HATARI: Zama za Wakatoliki kuendelea kutubu mbele ya Padri zimepitwa na wakati

Nilikiwa sijui hili...Kumbe Padri anayo pawa ya kusamehe dhambi?
Au kwakuwa Yesu alisamehe basi padri nayeye ana status ya Yesu?
 
Kwani ulikuwa unapata faida gani kuandika ambayo huyajui just kupata likes kutoka kwa watu ambao wala wasingekusaidia japo hata chupa ya maji???
Wewe nishakuelewa mkuu nyinyi ndio wale wale mnaojifanya mnalipamba kanisa mkiwa nje ila mkiingia ndani mnalichafua tena mnalichafua vibaya, sikuandika kupata chochote hata bando nililojiunga nimenunua kwa pesa yangu sijakuomba hata senti moja na kingine sijajiunga JF kwa sababu ya kupata likes pale ninapoandika jambo, maelezo yako yanaonyesha ni jinsi gan ulivyo narrow minded, uwe na mipaka katika kile unachokiandika alafu unazidi kuwaaibisha na wengine kwa kujionyesha jinsi mlivyo, mnapenda
sana kuonekanaa nyinyi ndio wakweli zaidi ila wengine ni waongo, that's bad biblia haifundishi hivyo labda hio kampuni yenu ndio inayowafundisha hivyo
 
Sawa, kwahyo anayesamehe dhambi ni Mungu au padri?
Anayesamehe dhambi ni Mungu kazi ya Padre ni kuwa shahidi na kusimama kama muongozaji tu that's why ukishamaliza anakwambia nenda kasali sala moja mbili tatu the rest yanabaki kwa Mungu mwenyewe.
 
Nini kilikufanya kuacha kuungama mbele ya Padri?
Kama kweli ni Mkatoliki ipo siku atafanya hivyo tu,hata mimi ni muda sijaungama ila najua napaswa kufanya hivyo na kuna siku nitafanya Mungu akipenda hata nikiwa ktk mazingira ya hatari
 
Sasa waza haya mambo.
1. Ikiwa Padri wako ni mtenda dhambi kama wewe, unaendaje kutubu kwake? (Kwa mfano jana umegundua Padri wako kamtandika mimba binti yako na wamepanga kuitoa na wewe leo umetoka kula mzigo wa malaya fulani, sasa unataka kwenda kutubu dhambi ya uzinzi kwa Padri, unafanyaje?)

2. Leo umetenda dhambi ukiwa safarini na unajihisi kutubu, utasubiri ufike au urejee safari ndio ukatubu kwa Padri wako?
 
Mtoto umri miaka 12 anatubuje dhambi anatoa wapi dhambi maisha haya
12yra anawekwa ulutani na kuhimili mambo ya padre? Mmh bila shaka huyo ni ibilisi ndani ya mwanadamu
 
Naelewa hilo mkuu
 
Anayesamehe dhambi ni Mungu kazi ya Padre ni kuwa shahidi na kusimama kama muongozaji tu that's why ukishamaliza anakwambia nenda kasali sala moja mbili tatu the rest yanabaki kwa Mungu mwenyewe.
Kwahyo Mungu anahitaji msimamizi hapo katikati ili asamehe? (padri).

Yani nataka kujua kabisa core function ya padri hapo maana umesema hasamehi
 
12yra anawekwa ulutani na kuhimili mambo ya padre? Mmh bila shaka huyo ni ibilisi ndani ya mwanadamu
Mkuu nimejiuliza sana.
Mtoto kama huyo anaingilowa yuko kimya tu?

Njiani katembea vizuri tu?

Mmmh nafikiri mtoto alishaonja mara nyingi na huenda huu sasa ulikuwa mpango wamshikishe jamaa adabu
 
Zama za kiimani kwa Kanisa Katoliki zimebadilika, maisha ya waumini na Mapadri ndani ya Kanisa Katoliki yamebadilika, na mifumo ya kimaisha imebadilika.
Vivyo hivyo kwa Uislam. Mambo ya kufundishia watoto Qaswida na Quaran kwenye Madrasa yamepitwa na wakati maana masheikh na ma-Ustaadh wanawazibua mpaka mitaro ya dawasco! Hatuna pa kukimbilia tena!
 
Kanisa katoliki limeshajiwekea misingi imara sana mbele ya jamii na njia moja wapo ni mafundisho yanayoanzia utotoni
Litakuwa na makandokando lkn waamini wengi bado watakuwa nalo tofauti na haya mengine yanayodakia watu juu kwa juu
Binafsi sijaenda kanisani na mwaka wa 3 😃 lkn kila ikifika j2 nafsi inaniambia ni siku ya ibada natakiwa niwe kanisani
 
Anayesamehe dhambi ni Mungu kazi ya Padre ni kuwa shahidi na kusimama kama muongozaji tu that's why ukishamaliza anakwambia nenda kasali sala moja mbili tatu the rest yanabaki kwa Mungu mwenyewe.
Sasa kama Padri ndio shahidi wakati natubu dhambi zangu kwa Mungu, je katika zama hizi za mapadri kujulikana wazi wachafu kitabia, nini mantiki yake yeye kuwa shahidi wa kutubu dhambi zangu?

Utakubaliana na mimi hapo zamani mapadri walionekana kama watu wema, wasafi kitabia na watu wenye uchaji wa Mungu, hivyo muumini alipokuwa akitubu mbele ya Padri hakuwa na wasi wasi wowote kuhusu toba, maana anaye mshuhudia (Padri) ni mtu msafi. Katika zama hizi, huoni hilo la kutubu mbele ya Padri halina mantiki au kupitwa na wakati?
 
Vivyo hivyo kwa Uislam. Mambo ya kufundishia watoto Qaswida na Quaran kwenye Madrasa yamepitwa na wakati maana masheikh na ma-Ustaadh wanawazibua mpaka mitaro ya dawasco! Hatuna pa kukimbilia tena!
Watoto wa kiislamu ni muhimu wafundishwe dini, madrasa ni muhimu. Jambo la kuhimizwa kwa sasa ni hili;
1. Walimu wao waangaliwe kwa karibu.
2. Watoto waonywe na kufundishwa na wazazi wao kuhusu dalili ya mienendo mibaya na mazingira hatarishi popote pale watakapokuwa.
 
Maswali ya imani wala hayahitaji logic mkuu,

Down the line, mtu anaweza kukuuliza na wewe unatubuje dhambi kwa Mungu ambaye hujawahi kumwona kwa macho yako? Kwa akili ya kawaida unaweza kujiona insane.
 
hao jamaa wa hiyo imani ukiwashauri hata uwe mkristo mwenzao,wao hasira zao wanamalizia kutukana uislamu na Waislamu,watakuambia mara wavaa kobazi, Mara vipedo,

Cha msingi Ni kuwaacha tu hao viongozi wao wa dini wawafffire watoto zao na wake zao, pumbavu,
 
Ndugu yangu umeelewa mada?
Mada ni kama kuna mantiki ya kuendelea na utaratibu wa mkatoliki kutubu mbele ya Padri wakati mapadri wengi wana sifa mbaya, wasiotunza siri nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…