Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #701
Unaachaje mzee??? Kikubwa kugandana ndo sitaki.Kwahiyo akitokea mwanamke akakutunuku mbunye wakati huu utaiacha? Au utapiga hivo hivo? Maisha yaendelee wanaume hatuchukii mademu wewe tafuta mwingine anza kula mtunyenye ujiliwaze ukiwawaza sana wanawake utapoteza muda wako mwisho ufe mapema
Huyu mwanamke ana hasira za mkisi kujiingiza kwenye mtego..... Sasa ndo hajielewi kabisaHela hapana sio dhamani yenu mbona vunja bei kaachwa na hamisa .
Huyo mtu kakuchoka mbona hata mimi huyu jamaa ni mchafu kwa hela naninataka nimuache ila nikikumbuka watoto ni wadogo nitawacha bila haki yakuwa nababa yao basi na baki tu.
Napiga tungi kabla sijalala tu ndio suluhisho la moyo .
Wanaume mnafanana wote maskini na matajiri huyo mkeo kimeo kweli anaenda tena kwa unguza kichwa mwingine badala ya kukaa peke yake .
Hahaaaa idelete bana sista[emoji23][emoji23][emoji23]Nime-screenshot
nimesikitika sana sio kwa kuwa umeachwa na mke laaa.. ni kwa sababu bado hujajifunza..Asalaam,
Ndoa yangu ilikua nzuri saana kwasababu tulianza tukiwa vijana wadogo maskini, kutokana na hivyo tuli inspire vijana wengi na ndoa nyingi kusimamia.
Tuka barikiwa watoto wazuri. Mungu alitubariki na unafuu wa maisha wa kupata tunachokita kwa level ya maisha ya kawaida. Basi ghafla maisha yakabadilika nikaanza kupitia magumu kiuchumi hata jero mtihani kupata.
Balaa lilianza hapo kudharaulika, kununiwa, Visa vya kila aina mpaka hatimaye Mimi ndiye nikawa "mama wa nyumbani" na yeye akawa anarudi nyumbani ka guest house ni kulala tuu bila kujali hata watoto wanna hali gani.
Biashara nimemfungulia mwenyewe, na hata kodi nimekua nikimsaidia kulipa. Pamoja sasa Sina shughuli maalumu lakini Mungu ananisaidia kumudu kutimiza mahitaji muhimu ya familia yangu.
Sasa amepata mwanaume mwingine na amenidhibitishia na nilipohitaji aende kwao akapumzika akaniambia hawezi atabaki Dar aendeleze maisha yake kwakua anashida saana ya hela. Kumbe nia yake ni kuendelea kuishi na huyu mwanaume.
Leo nimedhibitisha. Ndoa yangu haitakuwepo tena baada ya kukamilisha taratibu za kisheria.
Roho inauma kwakua sikutegemea kama wanangu wataishi na mzazi mmoja.
Wanaume tutafute hela, ndo thamani yetu!
#Mwanamkemkwelinimamayakotuu
SijakuelewaHuyu mwanamke ana hasira za mkisi kujiingiza kwenye mtego..... Sasa ndo hajielewi kabisa
Hapana, naituma kwa Mrs NshomileHahaaaa idelete bana sista[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu wakati naandika nilikuwazia, ila nikajipa moyo huwezi ona coz sijaona comments yako humu, kumbe unazoom kimya kimya tu!!
Kuna manz kanunua ist mpya mumew hajui,kanunua kiwanja mumewe hajui,ana boda boda 2 mumew hajui ila mm najua Kila kitu nili mbikiri mwenyewe ana niambia yupo radhi aachike aje awe mke wa pili kwangu Mana tulipotezana muda hakuwa na jinsi kuolewa na jamaa huyo japo haikuwa malengo yakeHahahahahah huyo dem ni devil aisee! Yani kanunua uwanja mumewe hajui aisee? Mi lazma ningemchapa kwenye ujenzi hapo mamaye [emoji28] [emoji28][emoji28] si aliniacha kiboya namie nampiga tu mifuko ya simenti.. sema kanaonekana kanakumiss sana hako ka mmbwa, endelea kukapa adhabu za kiakili manina
Weee[emoji15][emoji15][emoji15]Hapana, naituma kwa Mrs Nshomile
Weee[emoji15][emoji15][emoji15]
Nipe namba yako ya halopesa nikurushie muamala basi tuyamalize kiutumzima
Nafuta comment yangu ya kumpatia pole,kumbe jamaa hovyooAsante team ya makaburini π π π kazi nzuri sana! Kumbe huyu mwehu alikuwa anatuinjoy tu humu
Alikwambia Nani nimeacha??Pole sana bro unarud tena mwenye matumiz ya viganja va mkono
Pole yako hainisaidii kitu mwanangu....Nafuta comment yangu ya kumpatia pole,kumbe jamaa hovyoo
Anataka nimpangishie eti hana pakukaausisahau kuleta mrejesho
Huyu tulianza maisha tukiwa tunalala chini mpaka kufikia hatu ya kulala ghorofani Kisha nikafulia... Kwa hivyo swala la kupata mwenza katika umaskini sio kigezo cha kudumu nae shida ikurudi tena.nimesikitika sana sio kwa kuwa umeachwa na mke laaa.. ni kwa sababu bado hujajifunza..
.
bado unamini pesa ndio kila kitu kwenye ndoa..
.
pesa huja na huisha lakn mapenzi ya bila pesa hudumu milele..
nakushauri wakti huu ukiwa huna kitu ndio wakat wa kutafuta mwenza wa maisha.. atakaye kukubali kwa dhiki ulizonazo ndio mwenye upendo wa kweli na wewe.. la sivyo utakuja kufungua uzi mwingine siku zijazo...