1. Rais Samia
2.Dr. Nchimbi
3. Paul Makonda
4. Mrisho Gambo
5.
Lucas Mwashambwa
6. @Mtumshi wa Mungu asiyemjua Mungu
mama D
7.
Crimea
8. Gwajima
9.Job Ndugai
Ni wazi kabisa kuwa Yule Rais wa nchi jirani hawezi kumshinda lisu hapa kwenye nchi ya ugenini.
Lisu atamshinda Samia kwa kura zaidi milioni tano . Hata wizi hautawezekana . Mungu atasimama na Lisu kwa uhakika na uhakika huo upo wazi na Ishara ya wazi kuwa Mungu anataka kuwaonyesha CCM kuwa Dunia na vyote vilivyomo ndani yake ni mali ya Mungu mwenyewe . Na Samia sio Mungu wala CCM haikuanzisha na Mungu bali Lisu aliuliumba na Mungu kwa mpango na majira yake na aliokolewa pasipo uwezo wa mtu na kupona baada ya kupigwa risasi 17 mwilini.
Lisu kwa sasa anatakiwa atafute siku moja atoe sadaka kwa Mungu Muumba wa mbingu na ardhi na awaombe Watanzania wote wanaomwamini Mungu hata kama wapo kule CCM (yaani Calfonia ya anasa Tanzania ) kwa ajili ya kuponya na kumuepusha na mauti na sasa amezidi kupanda juu na kuwa tegemeo la Watanzania.Mungu apigane dhidi ya wale wanaosimama upande wa dhulma.
CCM katika kufuru yao kama mjenzi wa Meli ya Titanic walisema wazi kuwa ushindi kwao haumtegemei Mungu bali ni lazima hata kama Mungu hapendi,.
Kwa kauli ile ya CCM ya kumkufuru Mungu ni Lazima watanzania wenye kuamini kuwa kuna Mungu Muumbaji basi ni lazima tujitenge nayo kwa sababu Mungu hajawahi kuwalipiza kisasi watu wanaomkufuru na kumtweza katikati ya matifa wakati yeye ni mfalme wa wafalme mbinguni na duniani.
Kuiadhibu CCM kwa ajili ya kuiponya nchi yetu na laana ni kuwanyima kura kama ishara ya kukataa utawala wa shetani na mawakala wake wanaomkataa Mungu kwa dharau kubwa .
Ndio maana hata Chaguzi za CCM,vikao vyao na mkusanyiko yao yanajaza wasanii wanaotumika kuharibu sana maadili ya watoto wetu na jamii kwa ujumla kupitia manyimbo yao yenye maneno ya matusi na kuhamasisha zinaa na usaliti. Huku wakitumia mamilioni ya pesa kuwaneemesha mawakala wa shetani badala ya kupeleka pesa kwenye matibabu ya wagonjwa wa figo wanaokufa huku wakiwa wameuza mali zao zote na kuzichia familia zao umaskini kutokana na kulipia gharama za matibabu kwenye hospitali za umma zilizojengwa kwa kodi ya watanganyika wote lakini gharama za matibabu ni ghali wakati vifaa vyote sio mali yatu bali mali ya umma. Pesa zinazopatikana zinasanufaisha madaktari wachache wanaojilimbikizia mali na kushindana kujenga mahospitali binafsi kwa damu za wagonjwa . Watoke kwenye ofisi za umma wakatibu kwenye hospitali zao ili vijana wenye upendo na uzalendo wa nchi hii waliohitimu mafunzo ya udaktari waajiriwe kwa kiapo cha kuwatumikia watanzania mil.65 badala ya falimilia zao chache .
Mungu mbariki Tundu Lisu Mungu mbariki Heche ,Mungu and God bless Lema .