Hatimaye ndoa yangu imevunjika

Ndo maana kuna comment flan nilisema
"Wanawake wa kipindi hiki ni ngumi jiwe, Ukimpiga ya bega yeye anakupasua ya JICHO"

maumivu yake utasimulia mpaka vitukuu
Wengine hatupendagi ligi. Tukichoka tunasepa tu. As long as hudaiwi cha mtu baasi... maisha yanasonga..

Nachofurahigi ni wanaume kulalamika kupata wake wema ila wakipata wanawanyanya wanaenda kwa slay queens na makalio makubwaaa... siye tupoooo endeleeni kutuita wasimbe eh[emoji23][emoji23] lakini cha moto munakiona huko
 
Haha mkuu kilichokuuma Zaid Ni mwanamke kujinyeregesha mwenyewe ...!
Aisee inauma sana mkuu, lazima kama kidume ukae ujiulize uanaume wako uko wapi kama mkeo unaelala nae kitanda kimoja kajiunga CHAPUTA, vikao vyote anahudhuria na hisa zote anapanda.
 
Exactly,
Ndo mana michepuko hawanaga jema.

Anaweza kukuonesha kukupenda sana unapokua unamkeo.

Ila ukiachana na mkeo, afu kiabya zaidi kiuchumi uyumbe.
Na yeye anakata maguu unakufa na Depreession yako kifuani
Si tumeona kwa vigogo wengi tu? Yanawakutaga na wanaacha funzo ila wengine kimyaaaa... hamujifunzi...
 
Speaking from experience... Wanasema love is blind

Dharau huwa zinaonekana mapema Sana, Ila wewe Kama mume unakua wa mwisho kuziona, baadhi ya wanaokupenda huwa wanaona lakini hawawezi kukuaambia because you will react to them

Tunachotakiwa kufanya Ni kujua mapema Aina ya wake zetu ili tusiwe surprised badae

Separation na divorce siku hizi sio Cha kushangaa tena, kwasababu maisha yamekua too open and th choices are too many

Tulia, tafuta chocho, uendelee na maisha

Inshallah utapata akufaaye
 
Wanaweza kurudiana hao,
Achana kabisa na kitu inaitwa MAPENZI.

Hainaga mwenyewe
Yes. Its possible endapo jamaa huko akazingua. And obviously atazingua tu najua[emoji23][emoji23] sema sasa mke sasa hv anapata ukuni wa size XXXL itakuaje tena na raha ya gongo anaijua
 
[emoji122]safi sana binti mzuri nahahidi kuchangia matofari 100 kwa ajiri ya ujenzi wa sanamu lako[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] sanamu langu lijengwe kwa zege sitaki tofali.. na liwe njia panda ya HIMO na MOSHI MJINI[emoji23][emoji23]
 
Nayaona sana mtaani,

Vijana wanatia tu mbegu wanakung'uta makalio wanasepa zao.

Unakuta binti wa watu alijitoa moyo wake wote kwa mtu asiekua na mpango nae.

Sitamani kabisa ije itokee kwa mabinti zangu, Eeh mungu nisaidie
Mwenyezi Mungu akusimamie mkuu. Na ikawe kheri kwao. Awaepushe na vijana wahuni
 
Binadamu tunajisahau sana,
afu tunayowatenda wenzetu na sisi tukifanyiwa POVU LINATUTOKA.

Mi mwnyw nna makaburi yangu kibao, siku yakilipuka wahuni mnakuja kunilipua.

Eeh mungu ninusuru, Niliyoyapitia yananitosha kiukweli.

Kwa sasa nimekua mume bora kwa mke wangu na baba bora kwa wangu.

THE REST IS HISTORY
 
Apo ndio weegi tunafeli.
Binafs ukishakua ex, kila kilichochako nafuta.

No need for more communication, hata urafiki wa kawaida sitakagi.

Tuishi tu ivyo ivyo BUYU BAYA kila mtu na hamsini zake.
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaa daaaahh, natamani ulete shuhuda ya matukio uliyopigwaaaa...
 
Kabla hata ya maradhi, where is your self worth? Imagine mtu alikudump, leo anajiskia kukutumia tena eti na wewe unajipeleka mbio mbio, kutoka kuwa mmiliki hadi kuwa mchepuko mweeh. Unajiweka kwenye hatari ya maradhi, unayaweka mahusiano yako mapya kwenye risk, bado ikitokea umefumaniwa mweeh.

Yes ni muhimu kujua kwa nini waliachana, kuna maumivu unaweza kuyaepuka mapema; ingawa majority hatusemagi ukweli kwamba tulizingua tukaachwa, always sisi ndiyo victims teh. Hiyo ya kujua familia/koo husika sasa mmmmh; ngoja ninyooshe miguu kwanza.

 
[emoji23][emoji23] sanamu langu lijengwe kwa zege sitaki tofali.. na liwe njia panda ya HIMO na MOSHI MJINI[emoji23][emoji23]
Usijali kabinti mzuri nishaongea na manager wa kiwanda cha dangote cement acheck utaratibu nipate mifuko 80 ya cement😂😂😂😂
 
Ex huwa ni ujinga sana. Yaan mtu amechagua maisha mapya amekudump halaf eti amekukumbuka eti. Na sababu kibaooo[emoji23][emoji706]

Siku akiwa ameshaharibu ndo ooh nilipitia changamoto nyingi sana blah blah. Kwamba ndo pumziko. Dhambj zingine za kuepuka tu. Stress zisitupelekee kufanya chaguzi zisizo sahihi asilani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…