Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Nimeona mazingira yake kumbe alikuwa mshenzi tu kwa mkewe [emoji28][emoji28][emoji28]
Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.

Na aliemchapia mke wake ni mtu anaemfahamu vilivyo, ndo maana kapata jeuri ya kumrushia shombo.

Baba yangu aliwahi niambia
"Mwanangu kumbuka sana unapokua na kipato kizuri, ogopa sana kuchukua mwanamke wa mtu uliemzidi kipato"[emoji116]
2021-06-23-10-39-13.jpg
2021-06-23-10-40-36.jpg
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

Aisee ndoa ndoano
 
Hahahah atakula alipopeleka mboga hivi huu umalaya sijui watu wanahangaikaga nn wakati mtu ana mke mzuri [emoji28][emoji28][emoji28]
Changamoto sana,
Mungu atunusuru sana na uyu pepo sisi tuliokwenye ndoa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila na wewe si unapita mule mule kama jamaa? Si na wewe unasasambua sana mbususu ama?[emoji23][emoji23] muda wako waja pia maaninaaa zenu. Dawa tuwe na pesa tuu tuwaoe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna ela unaiskilizia eeh?
 
Imeandikwa
"Kila mmoja atabeba msalaba wake"

Ila huu msalaba wa mtoa mada ni mzito sana maana wanamchapia pale pale jiran na kwake.

Na kibaya zaidi,
Na maneno ya shombo wanamrushia.
Simpatii picha vile anapitia huu mjadala hapa ana recall matukio huku chozi likilowesha screen ya device anayoitumia
 
Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.

Na aliemchapia mke wake ni mtu anaemfahamu vilivyo, ndo maana kapata jeuri ya kumrushia shombo.

Baba yangu aliwahi niambia
"Mwanangu kumbuka sana unapokua na kipato kizuri, ogopa sana kuchukua mwanamke wa mtu uliemzidi kipato"[emoji116]View attachment 1827403View attachment 1827404
Hahahah mzee kakupanga vizuri, ukiwa na hela ukimpora mtu demu wake jua ipo siku utafulia na mwanamke huyo atarudi kwa mumewe utalia kinoma😅😅😅
 
Kwani mkuu wewe ndo umekamilika? Tatizo lenu ndugu zangu huwa mumejipa ukamilifu sana. Sisi kupewa mioyo ya uvumilivu isiwape upofu. Tunaumiaga sana. Tunainvest kwenu ila nyie munahamisha.

Mtu anapokupiga tafu haimaanishi hana mahitaji yake. Ni huruma tuu na upendo. Na siyo kila mwanamke can offer that. Very few. Na mnavyotuharibu ndo mnatufanyaga tuwe magangsta kweli.. huruma ikishapoteaga ni baasi. Kuna siku utamkosa pia na huyu halaf uanze lalamika wanawake wote takataka tu kumbe wewe ndiye jalala. Pendeka mkuu. Invest kwaajili ya familia yako. Maradhi yapo.
Inapendeza siku moja wewe na mke na wanao mnatola tu kavaccation hata maldives, beach ya portugal huko sijui wapi. Siyo mkabanane kidimbwi daily na milupo.
Umeongea ukweli mtupu, Binafs uliyoyaongea nayaona kwa mke wangu.

Mungu ampe maisha marefu japokua chagamoto za hapa na pale zipo tunapamban nazo
 
Kibaya zaidi alkua na tabia ya kutafuna mademu wa wenzake kipindi alipokua na pesa.

Na aliemchapia mke wake ni mtu anaemfahamu vilivyo, ndo maana kapata jeuri ya kumrushia shombo.

Baba yangu aliwahi niambia
"Mwanangu kumbuka sana unapokua na kipato kizuri, ogopa sana kuchukua mwanamke wa mtu uliemzidi kipato"[emoji116]View attachment 1827403View attachment 1827404
We jamaa sio mtu mzuri aseeee, utamuua huyu mleta mada maake unagonga nyundo za kichwa[emoji1]
 
Wanaume wakiwa na hela hawashikii uhuni tu na kutesa wake zao, hafu wakiona wake kimya hujua wamesamehe kumbe wake huvuta tu mda, Sasa mleta mada anajiliza Liza hapa baada ya kulipiziwa, ndio maana twaambiwa usichopenda kufanyiwa Jambo usitendee wengine.
Mkuu mimi kwa wifi yako nakuwa mnyenyekevu balaa,hata akikosea namwelekeza kwa upole naogopa hikihiki uchosema
Mkuki kwa nguruwe...,
 
Back
Top Bottom