Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hahahah kiba100 ni msala aisee! Kisha akaamua achepuke dah [emoji28][emoji28][emoji28]
Ana ujasiri kweliii[emoji23][emoji23] unajua ukawa na kibamia unakua msiri sana kidudu chako unakificha tu maana sisi habari tunapeana[emoji23][emoji23] ila kapata ujasiri.

Mbona kawa kimya ghafla?
Leo hakuna misa mbona jaman kaenda wapi tena
 

Aisee.. umemuumbua na kapotea mazima 🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?

Ujue mpaka naogopa
 
Ni kweli mke wake hajatumia approach nzuri kulimaliza hili.

Ila ili ni funzo kwa sisi wanaume, ukiona mwanamke kajitoa kukuheshimu basi na sisi tujiheshimu.

Mtoa mada anatupa funzo kubwa kwa anayoyapitia.
Yes. Na sijisikii vizuri kumcheka kwa kweli[emoji26] Mungu anisamehe kwa hili. Ni shule tosha kwetu sote. Kila jambi ktk jamii liwe negative ama positive ni shule kwetu sote.

Ubaya sasa, mwanamke akasema baasi ni anamaanisha kweli kweli...
 
Mkuu huo mchanganyiko naujua huo,unatoaga viumbe wakali.
Kama kweli uzinzi/uesharati ni dhambi asilimia 90 ya wanaume moto unatuhusu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?

Ujue mpaka naogopa
Trust me mkuu badilika[emoji23]
Ujue utaleta uzi siku humu? Nitakuchambaaaaa[emoji23] hakuna mkamilifu. Ndo maana ameamua kuvumilia. Ila same tabia yenye negative impact ikizidi ataquit siku aisee.. utaliaaa ujue kama mleta mada. Saa hizi analia ujue? Na hv hela hana, kazi hana basi anasoma hapa machozi yamelowanisha screen ya simu[emoji23][emoji23]
 
Wanaume tuna la kujifunza kwa mtoa mada,

Mara nyingi stori za kuskia upande mmoja hazinaga uhalisia.

Wengi sana wamemhukumu mwanamke bila kujua chanzo ni mwanaume

Jamaa inabidi atafute wazazi na washauri wa kiroho wamsaidie kuliweka sawa
 
Mwanamke mkweli ni mama tu I belive it, sijawahi kuacha kulikumbuka hilo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?

Ujue mpaka naogopa
Anakuz00m tu kwa sasa, usipobadilika atakutandika revenge moja ya hatari hadi ushangae. Na ke wengi siku hizi ukiwazingua akiamua kusepa hana time na watoto ni anaondoka zake kuhusu watoto ataugulia maumivu yao mbele kwa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…