Hawa ndio Wana JF wenye Ligi na wenye falsafa zao humu ndani

Bichwa🀣🀣🀣 nimecheka kama mjinga
 
Nimekusoma, mimi ni Muislam na naupenda sana Uislam. Ni dini pekee ambayo inamuacha binadam huru kumuabudu Muumba peke yake bila kushirikisha.

Falsafa yangu ni kutowa elimu bila hiyana. Baadhi ya mada zanguπŸ‘‡πŸΎ

..


 

🀣🀣🀣

Sisi tunapenda Ligi.
Tupo radhi tuache kazi zetu zenye Pesa tubishane na wewe mpaka mwisho.
Wamanyema, Waha, wanyanyembe na Wanyakyusa ndio Tabia zetu hizo
 
Happy women's day too dear mtani..
πŸ˜„ πŸ˜„ 😍😍😍😍😍
 
Hapana mrembo wa simba gani huyo anatukana hatari usije jikanyaga kwenye 18 zake ni mwendo wa kumwaga matusi kama jukebox limetiwa shilingi lianze kuimba
Ni kwa nadra sana kama ukini attack kwa kunitusi na mm lazima nikuporomoshee...
By the way usiponikubali ww atanikubali mwingine..that's life...huwezi kukubalika na kila mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…