HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
 
HAMAS ni jina tu ila Movement yenyewe ni Ukombozi wa wapalestina.
Unaweza kupiga jina liitwalo HAMAS likapotea ila kesho movement itaendelea kwa jina jingine!
Hamas ni zao la Israel na Marekani. Walitaka kuwagawa wapalestine ili iwatawale vizuri. malengo yao yalikuwa Hamas ipambane na Yasir Arafat ili kuwadhoofisha wapalestine katika kudai ukombozi wao. Leo hii Hamas imewageukia wayahudi wenyewe.
 
Avha uongo, siyo 21 ni 24.
 
Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
Zile zile propaganda za kwamba ghaza imegawiwa vipande viwili mmeileta tena mara hii[emoji3]
 
Hamas ni zao la Israel na Marekani. Walitaka kuwagawa wapalestine ili iwatawale vizuri. malengo yao yalikuwa Hamas ipambane na Yasir Arafat ili kuwadhoofisha wapalestine katika kudai ukombozi wao. Leo hii Hamas imewageukia wayahudi wenyewe.
Ila imeshakua ideology sasa.
Ni kama Taleban na mujjahedeen walivyoundwa na USA kupigana na USSR na kuiangusha.
Mwishowe Taleban ikabaki kuwa itikadi kali ambayo imekuja kuwageuka USA wenyewe
 
Hao hizbollah wananikoshaga sana roho.
Na wamesema kama vita itazidi kupamba moto watatumia sophisticated weapons ambazo walizibagua kutumia ili vita isiwe kubwa.
Safi wawatwange tu mazayuni sio yakuyachekea yale
 
Hadithi za Alinacha. Kila dakika Isreal wanauliwa
Hamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa
 
Hamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa
Wenzako wanapunguza idadi ya askari wewe unasema wanasonga mbele.
Hata habari unatizama kweli kijana?
 
Umri wa miaka 23 ameshakuwa Maj. General?
Au wamekosea?🤔
 
Netanyahu kagomea masharti sio rafiki kwake.
Sio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
 
Nani analia lia? Wiki hii wapalestina wangapi wameuwawa? Na Waisrael wangapi wameuwawa? Mind you leo Jumanne. KAZI KUJIPA MOYO TU. Kufikia Jumapili wiki hii jumlisha idadi ya wapalestina na Waisrael ndo utajua muelekeo wa vita huko tunakoenda.
Aisee kumbe ni mashindano? [emoji2955][emoji2955][emoji2955]

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Sio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
Hakuna sehem khan younis imezungukwa.
IDF imeshapunguza idadi ya askari Gaza.
Hayo masharti hayakua rafiki kwa Neta pussy cat kwasababu yanasema Hamas ibaki uongozini ndio kitu Neta pussy cat hakitaki.
Khan younis kaa la moto kwa IDF .
 
Wenzako wanapunguza idadi ya askari wewe unasema wanasonga mbele.
Hata habari unatizama kweli kijana?
Nimeshakuambia hakuna vita isiyokuwa na vifo Wala majeruhi huko Russia kwenyewe vifo na majeruhi havikosekana tena yy anapiga kutokea mbali sembuse IDF walioamua kuingia nyumbn kwa magaidi?

IDF wanasonga mbele ndio, Niko naangalia Aljazeera muda huu wanasema Khan Younis ngome kuu ya Hamas imezungukwa na IDF, vita vilianzia Southern Israel watu wakala kichapo wanakimbilia Gaza wanaume wakawafuata huko huko wakaanzia north Gaza wamesafisha wakaja Gaza City msako ukaendelea na sasa watabe wapo Khan Younis southern Gaza kama sio kusonha mbele ni nini?
 
Hakuna sehem khan younis imezungukwa.
IDF imeshapunguza idadi ya askari Gaza.
Hayo masharti hayakua rafiki kwa Neta pussy cat kwasababu yanasema Hamas ibaki uongozini ndio kitu Neta pussy cat hakitaki.
Khan younis kaa la moto kwa IDF .
Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…