Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Kwenda zako wewe, ntazidi kukuita kijana nani unamtisha humu ndani, huna lolote wewe mchumia tumbo tu, mkubwa hatishiwi nyoka wa kuchorwa, kawatishe hao hao, kama unabisha nambie wapi nikufate afu tuone utafanya nini, we wa wapi wewe au umetoka mkoa umakuja kushangaa maghorofa town huku? Potea huko.Jaribu kuwa na adabu ndugu...unaniita kijana unanifahamu...!!?
Harafu mimi siyo shabiki wa mambo ya siasa, naangalia hoja kwa maslahi ya nchi, siangalii mambo kwa ushabiki wa kiitikadi...ukihitaji uthibitisho wa sauti zilizorekodiwa siku hiyo njoo uniPM upate facts...
Tafakari...
Kwahiyo umeshajigundua kuwa we ni mpumbavu ndo maana unazidi kubishana au?Usibishane na mpumbavu kwani hata wewe utaonekana mpumbavu.
Kama kauli zitakuwa zitafsiriwa hivi basi tunaweza kupata shida sana katika kupata ukweli
Alotumwa baba yako pamoja na wewe muje huju ndani kuharibu hali ya hewa, kenge weeeUmetumwa
Kwahiyo umeshajigundua kuwa we ni mpumbavu ndo maana unazidi kubishana au?
ushindwe na ulegee wewe pepo la laana, hii ni ndiyooo tu wewe kama ni mchumia tumbo ujue unapoteza muda wako bureeeeee, kaisome uielewe na upige ndiyooooo sio kubisha bisha tu, mnataka nzuri ipi tene zaidi ya hii, ya kwenu nzuri iko wapi?anayefukuzia tumbo lake lipate chochote anaweza kufanya lolote hata kudharau wakubwa wake....hv nani anaweza kuunga mkono katiba hii aliyetimamu zaidi ya wale waliopungukiwa na akili.....hamtofanikiwa katika hili.
ushindwe na ulegee wewe pepo la laana, hii ni ndiyooo tu wewe kama ni mchumia tumbo ujue unapoteza muda wako bureeeeee, kaisome uielewe na upige ndiyooooo sio kubisha bisha tu, mnataka nzuri ipi tene zaidi ya hii, ya kwenu nzuri iko wapi?
Anaepigania ugali ni huyo alokuzaaa na hao walokutuma, inaonekana jinsi gani wewe ndo unapigania ugali kwa kuendeleza ubishi kwa jambo makini kama hili, eti kisa UKAWA wamekutuma na unalipwa jero jero kwa siku, hahahaha acha kuwa kibaraka wewe au umekuwa JINI sema kama we ni jini maana majini ndo yanatumwa tumwa kokote kule.Kumbe ndio maana....kwanini mkubali kufungwa kiakili na kifikra hata kma ni mtu mzima na hnaweza kunipa mashaka namna unavyoihandle familia yako (kama unayo)
Sidhani kama uaweza kunilazimisha kufanya kitu nishokikubali kama unavyofanywa wewe na kushindwa kutafakari unachoambiwa kwakuwa tu umefungwa kimfumo.
Ukweli wa hii katiba utajulikana tu hata kama wapo watu wanajaribu kuipigia debe ipate kura ya ndio hata kama haiungwi na hao wanaolazimishwa ispokuwa kwa wachache mfano unaofanana na wewe ndio wanaiunga. Kila mmoja ataamua kwa maamuzi yake kutokana na demokrasia aliyonayo.
NB: Hii ni kwa wale walionje ya wale waliofungwa na mfumo kama wewe na wale wenzako wanaopigania ugali..
Hufai kabisa wewe na upotoshaji wako.Heading yako misleading, futa.
Anaepigania ugali ni huyo alokuzaaa na hao walokutuma, inaonekana jinsi gani wewe ndo unapigania ugali kwa kuendeleza ubishi kwa jambo makini kama hili, eti kisa UKAWA wamekutuma na unalipwa jero jero kwa siku, hahahaha acha kuwa kibaraka wewe au umekuwa JINI sema kama we ni jini maana majini ndo yanatumwa tumwa kokote kule.
Nawe kubwa jinga kweli, unafata mkumbo kama kenge walioko kwenye msafara vile, hahahahahah hujui mada ilikotokea we unadandia tu.Unadhani basi amekusudia ku-mislead watu ,wala,ndivyo yeye alivyomuelewa,akili ndogo sana!!!
Ni mambo ya kuvumiliana tu!!!
Watu wengi humu wanajulikana kwa maelezo yao tu maana wametumwa na UKAWA tena wewe umo kwenye list, badala ya muwe wazalendo nyie mnakuwa wachumia matumbo tu, aibu hiyo.Am nonpartisan.......ukiongea ukweli mtu anakimbilia kukuita UKAWA....niko kujiangalia mm binafsi na watanzania wengine ni namna gani hii katiba itatusaidia katika utumiaji wa rasilimali za nchi hii kwa manufaa ya jamii na ushabiki wa chama kama unavyofanya wewe bila kujua nini unashabikia...
Watu wengi humu wanajulikana kwa maelezo yao tu maana wametumwa na UKAWA tena wewe umo kwenye list, badala ya muwe wazalendo nyie mnakuwa wachumia matumbo tu, aibu hiyo.
Na wewe una Ashq Majurugumu ama? Acha dharaumleta Uzi Una Ashq Majunun
Wewe acha kuongea ufamba wako humu, katiba yenyewe huijui na hata rangi yake huijui ndo ujifanye unayaona hayo, wakati imefafanuliwa vema kuwa Bunge ndo litatunga sheria ya kuelezea namna akaunti hizo zitakavyofunguliwa na nani mwenye haki ya kufungua na nani haruhusiwi kufungua, jiangalie wewe acha kukurupuka, hapatolewi chakula cha njaa humu ndani.Uzalendo kwa kuruhusu ufisadi wa kufungua akaunti nje ya nchi bila serikali kujua chochote......tumia akili yako bhana
kwi kwi kwi lol! Sijawahi kutumia id nyingine zaidi ya hii na wala sioni sababu ya kufanya hivyo. Ningekuwa mchumia tumbo ningejiunga na mafisadi kama mpumbavu wewe ili nifaidike huku nikiwasaliti watanzania wenzangu. Wewe taahira sijui hii ni id yako ya ngapi hapa katika juhudi zako za kuandika utaahira wako.
TYTA a.k.a TETTY a.k.a BAK a.k.a MWALLA huna lolote mchumia tumbo wewe mnaingia kwa zamu humu mmetumwa na UKAWA watu wameshawajua, njaa zitawaua nyie yani mnatafuta ugali kwa nguvu kiac hicho hahahaha duh nyie noma aseee. Mtauzwa angalieni.tehteh..anachofanya ni kukutoa njia kuu,ili udiscuss madai ya id mbili,,wakati suala lipo wazi wenyewe ndio wamekuja na id mpya mwezi march..
mwezi march 2015 ccm iliajiri watu wengi sana hapa jf
HATA USEME VIPI WEWE Ni UKAWA MESSENGER a.k.a Jini lakutumwa tumwa.sanaaa..tazama hii thread wanaotetea huu ugoro wote ni wachumia tumbo wa march.