Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Nilichogundua ni kwamba Wanawake huwa hawawezi kutunza siri za ndani.

Mke akipata mchepuko huwa wanawavua nguo waume zao kwani wanasimulia madhaifu yote ya mume wake hata yale ya kitandani.
Na madhaifu ayo ayo ndio wanatumia kumuumiza jamaa.

Aisee,
Tuzilinde ndoa zetu kwa gharama yoyote, mwanamke akichepuka ni hatari na nusu.

Mtu mzima unavuliwa nguo mchana kweupe
 
Yaan huo ujasiri ni mkusanyiko wa matukio waliyopigwa. Kuna wengine huenda extra mpaka na kulaza mahawara same house na mke yuko hapohapo. Very sad and bad..

Kuna mahusiano ukiwa nayo tu ukiyapima unaina kbs huyu jamaa akija kuwa nazo ni mnyanyasaji mno. Dawa ni kila mtu atafute pesa zake....
Mwanamke wa kawaida hawez kua na ujasiri wa kufanya alichomfanyia mtoa mada.

Inavoonekana mtoa mada alipokua nazo,alikua anapiga pale pale mtaani na shombo anamwagia mkewe anadhalilika.

Kilichoniuma zaidi,
Mwanamke anafikia hatua anakuambia kwa maumbile uliyonayo humridhishi kabisa kitandani anaamua kujichua na anakuweka wazi kwa hilo.

Ila kama mwanaume hupambani kuona unalisovu vipi, wee unakimbilia kuchepuka ukijidanganya kua hawez kufireback.
 
Na alikuja huku kumsema vibaya mkewe ili apate support maana wanaume humu hupenda kuponda wanawake Sana as if wao ni malaika.
Ilo ni kweli kabisa,
alitaka kujisafisha ionekane mkewe ndio mwenye hatia peke ake.

Na ni kweli comments za mwanzo, mkewe kasagiwa sana kunguni
 
Tunapaswa kumfariji sana mwenzetu,

Yaliyotokea kwake yashatokea kwa wengi japokua wengi ni ngumu kufunguka.

Anatakiwa awe na moyo wa ujasiri kuyaweka kifuani, aangalie wapi kakosea ajirekebishe mwnyw kwenye nafs yake.

Ahesabu mazuri yote kwa mke wake uyo, kisha alinganishe na baya moja hili.

Aangalie matokeo ya maaamuz yake kwa yote waliyoyajenga miaka kibao ya msoto ikiwemo watoto wao wasio na hatia.

Kisha amsamehe mke wake, nayeye atubu dhaambi zake maisha yaendelee.
Ila sasa ndoa imeshakua divorced. Washaachana. Kuna nini tena hapo
 
Ndo maana mada za kuwakashifu single mothers sipendagi kuzichangia.

Zimeegemea zaidi upande mmoja badala ya kubalance mizania.

Laiti kama na wanawake wangeamua kufunguka kilichowafanya wawe single mothers, sidhan kama patatosha humu.

Men we have to change
Nawachukia mno wanaume wa hv. Sipendi hukumu maana sijui alipitia nn mwanamke huyo mpk kufikia hapo. Kwanza mna hakika gani kama hao mlio nao ni baba zenu? Wengine baba zenu ni marehemu mumebambikwa mahali mkijua mna wazazi wote kumbe si kweli. Heshimu mwanamke. Kuna mahali pia hujui kama uliacha mbegu ikazaliwa. Heshimu sana aisee.
 
Anakulia timing wanawake huwa hatuachi ghafla na huwa hatusahau kitu moyoni aisee hapo anakutoa moyoni kitaratibu tu akipata kilicho sahihi na target zikiwa sawa utaula wa chuya
Dawa yake inachemka.
 
Pole kwa yaliyokukuta mkuu! Huna budi kukubaliana nayo na kujipa muda siku utampata mama mwingine bora mtakayewalea watoto wenu pamoja kwa upendo, kuhusu pesa nadhani kuna wanawake wanaweza vumilia waume zao na kuwaombea Mungu aruhusu baraka za kipato ktk familia, si wote wanaonuna na dharau eti sababu mume amefulia.

