Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mkuu hebu prove tuone, maana ni Kama story za kusadikikaHakuna uhasama baina yetu ila jamaa ni upinde as I can say nimejikuta nakosa amani since alivyoniPM nakunieleza mambo ya ajabu hata sikutarahi...I can prove about it if you say SO!
Kama nikusadikia basi amini hivyo ila thatβs facts and let it be the factsMkuu hebu prove tuone, maana ni Kama story za kusadikika
Daaahhh..... Mkuu mimi nikoje? Mbona mpole sana?Chizi Maarifa jichanganganye uingine kwenye 18 za huyu mwamba utayakoga kama sio kuyanawa
Bichwaπ€£π€£π€£ nimecheka kama mjingaπππNa wasichojua ni kwamba my woman Hana chura ni flat moja hivi matata ππ
Nkiwa nae kwenye Gari akiona chura ananishtua oya cheki mzigo huo ππ
With all the success God has given me I love that woman c'mon ππ I can't even think of cheat her churaless body
ππππππ Sana mpenzUnique Flower ,Lovelovie To yeye,Joannah Antonnia Nakadori .
mzabzab mpwayungu village Hawa kwangu wapo poa
Pamoja mkuuLigi ya jf usiku wa Manane/team
Big boss Bantu Lady, albino Half american , mcharuko Dahan
Boss miyeyusho Mwachiluwi,
Mwizi ana yechipukia National Anthem,
Mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, big bro Analyse, dishi lenye kutu Poor Brain, na mwizi wa kimataifa Intelligent businessman
Mkuu bila kukusahau wewe pia
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nakadori & Anita Makirita hawa mademu wako poa sana na hawana baya kabisa nyuzi zao ni faida tosha, Ukizipitia huwezi kosa pisi ya kuspend nayo weekend am telling you!
Robert Heriel, Kambi ya Fisi, Kaka yake shetani, Kamanda Asiyechoka & Tate Mkuu hili ni jopo maalumu la watu wasiopenda kupingwa wala kukosolewa hawa huwa nashindwa kuwatofautisha na tabia za mwendazake kwakuwa hawana mawazo mapya ila ni janja janja tu zimejaa vichwani mwao...
Happy women's day too dear mtani..Kapeace mrembo mwenye madini ya maneno ya busara... πππ
Hannah karembo kapenda umbea na watu wagombane πππππ
Antonnia mrembo mpole, mpenda simulizi. Mkali wa kutag πππ
Kalpana Shunie Makiwendo warembo wa Simba πππ
Shadeeya Numbisa Dream Queen warembo wangu wa Yanga ππ
HAPPY WOMEN'S DAY πππ
Unique Flower ,Lovelovie To yeye,Joannah Antonnia Nakadori .
mzabzab mpwayungu village Hawa kwangu wapo poa
Ni kwa nadra sana kama ukini attack kwa kunitusi na mm lazima nikuporomoshee...Hapana mrembo wa simba gani huyo anatukana hatari usije jikanyaga kwenye 18 zake ni mwendo wa kumwaga matusi kama jukebox limetiwa shilingi lianze kuimba
Ni kwa nadra...
By the way usiponikubali ww atanikubali mwingine..that's life...huwezi kukubalika na kila mtu..