Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Eeh, yaan kama hujachanga na zako umeisha. Jueni mbinu zenu za kizamani wanaume zimepitwa na wakati. Sema KARMA iheshimiwe sana. Inakujaga muda hata hutegemei na hujajiandaa. Ukiwaona wanavyotukandia na kutusimanga sasa.. mxieew.
Kuna Uzi ulianzishwa wa kupiga wanawake Kuna mwanaume akaenda kupiga mpenzi wake mahusiano yakafa akaja humu Analia lia na kujuta kudaganyika kisa Uzi, huwezi ishi kwa zama hizi na mwanamke ka enzi za mababu kamwe yatakushinda. Pia kila tukifamyacho huwa na matokeo kikiwa kizuri kitakuwa na positive results, na kikiwa kibaya obvious kitakuwa na negative results.
 
Daah, what a sad story..

Yaani huwa naamini 95% ya migogoro ya kifamilia huwa mwanaume ndo muasisi. Yaan lazima alishapiga matukio ya kutosha mke anaangalia tu. Sasa ukomo wa uvunilivu ukifikaga ndo mbaya. Yaani mwanamke anakua jeuri haijapata tokea.

Nawaangaliaga wanaume mitandaoni wanavyoongea ongea nasema hawa wajinga hawa waache. Nachosikitika ni aina gani ya kizazi tunalea. Kama nyie vijana wa kiume mnapinga haya sijui ndoa kwa tabia zenu mbovu na kukwepa majukumu ya kifamilia tunalea aina gani ya kizazi cha baadaye hasa wavulana? Vijana wa sasa ni tatizo sana. Hawataki kiwa responsible kwa uchafu wao. Daima ni kuwa bitter na kuwaona wenzao ndo wabaya. Yaan wanaume ni malaika kila uendako... madai yao tatizo ni ke. Hapohapo hawapo responsible kwa maisha yao wenyewe achilia mbali ya partners wao na familia kwa ujumla.

Niwaase wanawake wenzangu kuchagua partners walio responsible na kujielewa. Hii tabia ya kufanya mwanamke ndo awe baba qa familia wa familia ifike mahali wanaume mujitafakari sana sana sana. Tamaa mbaya sana. If u wanna be a real man then be one. Tabia za kudanga danga kama mvulana wa chuo achaaaa
Muhimu sana Wanaume tuwajibike,

Aya mambo ya kila sehemu unamwaga mbegu zako hutaki kuwajibika.

afu unakuja jf kuanzisha nyuzi za wasimanga Single mother sio ishu kabisa.
 
Wanawake hawanaga huruma jaman na mtu....labda mama yako tu...nakumbuka nilipomaliza chuo ile misoto ya mtaan..nikaachwa na mtu ambae tulidate for karibia 4 yrs ..pika pakua...kisa yeye alipata kaz mapema TRA...ila sasa toka hyo 2014...kaja kuolewa2021...nayeye kuachana kwetu alisema yeye anataka ndoa...hyo ndo changamoto yenu wadada..sio wavumiliv....sasa hiv kila kukicha anafatilia status zangu...mara kuniwish bday.mara anataka nikienda mkoa alipo tuonane.....kwa jinsi nilivyo jeur na ego kama zote...niliwai kutana nae mwaka jana hotelin mkoa aliko...halaf tukala chakula tu akiexpect tungepasha kiporo ila hakuamin jinsi nilivyomkwepa...mim nna kinyaa cha ajabu.yaan nilale nawew.halaf nijue umeenda lala na mtu mwingne..aisee..naweza tapika kabisa...labda kwa penz jipya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni noma
 
Tafuta hela na Omba Mungu! Inawezekana anguko lako la kifedha ni uchawi na ushurikina wake! Wanaume tuna hali ngumu sana bila kushika Imani!

Jitahidi sana kuwa mtu wa sala na kumfuata Mungu, otherwise utakuja kufa kwa mawazo na stress, Mungu na a kusaidia!

