Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

Hawa vidagaa hawana madhara kama wale wanaochukua mlungula wa kina ADANI ili watwishe Taifa katika mikataba mithili ya kina Dowans.., Yaani kama hawa ni wachawi wale wanakula kabisa nyama za watu...
 
Kwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!
Yani Rushwa imefanywa sehemu ya maisha ya kibongo. Mtu huyo anasomeshea watoto na kulisha familia kwa fedha haramu. Unaoa mtto aliyesomeshwa kwa laana alafu mnakimbilia kwa mwaposa kungoa laana za mababu
 
Umeishia level gani ya elimu mkuu
 
Huyu mama hatumii hata akili kula rushwa.Yaani anapokea waziwazi bila kificho kabisa.Anaona kama ni haki yake kupokea rushwa
 
JF kuna watu wanafiki sana. Mtu akileta thread hapa akisema kakamatwa na traffic akaombwa atoe rushwa watatoa povu kulaani huyo askari, leo anafanya hicho hicho kwa daladala watu wale wale wanaona ni kitendo sahihi.
 
Serikali ndio iangalie biashara ya usafirishaji inavyolipa hapo,foleni na za kubrashia viatu lakini bado faida inapatikana,inakuaje brt bus zao zisizotoa za kubrashia viatu na azikai foleni barabarani zinapata hasara!mradi wa brt wapewe watu binafsi
 
JF kuna watu wanafiki sana. Mtu akileta thread hapa akisema kakamatwa na traffic akaombwa atoe rushwa watatoa povu kulaani huyo askari, leo anafanya hicho hicho kwa daladala watu wale wale wanaona ni kitendo sahihi.
Au mtu anakuja kulalamika hapa kua hupati Passport bila rushwa,
Halafu hapa ana support rushwa!
 
Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama mfanyofanya kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.

View attachment 3202252
Mnashidwa kuhangaika na watu wakubwa mapapa wanaokula billions of money mnahangaika na hawa samaki wadogo ambao ni wazi ujira wao ni mdogo ma maisha yanapanda bei kila kukicha....shame on you.
 
Ukimiliki Ndinga ndio utajua traffic kupokea rushwa si dhambi bali ni msaada kutuokoa na mikononya Serkali sisi tunaojitafuta.
 
Kwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!
Ni halali sio mpaka iandikwe kwenye vitabu.
Sio rushwa iite takrima, ipo kila pahala hiyo kwa hapa Tz.
 
inasikitisha sana,
Nadhani watanzania wengi hata hawajui wanataka nini, inasikitisha sana!
 
Kwa utafiti wangu mdogo kwenye hii thread nimegundua sisi OLD GUARDS ndio tunaona si sawa. Hawa new gen z wanaona sawa na ndio utaratibu mzuri wa maisha.

Wengine wapo huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