Wema na ubaya vyote ni mbegu na vyote ukivipanda vinaota na mvunaji ni wewe uliyevipanda! Tunakumbushana kwamba ukipanda bangi huwezi kuvuna mahindi!

 
Hotuba nyingi za nyerere ni vijembe kwa mwinyi kipindi alipokua raisi

Laiti nyerere angelitambua hilo kwamba hata ongoza milele, basi ange-balance katiba

Katiba ya kujiangalia yeye ndio imetugharimu hadi hivi leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…