miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Wengine hatupendagi ligi. Tukichoka tunasepa tu. As long as hudaiwi cha mtu baasi... maisha yanasonga..Ndo maana kuna comment flan nilisema
"Wanawake wa kipindi hiki ni ngumi jiwe, Ukimpiga ya bega yeye anakupasua ya JICHO"
maumivu yake utasimulia mpaka vitukuu
Ila ile ya malaga ilikua dakika 3 tu mkuu usisahau. Na ilikua second legUmeshahau ya barcelona na PSG, mtu kafa comeback ya goli 6 kimasihara[emoji23]
Aisee inauma sana mkuu, lazima kama kidume ukae ujiulize uanaume wako uko wapi kama mkeo unaelala nae kitanda kimoja kajiunga CHAPUTA, vikao vyote anahudhuria na hisa zote anapanda.Haha mkuu kilichokuuma Zaid Ni mwanamke kujinyeregesha mwenyewe ...!
Dah hawa mbuzi kwahio wanatulia timming tu!
Si tumeona kwa vigogo wengi tu? Yanawakutaga na wanaacha funzo ila wengine kimyaaaa... hamujifunzi...Exactly,
Ndo mana michepuko hawanaga jema.
Anaweza kukuonesha kukupenda sana unapokua unamkeo.
Ila ukiachana na mkeo, afu kiabya zaidi kiuchumi uyumbe.
Na yeye anakata maguu unakufa na Depreession yako kifuani
Speaking from experience... Wanasema love is blindAsalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
Yes. Its possible endapo jamaa huko akazingua. And obviously atazingua tu najua[emoji23][emoji23] sema sasa mke sasa hv anapata ukuni wa size XXXL itakuaje tena na raha ya gongo anaijuaWanaweza kurudiana hao,
Achana kabisa na kitu inaitwa MAPENZI.
Hainaga mwenyewe
Kabla ujaharibu pole yako, pitia post yangu flan hivi nimekutagNew single father in town....
Pole Baba jayaron
[emoji23][emoji23] sanamu langu lijengwe kwa zege sitaki tofali.. na liwe njia panda ya HIMO na MOSHI MJINI[emoji23][emoji23][emoji122]safi sana binti mzuri nahahidi kuchangia matofari 100 kwa ajiri ya ujenzi wa sanamu lako[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyezi Mungu akusimamie mkuu. Na ikawe kheri kwao. Awaepushe na vijana wahuniNayaona sana mtaani,
Vijana wanatia tu mbegu wanakung'uta makalio wanasepa zao.
Unakuta binti wa watu alijitoa moyo wake wote kwa mtu asiekua na mpango nae.
Sitamani kabisa ije itokee kwa mabinti zangu, Eeh mungu nisaidie
2016 huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]Kapitia mengi,
Nyuzi za jamaa kuchepuka ni za zamani mno.
Kipind chote icho mkewe alivumilia tu.
Binadamu tunajisahau sana,Ila mkuu kabla ulete utetezi wako uliaga ukasema utajua mbivu ma mbichi nilijua exactly utaleta makaburi tu[emoji23][emoji23] watu wanajisahaugi sana.
Kuna mwanamke alikua analalamika juzi huku anataman kurejesha hisia kwa mumewe akasema mume anamsaliti etc. Mara makaburi ya mchepuko yakaletwa huku[emoji23] nashindwa elewa inakujae mtu anakua kbs proud kuchepuka.. japo siwez mlaumu asilan maana sijui source hasa ni nn. Japo alijitetea mumewe ndo alipelekea yeye kufika huko lkn from the scratch hakuelezea kwamba pia anachepuka unavyoleta kisa elezea ukweli kinaga ubaga kila kitu ili ushauri utakaopewa iwe tiba kwako. Dont play victims.
HahahhaaMbuzi mwenyewe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Apo ndio weegi tunafeli.Hamna. Mimi naonaga ni bonge la ufalasi, eti mtu kakutosa, kaenda kuoa/kuolewa kwingine huko!; afu bado unarudi kulala naye kama mchepuko. Haswa hawa ndugu zetu utawasikia tu; wewe mkomeshe tu, mpelekee moto; ngoja akuambukize na Ukimwi, utajua haujui. Wote mnakuwa hamna akili; ukiachwa songa mbele kama Injili. Hakuna heshima kwa mwanaume anayelala hovyo na wanawake in the name of kuwakomesha, haijalishi walikuumizaje. Afu inakuwa kama bado hujamsahau na una uchungu naye moyoni, ndiyo maaana unahisi ukimlala tena utakuwa umemkomoa. Bado tu unamuwaza mtu ambaye anaendelea na maisha yake. Pathetic
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaa daaaahh, natamani ulete shuhuda ya matukio uliyopigwaaaa...Binadamu tunajisahau sana,
afu tunayowatenda wenzetu na sisi tukifanyiwa POVU LINATUTOKA.
Mi mwnyw nna makaburi yangu kibao, siku yakilipuka wahuni mnakuja kunilipua.
Eeh mungu ninusuru, Niliyoyapitia yananitosha kiukweli.
Kwa sasa nimekua mume bora kwa mke wangu na baba bora kwa wangu.
THE REST IS HISTORY
Hivi on a serious note, watu huwa hawaogopagi maradhi? Yaan jaman watu wanajitoa ufahamu. Hawaogopi hata lepe aiseee.. mwanamke amenishangaza kuingia kwenye nadhiri ila ameshataka ivunja mapema.
Nakumbuka home tulifundishwa kufatilia hasa sababu za partner wako kuachana na ex wake na kuijua familia husika kabla uingie kwenye ndoa. Kuna familia hazifai kabisa
Usijali kabinti mzuri nishaongea na manager wa kiwanda cha dangote cement acheck utaratibu nipate mifuko 80 ya cement😂😂😂😂[emoji23][emoji23] sanamu langu lijengwe kwa zege sitaki tofali.. na liwe njia panda ya HIMO na MOSHI MJINI[emoji23][emoji23]
Bila shaka unaikumbuka hii DOUBLE FLYING KICK enzi izo[emoji2][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]ndo atulie uko akatubu mazambi yake,jamaa ulivyo muumbua mdau wewe sio bamutu mazuri kabicha [emoji23][emoji23][emoji23]
Ex huwa ni ujinga sana. Yaan mtu amechagua maisha mapya amekudump halaf eti amekukumbuka eti. Na sababu kibaooo[emoji23][emoji706]Kabla hata ya maradhi, where is your self worth? Imagine mtu alikudump, leo anajiskia kukutumia tena eti na wewe unajipeleka mbio mbio, kutoka kuwa mmiliki hadi kuwa mchepuko mweeh. Unajiweka kwenye hatari ya maradhi, unayaweka mahusiano yako mapya kwenye risk, bado ikitokea umefumaniwa mweeh.
Yes ni muhimu kujua kwa nini waliachana, kuna maumivu unaweza kuyaepuka mapema; ingawa majority hatusemagi ukweli kwamba tulizingua tukaachwa, always sisi ndiyo victims teh. Hiyo ya kujua familia/koo husika sasa mmmmh; ngoja ninyooshe miguu kwanza.