Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Fadhila kwani lazima?nini maana ya kulipa fadhila?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fadhila kwani lazima?nini maana ya kulipa fadhila?
Akili haunaRudia tena kusoma nilichoandika.
Si mchezo.Unaambiwa harmonize alimpigia simu mpaka mwakyembe ambaye kwa wakati huo ndio waziri wa sanaa, lakini yule mnyakyusa naye alikuwa chawa hakutaka kumsikiliza harmonize
Ni bossDiamond sio msanii mwenzie?
Na Harmo lazima alipe fadhilaFadhila kwani lazima ?
Indeed let him be who he wants to be mm cjaona kosa lake coz all in all mwanume mwenye akili anafwata maslahi nothing else.Nani huyo alikuomba uandike malala wewe, au unajitekenya na kucheka alone? Whatever the case Kondeboy ni fighter
Sio lazimaNa harmo lazima alipe fadhila
Umeongea ukweli dogo hajakomaa kwenye uwanja wa medani tumuombee tu kashajionesha ni mtu wa aina gani watu wataanza kumkwepa na kuwa royal fans wao hawalioni hili, nahisi hata management yake imekosa weledi.Nionavyo elimu inamnyima mwanga Harmonize na sijui kwa nini management yake haimshauri.
Hivi ni kweli alichoandika Diamond kilitosha kumfanya Harmonize afikie hasira anazodai kuwa nazo?
Tukubali yote ni sawa, kulikuwa na sababu gani ya kumuingiza Rayvanny na Kusaga katika issue za Diamond?
Hivi 40% katika record label ni ndogo? Umewahi kufikiri idadi ya watu waliopo nyuma ya hiyo 60%
Ili tumumjani alipaswa athibitishe mikataba ya record label yake inatoa ngapi?
Katika vita jana ndio ametumia silaha ya mwisho wakati vita haijapamba Moto. Kilichobaki tumuombee tuu.
Unagoma vipi kusaini kama kipengele cha kuvunja mkataba kipo na mtu kafikia kidau husika?Sasa si mpaka wakubali kusaini sasa .
Aibusana, ilanilisikia akisema rais alimpigia cm mwakymbe iliawazuie air potrt wasisafiri mbaka wasaini kuvunja mkataba. Hapo ilitoka amri hakukua na ubembelezaji.Naomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi si mpenzi wa Muziki wa Tanzania na wala siwapendi wanamuziki wa Tanzania , hii ni kwa vile wamekuwa mara zote wakitumika na ccm kuwapotosha
walilipwa kila walichostahili kwenye mkataba wao , lakini kuna hili HUNIWEZI KISERIKALI , HUNIWEZI KIFEDHA NA HUNIWEZI KIUCHAWIUnagoma vipi kusaini kama kipengele cha kuvunja mkataba kipo na mtu kafikia kidau husika?
Mfano mimi ninaifanyia kazi jf kimkataba, ila kuna kipengele tumeweka nikitaka niachane nao, niwalipe milioni 10, sasa nayoa 10M kisha wanagoma, wanaanzaje?
Angewaburuza mahakamani tu kama ni kweli au la basi huo mkataba ulikuwa huna higho kipengele.
Binamu![emoji16][emoji16][emoji16]Solution ni tumsapoti Hamo anajitahidi nyie sio mchezo anavyohaso
MMimi hwa sipendi hata kuyasikia takataka tupuNaomba kuweka wazi kabisa kwamba mimi si mpenzi wa Muziki wa Tanzania na wala siwapendi wanamuziki wa Tanzania , hii ni kwa vile wamekuwa mara zote wakitumika na ccm kuwapotosha wananchi , na hasa hawa wanaoitwa Wanamuziki wa kizazi kipya