Pia tujitahidi kuwa na vyanzo vingi vya mapato ili ukikosa huku unapata sehemu nyingine maisha yanaendelea. Itasaidia kuepusha kisirani
Mzee mwezangu hizi hekima sio za mchezo mchezo,salute kwako...all in all Mungu akamptie nguvu na busara ndugu yetu huyu akapate kusimama imara, maumivu yakapungue then atafte mwenza walee watoto na waendeleze maisha.
 
Mwanamke wa kawaida hawez kua na ujasiri wa kufanya alichomfanyia mtoa mada.

Inavoonekana mtoa mada alipokua nazo,alikua anapiga pale pale mtaani na shombo anamwagia mkewe anadhalilika.

Kilichoniuma zaidi,
Mwanamke anafikia hatua anakuambia kwa maumbile uliyonayo humridhishi kabisa kitandani anaamua kujichua na anakuweka wazi kwa hilo.

Ila kama mwanaume hupambani kuona unalisovu vipi, wee unakimbilia kuchepuka ukijidanganya kua hawez kufireback.
Yaan huyu mke Mungu amsamehe tu ila naelewa maimivu yake aliyopitia[emoji26]
 
Yaan hakuna raha kama kuanza zero na partner wako. Yaan wote mnakua level moja. Ukishakua na vitu vyako unashindwa elewa huyu mtu ananipendea mali zangu ama ananipenda mimi?

Tunayaona hata sasa. Mtu atakudharau sasa maybe kwakua hina ajira ya kukupatia kipato ila siku ukawin utashangaaa. Siku hizi ngumu sana kuwa na mtu anakupenda kweli. Wanaume wengi waanaangalia fursa. Vijana wamekua ovyooo kweli
Kwani mmeacha kuangalia fursa
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Na madhaifu ayo ayo ndio wanatumia kumuumiza jamaa.

Aisee,
Tuzilinde ndoa zetu kwa gharama yoyote, mwanamke akichepuka ni hatari na nusu.

Mtu mzima unavuliwa nguo mchana kweupe
Na ndio maana ni rahisi sana tukio la mauwaji kutokea, maana maumivu yake hayatokani na kuchapiwa tu. Kuna kudhalilishana kunakopelekea maumivu yasiyoisha moyoni
 
Demu ukimfanyia hvo aisee...anakuheshimu na kukuamin balaa..huyo demu huwez amin haiwez pita mwez hajanipigia simu tunaongea hata 30min.
Ishu zake zote ananambia..kaolewa mwaka huu lakin alinambia y anaolewa
Na huo ndiyo uanaume, sio kulala hovyo na watu in the name of kumkomesha mtu; wengine wanaishia kuambukizwa maradhi kama sio kubebewa mimba na wake za watu, sijui mtoto ndiyo unamtoa sadaka. Muache apambane na ndoa yake, wewe endelea na maisha yako kwa amani. Mshenzi usimlipe kwa ushenzi.
 
Asalaam,

Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.

Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.

Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.

Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.

Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.

Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.

Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.

Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!

#Mwanamkemkwelinimamayakotuu

Pole sana, Mungu akupe hekima na busara pamoja na moyo wa uvumilivu katika magumu unayoyatpitia

Hakikisha watito wako wanakua katika mazingira salama na malezi mazuri,

Huyo mkeo mlijuana wakati ipo na hali nzuri? Una uhakika alikupenda au alipenda maisha mazuri uliyokua nayo

Anyway, Mungu akutie nguvu, ndo kuvunjika ni jambo baya na gumu sana
 
Hahahha..mim nikimla ,,mim ndo nakua looser....ila nikimtesa hiv anajua..yaan dah hili jamaa linaniona mim takataka tu...yaan mim nataka ateseke kama alivyonitesa mim.....kuna siku ananambia amenunua kiwanja kisiri mmewake hajui...anataka nimsaidie ujenzi..yaan nimsimamie ujenz...nikawaza nkasema huyu bwege nimpige pesa niin had ajute..ila roho yangu ikagoma sabab siko hivyo.....ila kiukwel had mwenyew ana admit kua namtesa sana..hahahah.mim nacheka tu kimoyo moyo
Mkazie, usiwe loser. Tena ikiwezekana mtie tu block, akafie mbele huko
 
Pole sana mtoa mada

Muda ni tiba nzuri, everything will work out at the end
 
Back
Top Bottom