DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Nimeoa mkuuUmeoa mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeoa mkuuUmeoa mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ana ujasiri kweliii[emoji23][emoji23] unajua ukawa na kibamia unakua msiri sana kidudu chako unakificha tu maana sisi habari tunapeana[emoji23][emoji23] ila kapata ujasiri.Hahahah kiba100 ni msala aisee! Kisha akaamua achepuke dah [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa hili huwezi pata jibu sahihi nduguHahahah atakula alipopeleka mboga hivi huu umalaya sijui watu wanahangaikaga nn wakati mtu ana mke mzuri [emoji28][emoji28][emoji28]
Uyu jamaa kufulia inawezekana ni kweli kafulia,
Ila kufulia ni kisingizio tu cha kuficha sabbu za mke wake kuchepuka.
Inavoonekana alvokua na ela alkua mchepukaji mzur, pesa zimeisha michepuko imemkimbia.
Na wenzie wenye hela wameamua kumsaidia kumtunzia mke wake mrembo azidi kunawiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?Kwani mkuu wewe ndo umekamilika? Tatizo lenu ndugu zangu huwa mumejipa ukamilifu sana. Sisi kupewa mioyo ya uvumilivu isiwape upofu. Tunaumiaga sana. Tunainvest kwenu ila nyie munahamisha.
Mtu anapokupiga tafu haimaanishi hana mahitaji yake. Ni huruma tuu na upendo. Na siyo kila mwanamke can offer that. Very few. Na mnavyotuharibu ndo mnatufanyaga tuwe magangsta kweli.. huruma ikishapoteaga ni baasi. Kuna siku utamkosa pia na huyu halaf uanze lalamika wanawake wote takataka tu kumbe wewe ndiye jalala. Pendeka mkuu. Invest kwaajili ya familia yako. Maradhi yapo.
Inapendeza siku moja wewe na mke na wanao mnatola tu kavaccation hata maldives, beach ya portugal huko sijui wapi. Siyo mkabanane kidimbwi daily na milupo.
Hahahahahahah kamkomeshaSio wa kuonea huruma uyu,
Hii ngoma ni 50/50 mwanamke kamfanyia revenge ya haja.
Hamna kitu inauma unajifanya unachepuka mbali uko, afu mwenzio akianza kuchepuka anachepukia pale pale unakoishi unaona kabisa[emoji2]
Anachokipitia mtoa mada na mimi nishawahi kukipitia kipind flan cha maisha.Umeoa mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Yes. Na sijisikii vizuri kumcheka kwa kweli[emoji26] Mungu anisamehe kwa hili. Ni shule tosha kwetu sote. Kila jambi ktk jamii liwe negative ama positive ni shule kwetu sote.Ni kweli mke wake hajatumia approach nzuri kulimaliza hili.
Ila ili ni funzo kwa sisi wanaume, ukiona mwanamke kajitoa kukuheshimu basi na sisi tujiheshimu.
Mtoa mada anatupa funzo kubwa kwa anayoyapitia.
ImeandikwaHii ni win win situation, ni kwa pande zote, Wacha kila mmoja akufwe na mzigo wake [emoji3]
Baasi bwana... ungeleta mahati chaap. Na wewe usichepuke lkn[emoji23] usivue huku kimya kimyaNimeoa mkuu
Mkuu huo mchanganyiko naujua huo,unatoaga viumbe wakali.Hahaha we acha tu ndugu, Kuna mama mmoja mchanganyiko wa muhaya upande wa mama yake na msukuma upande wa baba yake loooooh! Nilikumbana naye kilimahewa Mwanza pale aseeee ni shida kubwa! Halafu anajua kutifuana maana amekaa sana na wazaramo na wamakonde, yaani mtu utadhani kashushwa tu toka juu
Trust me mkuu badilika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?
Ujue mpaka naogopa
Wanaume tuna la kujifunza kwa mtoa mada,Wanaume wakiwa na hela hawashikii uhuni tu na kutesa wake zao, hafu wakiona wake kimya hujua wamesamehe kumbe wake huvuta tu mda, Sasa mleta mada anajiliza Liza hapa baada ya kulipiziwa, ndio maana twaambiwa usichopenda kufanyiwa Jambo usitendee wengine.
Mwanamke mkweli ni mama tu I belive it, sijawahi kuacha kulikumbuka hiloAsalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Aiseee. Asante sana kwa kuwa balozi mzuri. Mungu ni mwema sana tunashukuru umerudi kundini. Wanawake tinaonaga sana na tunajua sana mambo ni vile tinakaushaga tuAnachokipitia mtoa mada na mimi nishawahi kukipitia kipind flan cha maisha.
Nilipata funzo kubwa sana, na sitorudia tena upuuz ule.
Anakuz00m tu kwa sasa, usipobadilika atakutandika revenge moja ya hatari hadi ushangae. Na ke wengi siku hizi ukiwazingua akiamua kusepa hana time na watoto ni anaondoka zake kuhusu watoto ataugulia maumivu yao mbele kwa mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa si nimejisema kuwa namuumiza. Maana yake sijakamilika na ninashangaa inakuaje pamoja na uasi ambao anaukamata mara nyingi tu, but still anaonyesha upendo na huruma kwangu.?
Ujue mpaka naogopa
Na anakoma kweli kweliHahahahahahah kamkomesha
Nakumbuka kisa chako ulishea humu kama sijakoseaAnachokipitia mtoa mada na mimi nishawahi kukipitia kipind flan cha maisha.
Nilipata funzo kubwa sana, na sitorudia tena upuuz ule.
Kavuna huruma nyingi zaidi ya page 200 humu.Asante team ya makaburini [emoji28][emoji28][emoji28] kazi nzuri sana! Kumbe huyu mwehu alikuwa anatuinjoy tu humu