Ukweli mtupuKuna Uzi ulianzishwa wa kupiga wanawake Kuna mwanaume akaenda kupiga mpenzi wake mahusiano yakafa akaja humu Analia lia na kujuta kudaganyika kisa Uzi, huwezi ishi kwa zama hizi na mwanamke ka enzi za mababu kamwe yatakushinda. Pia kila tukifamyacho huwa na matokeo kikiwa kizuri kitakuwa na positive results, na kikiwa kibaya obvious kitakuwa na negative results.
Pointi hiiHamna. Mimi naonaga ni bonge la ufalasi, eti mtu kakutosa, kaenda kuoa/kuolewa kwingine huko!; afu bado unarudi kulala naye kama mchepuko. Haswa hawa ndugu zetu utawasikia tu; wewe mkomeshe tu, mpelekee moto; ngoja akuambukize na Ukimwi, utajua haujui. Wote mnakuwa hamna akili; ukiachwa songa mbele kama Injili. Hakuna heshima kwa mwanaume anayelala hovyo na wanawake in the name of kuwakomesha, haijalishi walikuumizaje. Afu inakuwa kama bado hujamsahau na una uchungu naye moyoni, ndiyo maaana unahisi ukimlala tena utakuwa umemkomoa. Bado tu unamuwaza mtu ambaye anaendelea na maisha yake. Pathetic
[emoji3][emoji3][emoji3]hii ya wafukua makaburi kiboko.Ila mkuu kabla ulete utetezi wako uliaga ukasema utajua mbivu ma mbichi nilijua exactly utaleta makaburi tu[emoji23][emoji23] watu wanajisahaugi sana.
Kuna mwanamke alikua analalamika juzi huku anataman kurejesha hisia kwa mumewe akasema mume anamsaliti etc. Mara makaburi ya mchepuko yakaletwa huku[emoji23] nashindwa elewa inakujae mtu anakua kbs proud kuchepuka.. japo siwez mlaumu asilan maana sijui source hasa ni nn. Japo alijitetea mumewe ndo alipelekea yeye kufika huko lkn from the scratch hakuelezea kwamba pia anachepuka unavyoleta kisa elezea ukweli kinaga ubaga kila kitu ili ushauri utakaopewa iwe tiba kwako. Dont play victims.
Kwanza kbs kumloga mwanaume abakie kwako ni umakalio kabisa. Ni bora nikaloge niwe na maghorofa. Upendo wa uchawi haudumu hata siku moja. Kila siku utatumia nguvu. Natural love is the best.Kwani unadhani sababu nini hasa kupelekea kufanya hivyo[emoji16] ?
Kumpiga za uso[emoji23]
Alichofanya mwanamke kinaitwa DOUBLE flying KICK ile ya vandame na Boloyeng enzi hizo
Ndo maana kuna comment flan nilisemaUvumilivu una ukomo wewe[emoji23] ni miaka hiyo tulikua tukiamini kwamba watu wote ni wema kumbe si kweli. Tumelelewa mazingira tofauti. Kila mtu ampate w kufanana naye
Umeshahau ya barcelona na PSG, mtu kafa comeback ya goli 6 kimasihara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo comeback inaizidi ole ya malaga na dortmund 2013 mkuu. Yaan unaweza kufaaaa.... meza inapinduliqa kibabe na venye hina cha kufanya
Hamna cha hawara hapo, meseji katuma mwenyeweHawara wake ananitumia msg kwamba ni meshindwa kumtunza na kumjali mke wangu yaani jinsi alivyokolezwa
Jamaa ulivyo muumbua mdau wewe sio bamutu mazuri kabicha 😂😂😂Kumpiga za uso[emoji23]
Alichofanya mwanamke kinaitwa DOUBLE flying KICK ile ya vandame na Boloyeng enzi hizo
Exactly,Yaan hakuna raha kama kuanza zero na partner wako. Yaan wote mnakua level moja. Ukishakua na vitu vyako unashindwa elewa huyu mtu ananipendea mali zangu ama ananipenda mimi?