Mbili za huyo Mama Sio za Mda mrefu, atakuja tu kukwama, Hakuna namna! Usijali, watoto watakuwa tu, Mungu ndiyo hutupa riziki!
Hakuna chauchawi wala ushirikina pale.

Mwanaume ukishaingia kwenye ulimwengu wa michepuko, afu pesa yenyewe haiko stable.

Lazima kiuchumi pesa ikupukutike kwa kasi ya kimondo.
 
Jamaa mzinguaji unakuaje na kibamia afu mke mkali tako tako ...Apo ilitakiwa utafute ka mke kabovu shapeless .. msaidiane shida zenu avumilie kiba100 chako na wewe uvumilie sura personal.
Afu ukishakua mhuni acha wivu nk...na uwe tyari kwa outcomes za uhuni wako.
Hii meza Ni ngum kuipindua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]umempa za uso kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halaf nashindwa elewa kwanini anashupaza hv shingo. Ama ukute hata siyo yeye ameomba utengano bali ni mke aliamua baada ya kuvumilia ufala wake[emoji23][emoji23] yeye anataka comforting lies tu. Kibamia kitamgharimu sana. [emoji23][emoji23] na kuwa kote kule fundi wa kibamia baado akaachwaaaa... poooh mbakaa.


Kwann asiombe tu msamaha huyu jamaa? Sema tabia nayo ni kama ngozi. Haibadilikagi asilani...
Kitakachomponza zaidi ni kujitia maskini jeuri wakati upuuzi kaanzaa yeye.

Mwanamke kwa mazingira yale sidhan kama alikua na haja ya talaka yake,

Maana ake kitendo cha kwenda kuhama nyumban na kwenda kutembea na mtu anayefahamiana na mumewe iyo tayari keshajichukulia hatua mkononi.

Haina haja ya talaka.
 
Kuna Uzi ulianzishwa wa kupiga wanawake Kuna mwanaume akaenda kupiga mpenzi wake mahusiano yakafa akaja humu Analia lia na kujuta kudaganyika kisa Uzi, huwezi ishi kwa zama hizi na mwanamke ka enzi za mababu kamwe yatakushinda. Pia kila tukifamyacho huwa na matokeo kikiwa kizuri kitakuwa na positive results, na kikiwa kibaya obvious kitakuwa na negative results.
Ngoja kwanza, mwanamke hajamlaza mahabusu? Yaan akamsamehe tu? Yaan kipimo cha kunyanyua mkono wako tuu kabla udeal na wazazi wangu utaanza na mm...

Unajua haya ni malezi mabovu wamama huwapa vijana wao? Matokeo yake ndo wanakuja kuwa na tabia za kifala kama hv. Hapa wanajifanya mkweli kwao ni mama zao tu wanasahau hap mama zao pia wana waune zao. Badala watengeneze njia wanafanya maisha ya kuchagua sides kati ya mke na mama. Mtoto wangu aje kufanya hivyo nitamtoboa na vidole. Mimi ni mama yako ndo maana nitakuvumilia ujinga wako. Isiwe ndo sababu ya kujidanganya kwamba mamako sijui nini na nn. Kumbuka babako pia ni mwanaume. Hawa wavulana wanahitaji sana semina wajitambue
 
Ooh[emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059] am soo happy for u brother.ujana ni maji ya moto sana. Unajikuta kichwa ngumu sana. Kwangu nachukia mno kuanza mahusiano mapya. Nachukia mnooo... maana dah...
Mahusiano mapya ni chamgamoto,

Na hasa hasa kama tayar ulishaoa na ukapata mafanikio flani flani kiuchumi kwenye ndoa.

Watakaofata akili yao itakua kuchuma tu jasho lako na ex wako,
Hawatokua na huruma na wewe kama yule wa mwanzo.

Ndo maana wengi wanaoaga mke wa pili kwa shinikizo la wa kwanza kuondoka, asilimia kubwa huwa wanafeli.

Nishajifunza sana ilo.
 
