Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Pole sana mola akusimamie inaumiza lkn ndyo hvyo ishatokea hakuna namnaAsalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Haha mkuu kilichokuuma Zaid Ni mwanamke kujinyeregesha mwenyewe ...!Mwanamke wa kawaida hawez kua na ujasiri wa kufanya alichomfanyia mtoa mada.
Inavoonekana mtoa mada alipokua nazo,alikua anapiga pale pale mtaani na shombo anamwagia mkewe anadhalilika.
Kilichoniuma zaidi,
Mwanamke anafikia hatua anakuambia kwa maumbile uliyonayo humridhishi kabisa kitandani anaamua kujichua na anakuweka wazi kwa hilo.
Ila kama mwanaume hupambani kuona unalisovu vipi, wee unakimbilia kuchepuka ukijidanganya kua hawez kufireback.
Ulivyoonge kama vile wanawake kila ubaya wanaoufanya unasababishwa na matendo ya wanaume wakati nyie pia mmejazana kwa waganga kutia ME wenzetu uzezeta ili muwanyonye kwa kisingizio sisi ndio tunasababisha muache kutumia gas lighting na blames shifting.[emoji23][emoji23][emoji23] haya puuziaaa
Kiukweli,Yaanii ukisomaga threads humu unajisemea kumejaa wavulana. Unakuta wanajifaraguaaaaaa utasema Malaika Mkuu na kopo lake[emoji23] sijui Gabriel sijui mikael sijui nani. Yaan wanaharisha kwlei ili wapate support. Yakiwarudi baasiii ndo hivi..
Pole mkuu, Karma is also singleAsalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Ata kama katoa talaka,Huyu hata sio wakuhurumiwa acha skinywee hichi kikombe in hard way, wanaume wengi hufundisha wanawake ukatili na wao kusahau Tena huyu hajajifunza yeye alichepuka Sasa ana mlaumu mkewe ili apondwe na Wana jf. Dah Mimi mwanaume aliyeachana na mkewe humsikiliza ila hujua mwenye makosa ni yeye na michepuko Sasa kalipizwa na katoa talaka juu.
Beibe atapata wapi wakati hana ela na bado stress za kuchapiwa zinamchoma ndani kwa ndani?Saa hvi akiwaza kiuno Cha mkewe kinavo sasambuliwa roho inamuuma....haha
Ukiwa mhuni inabid uwe na roho ngumu uswe mlain lain
Atafute beibee mwingine aweke ndani
Hii jinsia wako wengi wenye uhitaji
This is karma[emoji2][emoji116]Karma is a bitch, what goes around comes around wahenga wakizungu walisema
[emoji23][emoji23][emoji23]Rais wa wafukua makaburi duniani.
Kaa kwa kutulia na usuburi kunyolewa. Mwanamke anaenda kwa waganga bila sababu? [emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]Ulivyoonge kama vile wanawake kila ubaya wanaoufanya unasababishwa na matendo ya wanaume wakati nyie pia mmejazana kwa waganga kutia ME wenzetu uzezeta ili muwanyonye kwa kisingizio sisi ndio tunasababisha muache kutumia gas lighting na blames shifting.
Yote kwa yote matendo ya mtu ni ya mtu kutokana expiliance yake ya ukuaji tusi generazion mambo
Nyie ndo wadangaji siku hizi[emoji23]
[/
😂😂😂Saivi wamechoka kupigwa maan vibinti vya sasa vijanja sana sasa ndio wameamua kutumia the same woman manipulation tactical Wenyewe wanaita iron dome yani kabla kombora lako alijatua wanalizuia lisifike
Kwani unadhani sababu nini hasa kupelekea kufanya hivyo😁 ?Kaa kwa kutulia na usuburi kunyolewa. Mwanamke anaenda kwa waganga bila sababu? [emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]
Jamaa atubu, asishupaze shingoKumbee kudadeki.
Jamaa kaivunja ndoa yake kwa mikono yake mweyeweOgopa sana technology hahahaha umefukua makaburi mkuu, kumbe jamaa analelewa mke wake ana maduka ndiyo yalikua yanamlisha mbaya zaidi anachepuka, huyu jamaa nimemdharau sana mjinga
Ila mkuu kabla ulete utetezi wako uliaga ukasema utajua mbivu ma mbichi nilijua exactly utaleta makaburi tu[emoji23][emoji23] watu wanajisahaugi sana.Kiukweli,
Inasikitisha sana[emoji18]
Kumpiga za uso[emoji23]Revenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kua makink sana mkuuKarma is a real bitch.....
najichunga sana nisiwe muovu
Hamna. Mimi naonaga ni bonge la ufalasi, eti mtu kakutosa, kaenda kuoa/kuolewa kwingine huko!; afu bado unarudi kulala naye kama mchepuko. Haswa hawa ndugu zetu utawasikia tu; wewe mkomeshe tu, mpelekee moto; ngoja akuambukize na Ukimwi, utajua haujui. Wote mnakuwa hamna akili; ukiachwa songa mbele kama Injili.Punguza ujeuri[emoji23][emoji23]
Nadhani hujui uchungu wa kulogwa aisee usiombe kukutana na mtu mwenye imani hizo😁Kaa kwa kutulia na usuburi kunyolewa. Mwanamke anaenda kwa waganga bila sababu? [emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]