Tunayaona hata sasa. Mtu atakudharau sasa maybe kwakua hina ajira ya kukupatia kipato ila siku ukawin utashangaaa. Siku hizi ngumu sana kuwa na mtu anakupenda kweli. Wanaume wengi waanaangalia fursa. Vijana wamekua ovyooo kweli
Kumtafuna ndani kwa ndani hyo haikwepeki.Ata kama katoa talaka,
Lakini bado Itamtafuna ndani kwa ndani, uku mwanamke akiyafurahia maisha mapya
Wanaweza kurudiana hao,Ila sasa ndoa imeshakua divorced. Washaachana. Kuna nini tena hapo
Hivi on a serious note, watu huwa hawaogopagi maradhi? Yaan jaman watu wanajitoa ufahamu. Hawaogopi hata lepe aiseee.. mwanamke amenishangaza kuingia kwenye nadhiri ila ameshataka ivunja mapema.Hamna. Mimi naonaga ni bonge la ufalasi, eti mtu kakutosa, kaenda kuoa/kuolewa kwingine huko!; afu bado unarudi kulala naye kama mchepuko. Haswa hawa ndugu zetu utawasikia tu; wewe mkomeshe tu, mpelekee moto; ngoja akuambukize na Ukimwi, utajua haujui. Wote mnakuwa hamna akili; ukiachwa songa mbele kama Injili. Hakuna heshima kwa mwanaume anayelala hovyo na wanawake in the name of kuwakomesha, haijalishi walikuumizaje. Afu inakuwa kama bado hujamsahau na una uchungu naye moyoni, ndiyo maaana unahisi ukimlala tena utakuwa umemkomoa. Bado tu unamuwaza mtu ambaye anaendelea na maisha yake. Pathetic
👏safi sana binti mzuri nahahidi kuchangia matofari 100 kwa ajiri ya ujenzi wa sanamu lako😂😂😂Kwanza kbs kumloga mwanaume abakie kwako ni umakalio kabisa. Ni bora nikaloge niwe na maghorofa. Upendo wa uchawi haudumu hata siku moja. Kila siku utatumia nguvu. Natural love is the best.
Ila nyie kima mnalogwa na maboya wenzenu kwakua umalaya unawasumbua hamna utulivu na ndoa zenu. Mke anaendaje kukuloga kama huna mambo ya hovyo? Mumeoza kitabia. Na musipoacha huo ujinga mtafanywa mandondocha kwelu. Ila kuna wanawake wengine nao viazi kwlei. Mtu ameolewa kwao masikini wa kutupwa anamgeuza mumewe ndondocha ili atawale mali aweze watenga mume na ndugu zake...
Pole sanaa. Seemingly ni muhanga. Kwanini usikate the chain. Ni ya kheri kuishi na mwizi kuliko mchawiNadhani hujui uchungu wa kulogwa aisee usiombe kukutana na mtu mwenye imani hizo[emoji16]
Nayaona sana mtaani,Nawachukia mno wanaume wa hv. Sipendi hukumu maana sijui alipitia nn mwanamke huyo mpk kufikia hapo. Kwanza mna hakika gani kama hao mlio nao ni baba zenu? Wengine baba zenu ni marehemu mumebambikwa mahali mkijua mna wazazi wote kumbe si kweli. Heshimu mwanamke. Kuna mahali pia hujui kama uliacha mbegu ikazaliwa. Heshimu sana aisee.
Kapitia mengi,Yaan huyu mke Mungu amsamehe tu ila naelewa maimivu yake aliyopitia[emoji26]
Kabisa mkuuNa ndio maana ni rahisi sana tukio la mauwaji kutokea, maana maumivu yake hayatokani na kuchapiwa tu. Kuna kudhalilishana kunakopelekea maumivu yasiyoisha moyoni
Yaani wanakuumbua kweupeee... ukweli ni tiba daima. Unatibu. Usiwe na makandolando yako ukajisahau. Teknolojia haijawahi kusahau[emoji3][emoji3][emoji3]hii ya wafukua makaburi kiboko.