ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Simba watakua watu wa ajabu wakifanya hiki unacho semaAtatoka Babra , Bughati ataendelea kuwepo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba watakua watu wa ajabu wakifanya hiki unacho semaAtatoka Babra , Bughati ataendelea kuwepo sana.
Mwamedi ni mswahili saana.. Hivi iliyocoment hapo ni akaunti yake kweli ama? [emoji23] [emoji23]Nishafanya yangu kweny page ya manara insta View attachment 1865202View attachment 1865203View attachment 1865204
Hizo co account zao hizo zoote ni fakeMwamedi ni mswahili saana.. Hivi iliyocoment hapo ni akaunti yake kweli ama? [emoji23] [emoji23]
!Mkataba gani wakati anafanya kazi bila mkataba iliaendelee kutumia mwamvuli wa Simba kujipatia deals mbalimbali.
Atleast 1930sSimba was born 1936, Utopolo mdebwedo 1935.
Nikipigwa BAN mfululizo hupati Choo?Huyu GENTAMYCINE kila mwezi lazima apigwe Ban
Akipata hiyo Life BAN kwenye Akaunti yako Pesa zinaongezeka na huo Upumbavu wako ulionao unatibika na sasa kuwa una Akili?Inabidi apate life ban, ila POPOMA ana ID kama mia hivi
Akitoka Simba na brand imekufa na hili analijua%Basi ngoja atoke Simba aendeleze brand yake
Huko sawa Kwani Manara ninani Simba ni kubwa bwana!Haji Manara ameonesha utovu wa nidhamu wa hali ya juu! Anamwambia CEO akome!! Kwenye taasisi yoyote CEO ndo kila kitu! Unamtukana CEO hadharani unategemea nini? Manara ameifedhehesha sana simba!! Hata kama CEO akiwa na makosa hiyo siyo namna ya kushughulika naye. Siwezi kushangaa kama Manara akimtukana baba yake! Hana adabu!! Ni aibu kwa baba yake pia!!
Nashauri awekwe pembeni kwa siku 7 apate muda wa kutafakari! Asiambatane na timu kigoma!! Baada ya siku saba 7, amwombe radhi Barbara hadharani. Kisha kama ana malalamiko yoyote ayawasilishe kwa uongozi. Akishindwa hilo aende zake!! Mchango wake kwa simba tunautambua lakini ameamua kunyea kambi!
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Kwa sasa Manara hana hadhi ya kujadiliwa na mimi
Wamekufungulia umeanza matusi POPOMA weweAkipata hiyo Life BAN kwenye Akaunti yako Pesa zinaongezeka na huo Upumbavu wako ulionao unatibika na sasa kuwa una Akili?