Muhimu sana Wanaume tuwajibike,

Aya mambo ya kila sehemu unamwaga mbegu zako hutaki kuwajibika.

afu unakuja jf kuanzisha nyuzi za wasimanga Single mother sio ishu kabisa.
Nikikutaga threads za kuwananga single mothers humu nawadharaugi sana. Unasema hawa wote wavulana hawa. Utafikiri mama zao ni malaika. Stuppid kbs.
 
Uvumilivu mpk kufkia hapo nnaimanj unao wa kutosha.

Busara ni muhimu sana, Mungu akuongoze[emoji106]
Uvumilivu una ukomo wewe[emoji23] ni miaka hiyo tulikua tukiamini kwamba watu wote ni wema kumbe si kweli. Tumelelewa mazingira tofauti. Kila mtu ampate w kufanana naye
 
Kitakachomponza zaidi ni kujitia maskini jeuri wakati upuuzi kaanzaa yeye.

Mwanamke kwa mazingira yale sidhan kama alikua na haja ya talaka yake,

Maana ake kitendo cha kwenda kuhama nyumban na kwenda kutembea na mtu anayefahamiana na mumewe iyo tayari keshajichukulia hatua mkononi.

Haina haja ya talaka.
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo comeback inaizidi ole ya malaga na dortmund 2013 mkuu. Yaan unaweza kufaaaa.... meza inapinduliqa kibabe na venye hina cha kufanya
 
Tunaomba aje na thread mpya. Ila hapa ndo tunamsaidia kupona. Ila tunaomba asije kujiua tu maana naogopaaa kuwa sehem ya kumbully muhanga... mimi mwenyewe si mkamilifu. Mungu anisamehe tu.

Mkuu, its never late, naomba tu utubu. Na i am here. I will be a sister. U arw going to be fine. Ni muda tu. Utasimama na utakua imara. Huenda pia mkeo akarejea kwa vilio pia maana nyinyi muna agano. Plz, ulajisikia mnyonge sana we gonna chat pm. I love u brother
Tunapaswa kumfariji sana mwenzetu,

Yaliyotokea kwake yashatokea kwa wengi japokua wengi ni ngumu kufunguka.

Anatakiwa awe na moyo wa ujasiri kuyaweka kifuani, aangalie wapi kakosea ajirekebishe mwnyw kwenye nafs yake.

Ahesabu mazuri yote kwa mke wake uyo, kisha alinganishe na baya moja hili.

Aangalie matokeo ya maaamuz yake kwa yote waliyoyajenga miaka kibao ya msoto ikiwemo watoto wao wasio na hatia.

Kisha amsamehe mke wake, nayeye atubu dhaambi zake maisha yaendelee.
 
Exactly. Tunayavumilia mnooo. Yotw hayo ni matumaini mtabadilika na kuwa na huruma kumbe ndo tunazidi wajaza kiburi... tukisema tufunguke kila mtu atakimbia...
Ndo maana mada za kuwakashifu single mothers sipendagi kuzichangia.

Zimeegemea zaidi upande mmoja badala ya kubalance mizania.

Laiti kama na wanawake wangeamua kufunguka kilichowafanya wawe single mothers, sidhan kama patatosha humu.

Men we have to change
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mahusiano mapya ni chamgamoto,

Na hasa hasa kama tayar ulishaoa na ukapata mafanikio flani flani kiuchumi kwenye ndoa.

Watakaofata akili yao itakua kuchuma tu jasho lako na ex wako,
Hawatokua na huruma na wewe kama yule wa mwanzo.

Ndo maana wengi wanaoaga mke wa pili kwa shinikizo la wa kwanza kuondoka, asilimia kubwa huwa wanafeli.

Nishajifunza sana ilo.
Yaan hakuna raha kama kuanza zero na partner wako. Yaan wote mnakua level moja. Ukishakua na vitu vyako unashindwa elewa huyu mtu ananipendea mali zangu ama ananipenda mimi?

Tunayaona hata sasa. Mtu atakudharau sasa maybe kwakua hina ajira ya kukupatia kipato ila siku ukawin utashangaaa. Siku hizi ngumu sana kuwa na mtu anakupenda kweli. Wanaume wengi waanaangalia fursa. Vijana wamekua ovyooo kweli
 
Back
Top Bottom