msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Kwa kitendo hiki! Hapa ni baba Jeni bai bai!Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama mfanyofanya kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
Na ndio hao hao wa kwanza kupiga kelele kwamba viongozi hawana maadili wala nidhamu Ofisini!Wananchi tuna uelewa mdogo sana, hatujui tunataka nini. Hakuna rushwa ndogo
Ugumu wa Maisha sio sababu ya kula rushwa.
Anasalimiana na wateja wake jamani hakuna ushahidi wa kupokea kitu hapo,case closedHapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama mfanyofanya kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
Ukitaka kupambana na kudhibiti rushwa anzaa juu huko kwa vigogoSure,
Wanaamini life is all about dirty deals kama Rushwa etc....
Hahahaaa hata angekuwa mtoa post lazima angepokea ya maji, ila wengine wanaboa unakuta lengo ni pesa ya maji ila ataanza kuwachelewesha weeAcheni u snitch mnataka wenzenu wakale wapi?
Hiyo sio rushwa wanachukua hela ya dawa ya viatu...Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama mfanyofanya kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
mbona kama linazungumzika hiliHapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.