Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

Hawa ni watu waliomdhihaki Mungu na kupatwa na shida

watu wasomuamini mungu hua na mtindio wa ubongo, mungu amekua jawabu la mambo mengi ambayo science wanayoitukuza imeshindwa, mfano; vipimo na matibabu ya kisayansi yanamwambia mtu hawezi kupata mtoto isipokua kwa kupandikiza bt ukija mbele za mungu utapata mtoto bila hata kupandikiza.
Mr sound una sound kiwack sana, ebu thibitisha Mungu yupo tumechoka sound zako
 
Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki

1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO

Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.

Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah

Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.

Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.

Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?

Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?

Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Chunga kinywa chako usije ukawa hadithi kama alivyotusimlia huyu mwenzetu.
 
watu wasomuamini mungu hua na mtindio wa ubongo, mungu amekua jawabu la mambo mengi ambayo science wanayoitukuza imeshindwa, mfano; vipimo na matibabu ya kisayansi yanamwambia mtu hawezi kupata mtoto isipokua kwa kupandikiza bt ukija mbele za mungu utapata mtoto bila hata kupandikiza.
nani aliyewahi huthibitishwa vipimo na dr Kwamba hatakuja kuzaa watoto na akaenda mbele za mungu na akapata huyo mtoto?
Lete uthibitisho Sio maneno maneno ya hear say hapa!
Tu prove wrong maana nyie watu hamuishiwi uongo uongo na dramas!
 
Hapa kuna funzo kubwa sana, Nami nitaongezea kisa kimoja nilichopata kusimuliwa na watu ninaowaamini.
Miaka ya hapa kati (2010-2015) kanisa moja la Anglican tena ni kanisa kuu la diocese lilikuwa linafanya sherehe za kutimiza karne moja tangu kuanzishwa kwa diocese hiyo, moja kati ya diocese kongwe hapa Tanzania.
Basi Siku hiyo kulikuwa na maandamano ya waumini na viongozi wa kanisa kutoka mahali ambapo ndipo palikuwa na kanisa la kwanza kabisa la dayosisi hiyo mpaka lilipo kanisa kuu la sasa ambalo nalo ni la zamani sana.
Basi maandamano yalikatiza mitaa ya katikati ya mji wakiongozwa na kiongozi wa maandamano aliyebeba MSALABA mkubwa wa mbao.
Waandamanaji walipofika maeneo ya katikati ya mji akatokea bwana mmoja aliyekuwa mchukuzi maarufu wa maeneo hayo kwa jina maarufu CHENGO, basi yule bwana CHENGO alicheka kwa kejeli na kutoa maneno ya kuudhihaki msalaba, alizidi kutoa maneno machafu kwa Waandamanaji na juu ya ule MSALABA MTAKATIFU.
Baada ya maandamano kupita na kuisha katika maeneo yale yule bwana alipata ajali ambayo mpaka leo hakuna ajuaye BWANA CHENGO aligongwa na chombo gani. Hakuna gari iliyoonekana kwa macho ikimgonga lakini ndiyo hivyo yule bwana akapoteza uhai siku ileile tena muda mfupi baada ya kuunanga MSALABA MTAKATIFU

Tuweke akiba ya maneno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ajali ya chombo halafu mnasema hakionekani[emoji1787][emoji1787][emoji2962][emoji2962][emoji2962]story za mavampaya

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Chunga kinywa chako usije ukawa hadithi kama alivyotusimlia huyu mwenzetu.
acha kutishia nyau mtu mzima bwana mkubwa zile zama za uongo uongo,maigizo,ndio Mzee,Amen nk zilishapita tunataka fact hapa sio hekaya za kiyahudi na kiyunani katika civilization ya Digital, Science and technology hivyo vitisho mlishavifanya Kwa kina
Galileo Galilei zama hizo za dark ages!
😁😁😁😁
 
Mimi nina hoja ya kuthibitisha Mungu hayupo

Kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli na Mungu unayemdhania wewe sio wa kweli hayupo

Unabisha?

Kama unabisha thibitisha mimi sio Mungu wa kweli

Kama ni Mungu kweli, niambie niko wapi sasa.
 
Hakuna aliyekushambulia.Nimekueleza kile ulichoning'iniza kichwani mwako.Na si kosa.Umeletewa hoja(kumbuka sijaanzisha uzi mimi) ambapo una haki ya kukataa au kukubali.Maana unapoelekea utauliza huyo Mungu wakati anawaua hao watu nani alithibitisha!

Pumba ktk ubora wake

Yesu hakumziaki Mungu ila alikufa kifo kibaya kuwai kutokea ktk historia ya mwanadamu
Mohamad akumziak Mungu ila alkufa
Ata ww unaeleta hii hoja ujamzihaki Mungu ila utakufa

Kufa au kifo ni moja wapo ya maisha ya binadamu tumezaliwa tumekua tukaoa au kuolewa na mwisho utakufa, mwingne atafia tumboni mwingne atakufa akiwa kijana tegemezi

Ishi maisha ww km unaamin Mungu yupo ni vzr na endelea ivyo ivyo ila kuanza kuingilia uhuru wa watu wengne ni makosa na ata uyo Mungu wako unaemuamin anakukataza kujudge wengne
 
Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki

1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO

Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.

Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah

Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.

Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.

Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?

Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?

Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Hatareeh sana.
 
Ukiweka list ya watu waliomdhihaki Mungu wakapata shida, wakati kuna watu hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizo hizo, na hata zaidi, list yako ni pointless.

Ni list ya ujuha mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tafadhali acha kuzungumzia watu, zungumzia hoja.

Nimekwambia hivi, ukiniambia hawa wamepata shida kwa sababu wamemdhihaki Mungu, wakatu kuna wengine hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizohizo na zaidi, list yako ni ujuha mtupu.

Unabisha?

Kama unabisha bishia mantiki ya nilichokiandika. Kwa hoja.

Usinishambulie mimi kwa ad hominem attack.

Kunishambulia mimi ni ishara ya kukosa hoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hoja ukiiona utaijua?

Maana nimekuletea hoja, hujaijadili hoja, unanijadili mimi.

Una uwezo wa kujadili hoja wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol
 
Back
Top Bottom