Mungu atusamehe, ila tuna la kujifunza kwa mtoa mada.
Ata mama samia anasema,
Historia yako itakuandama.
Ni kama yaliyomtokea P.funk kwa binti yake.
P.funk akiwa producer maarufu alikua anamkula kajala akiwa mwanafunz mpk akampachika ujauzito (mimba ya paula) shule ikamshinda akawa mdangaji maarufu.
Sahivi na mwanae paula wahuni wamemkula akiwa mwanafunzi na shule imemshinda.
Na kibaya zaidi wanamkula na kumrushia video mitandaoni.
P.funk amebaki kutoa laana zisizo kichwa wala miguu kwa paula na mama yake akisahau nae kaanzia huko huko walikofikia wenzie.