Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Mbona katika list yako hakuna radical islamists?
 
Kwani shambulizi la October 7 kule Israeli lina tofauti gani na shambulizi la Russia?!
Russia majeshi ya nchi mbili yanapigana, huku israel anapambana na raia wasiokuwa na silaha ambao wanadhulumiwa haki yao ya kujitawala kwa zaidi ya 75 years huku dunia ikikaa kimya
 
Russia majeshi ya nchi mbili yanapigana, huku israel anapambana na raia wasiokuwa na silaha ambao wanadhulumiwa haki yao ya kujitawala kwa zaidi ya 75 years huku dunia ikikaa kimya
Raia wasiokua na silaha wameweza kuvamia Israeli na kuua watu zaidi 1400 pamoja na kurusha makombora zaidi ya 5000 kwa siku?!🤔
 
Ndiyo inavyokuwa hivyo.

"Usitie, usitie."

Halafu "Tia, lakini tia kichwa tu".

Halafu "Weka yoote, nipe yooote".

Atakubali ukweli tu muda ukifika.
Daaaah, huu mfano wako braza huu, huenda ukawaudhi wadau!
 
Putin ana amini magaidi wa ISIS ni ngumu kwa wao kufanya mauaji kwasababu ya mfungo wa ramadhani.

Kama hizo ndio hoja za Putin katika kufikiria kuwa kuna watu wengine zaidi ya hao aliowabaini basi atakuwa kuchanganyikiwa.

Ni kweli kwenye msimu wa mfungo waislamu hujitajidi kujiepusha sana na dhambi na wanakuwa na hofu kweli.

Lakini

Putin inabidi aelewe kuwa hao magaidi hawachukulii swala la kuua kama ni dhambi.

Wao wanadhana yao ya kipekee ambayo wao wanaamini kufanya mauaji ni sehemu ya ibada. Hiyo ndio kama sera yao siku zote.
 
Raia wasiokua na silaha wameweza kuvamia Israeli na kuua watu zaidi 1400 pamoja na kurusha makombora zaidi ya 5000 kwa siku?!🤔
Wanajaribu kujitetea mkuu hali wanayopitia sio ya kiubinaadamu hata ningekuwa mimi lazima nijitetee
 
Na israeli pia anajaribu kujitetea na kulinda raia wake. Au ulikua unataka myahudi aweke silaha chini ili aangamizwe?!
Palestine wanacholilia ni kuondoa ubaguzi na wizi wa ardhi na unyanyasaji unaoendelea kila siku kimabavu , leo muisrael akilipenda eneo anakuja anawatoa wapalestina kimabavu na kuwapiga hizo si zama za stone age mkuu
 
Kiaina ndio nini we gaidi
 
adui mkuu wa Urusi ni Putin
 
Kafiri naona umechanganyikiwa. Dalili ya ugonjwa akili. Alikuwepo kafiri mkubwa lkn sasa amekufa ameuacha uislam unaenea na watoto wa kike wengi wakiristo wakisolimu kufata waume wa kiislam
ni.Mudi ?
 
OUT OF POINT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…