kuna nchi ilitakiwa iwe na ulinzi mkali kwa raisi wake kama USA? Kilichotokea majuzi kwa Trump,ni ishara tosha ya kuwa hata wanaojiita mafia,juu yao kuna wengine.
Weee,unadhani vita ni makopo yanayopigwa kama ngoma? Israel haiziki,wanazika tu wapalestina!!! Aiseee
Kila nafsi ina haki ya kuishi.
Ila kweli, imeloa. Ndo maana.
Wanasema kwamba kama hujabatizwa huwezi kuielewa biblia kwani wanasema ikisemwa upanga wewe utajua kua ni upanga hivyo hivyo.
mnapochoma mwiz mnaona sio unyama ila wanapouliwa hao watekaj na wauaji basi hiyo ni unyamaa , ngozi nyeus imelaaniwaBora wawauwe wote tu
maana kama ni unyama wametendewa wa kutosha
haina haja ya mazungumzo..wapalestina kila kitu kimewasaliti,ulimwengu mzima umewasaliti inaonekana hata mungu hayupo upande wao.
Imeloa sala ni moja ya mafundisho ya uislamuSiku nyengine uache kuropoka ropoka kijana
Hawa wanaoupigania uislamu bado wanaua waislamu sasa wanapigania waislamu gani?
Mwisho-naomba unitajie kundi moja la kigaidi mnaloaminishwa kwamba linaupigania uislamu halafu haliui waislamu ambao linawapigania
Muache upuu,i