Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Safi Sana dada inabidi ujengewe Sanamu pale uwanja wa Taifa alimaarufu kwa Mkapa na pale uwanja wa ndege JNIA na Makumbusho zote za Taifa maana Ni wanawake wachache waliobaki na Busara Kama zako hebu chukua[emoji259][emoji255][emoji1651][emoji257][emoji253]yako.
 
Kwani walio kwenye mahusiano wanasemaje?
 
Mbona kuna watu wanawalipa mshahara wake zao hasa wale waliowaachisha kazi au walikataa wasipate ajira wakae nyumbani kutunza familia,

Nakubaliana na huyo Mwanaharakati wake za watu wanaoshinda tu nyumbani walipwe mshahara na waume zao, wanafujika bure na kushindwa hata kusaidia kwao.
 
Anaetoa ushauri unakuta ni single maza hajaolewa. Wewe na ndoa yako unachukua ushauri kichwa kichwa shauri yenu.

By the way kama ulitaka kulipwa bas sema mapema kabla ya ndoa mhusika ajue mpo kibiashara, na kanisani kiapo kibadilishwe so unaingia ndani unataka kulipwa.

Pia kama unataka kulipwa basi make sure unajitegemea kila kitu, sio unalala kwangu, nakulisha, nakuvalisha, nalipia ada za watoto, etc

Nikikulipa basi na wewe unanilipa rent nyumbani kwangu, unalipia umeme unaotumia, maji, ada watoto unatoa nusu, gari yangu unakodi etc

Housegirl yupo anafanya kazi zote, wewe unataka kulipwa? Shubamiti
 
Tangu kuumbwa kwa ulimwengu kazi ya mwanamke ni KUZAA na KULEA TU. Majukumu sahihi ya mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe PEKEE. hayo majukumu mengine mnayojivisha ndio chanzo cha migogoro na shida nyingi za kifamilia duniani na ndio matokeo ya familia za ovyo na vizazi vya ajabu ajabu.

Mungu hakuwa mjinga kwenye ugawaji wa majukumu kwa mwanamke na mwanaume.
 
Well spoken my brother
Hata vigezo nowdays vitapungua kwa wanawake kuolewa
Tunakoelekea itakuwa Bora mwenye marinda tuu na tukifikia hapo basi ndugu zetu wale wa "KATAA NDOA" watapata pa kusemea
 
Kuzeeka hakuzuiliki hata wanaofanya makeup wafanane na shetani nao uzeeka tu
 
Hing
Hongera vipi walipata matajiri
 
Ndoa sio lazima Ivo yani,maana mambo yanazidi kuwa mengi: mwanamke alipweashahara,mara ndoa ikivunjika mwanamke apewe nusu ya Mali yote iliyochumwa atakama hakushiriki kutafuta ila tu kwakuwa uliishi nae kinyumba,mara mke ni msaidizi WA mwanaume lakini hapohapo apewe mshahara,mara mke Naye harusiwe akafanye kazi huko maofisini n.k

.NDOA sio lazima bhana huitaki achana nayo waachie wanao iweza, makelele tu Kila siku ya Hawa wanaharakati uchurwa
 
Komaaa hayo ndiyo maisha
Ukishindwa kataa kuolewa sio lazima uolewe

Kula maisha subiri kufa wala usizae
Hawawezi pingana na lengo la Mungu.

Mwanamke alie-olewa, anaetunza vyema familia yake, anaetimiza vyema majukumu yake yote ya kifamilia, alierizika na hali na huduma anazopata kwa mumewe. Anafuraha na raha kuliko hao wanaojiita wapambanaji huko nje.

Nazungumzia familia zenye wanaume wanaojielewa na kujali wake na familia zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…