Mr sound una sound kiwack sana, ebu thibitisha Mungu yupo tumechoka sound zakowatu wasomuamini mungu hua na mtindio wa ubongo, mungu amekua jawabu la mambo mengi ambayo science wanayoitukuza imeshindwa, mfano; vipimo na matibabu ya kisayansi yanamwambia mtu hawezi kupata mtoto isipokua kwa kupandikiza bt ukija mbele za mungu utapata mtoto bila hata kupandikiza.
kwahiyo unataka utuambie ugonjwa wa Hawking ulitokana na yeye kutomuamini huyo mungu wenu?Wewe ndio ukatafute historia yake ujifunze vizuri
Chunga kinywa chako usije ukawa hadithi kama alivyotusimlia huyu mwenzetu.Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki
1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO
Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.
Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah
Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.
Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.
Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?
Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?
Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Unanitisha na imaginary stories?Chunga kinywa chako usije ukawa hadithi kama alivyotusimlia huyu mwenzetu.
nani aliyewahi huthibitishwa vipimo na dr Kwamba hatakuja kuzaa watoto na akaenda mbele za mungu na akapata huyo mtoto?watu wasomuamini mungu hua na mtindio wa ubongo, mungu amekua jawabu la mambo mengi ambayo science wanayoitukuza imeshindwa, mfano; vipimo na matibabu ya kisayansi yanamwambia mtu hawezi kupata mtoto isipokua kwa kupandikiza bt ukija mbele za mungu utapata mtoto bila hata kupandikiza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ajali ya chombo halafu mnasema hakionekani[emoji1787][emoji1787][emoji2962][emoji2962][emoji2962]story za mavampayaHapa kuna funzo kubwa sana, Nami nitaongezea kisa kimoja nilichopata kusimuliwa na watu ninaowaamini.
Miaka ya hapa kati (2010-2015) kanisa moja la Anglican tena ni kanisa kuu la diocese lilikuwa linafanya sherehe za kutimiza karne moja tangu kuanzishwa kwa diocese hiyo, moja kati ya diocese kongwe hapa Tanzania.
Basi Siku hiyo kulikuwa na maandamano ya waumini na viongozi wa kanisa kutoka mahali ambapo ndipo palikuwa na kanisa la kwanza kabisa la dayosisi hiyo mpaka lilipo kanisa kuu la sasa ambalo nalo ni la zamani sana.
Basi maandamano yalikatiza mitaa ya katikati ya mji wakiongozwa na kiongozi wa maandamano aliyebeba MSALABA mkubwa wa mbao.
Waandamanaji walipofika maeneo ya katikati ya mji akatokea bwana mmoja aliyekuwa mchukuzi maarufu wa maeneo hayo kwa jina maarufu CHENGO, basi yule bwana CHENGO alicheka kwa kejeli na kutoa maneno ya kuudhihaki msalaba, alizidi kutoa maneno machafu kwa Waandamanaji na juu ya ule MSALABA MTAKATIFU.
Baada ya maandamano kupita na kuisha katika maeneo yale yule bwana alipata ajali ambayo mpaka leo hakuna ajuaye BWANA CHENGO aligongwa na chombo gani. Hakuna gari iliyoonekana kwa macho ikimgonga lakini ndiyo hivyo yule bwana akapoteza uhai siku ileile tena muda mfupi baada ya kuunanga MSALABA MTAKATIFU
Tuweke akiba ya maneno
acha kutishia nyau mtu mzima bwana mkubwa zile zama za uongo uongo,maigizo,ndio Mzee,Amen nk zilishapita tunataka fact hapa sio hekaya za kiyahudi na kiyunani katika civilization ya Digital, Science and technology hivyo vitisho mlishavifanya Kwa kinaChunga kinywa chako usije ukawa hadithi kama alivyotusimlia huyu mwenzetu.
Mimi nina hoja ya kuthibitisha Mungu hayupo
Kwasababu mimi ndio Mungu wa kweli na Mungu unayemdhania wewe sio wa kweli hayupo
Unabisha?
Kama unabisha thibitisha mimi sio Mungu wa kweli
Ningejibu swali lako lakini kumbuka mimi ni Mungu sijaribiwiKama ni Mungu kweli, niambie niko wapi sasa.
upo marsKama ni Mungu kweli, niambie niko wapi sasa.
Hakuna aliyekushambulia.Nimekueleza kile ulichoning'iniza kichwani mwako.Na si kosa.Umeletewa hoja(kumbuka sijaanzisha uzi mimi) ambapo una haki ya kukataa au kukubali.Maana unapoelekea utauliza huyo Mungu wakati anawaua hao watu nani alithibitisha!
Wewe unaamini nini?hiyo nimeosema tu Kwa kurefer watu wanaoamini Dini jinsi wanavyoamini!
Hatareeh sana.Nakupa list ya wachungaji na masheikh ambao hawakumdhihaki Mungu na walipata shida na kufariki
1. TB JOSHUA
2. MAMA LWAKATALE
3. STEPHEN AKNOLA
4. ISSA TURAY
5. WILSON BADEJO
Sheikh nooren mohammed hakumdhihaki Mungu lakini alikufa kwa ajali mbaya sana.
Sheikh Saeed bin nahynan huyu kafa siku nne zilizopita naye kwa ajali mbaya sana na hakumdhihaki Allah
Rashid bin Mohammed naye alikufa kwa shambulio la moyo na hakuwahi mdhihaki Mungu.
Na sio tu hao wapo wengi sana wamekufa na wengine wakipata shida pasipo hata kumdhihaki Mungu.
Kinachokufanya uone hao watu uliowataja kua wamepatwa na shida kutokana na wao kumdhihaki Mungu ni kipi? Nani asiyepata tabu hapa ulimwenguni?
Huyo Mungu wako historia ya dini inaonesha yeye ndio alikua muanzilishi wa kupata tabu baada ya vita yake na shetani ambapo shetani alizua utata huko juu mpaka akafanikisha kusepa na robo tatu ya malaika unafikiri tabu aliyoipata huyo Mungu ilikua ndogo?
Kwa hiyo nayeye tuseme alimdhihaki nani mpaka ikamfika hiyo tabu?
Mimi ni nani hata nikulazimishe uamini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ajali ya chombo halafu mnasema hakionekani[emoji1787][emoji1787][emoji2962][emoji2962][emoji2962]story za mavampaya
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilkua nasubiri comment yako.Kwani wasiomdhihaki Mungu hawapati shida?
Wewe unaamini Nini?Wewe unaamini nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiweka list ya watu waliomdhihaki Mungu wakapata shida, wakati kuna watu hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizo hizo, na hata zaidi, list yako ni pointless.
Ni list ya ujuha mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafadhali acha kuzungumzia watu, zungumzia hoja.
Nimekwambia hivi, ukiniambia hawa wamepata shida kwa sababu wamemdhihaki Mungu, wakatu kuna wengine hawajamdhihaki Mungu na wamepata shida hizohizo na zaidi, list yako ni ujuha mtupu.
Unabisha?
Kama unabisha bishia mantiki ya nilichokiandika. Kwa hoja.
Usinishambulie mimi kwa ad hominem attack.
Kunishambulia mimi ni ishara ya kukosa hoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lolHoja ukiiona utaijua?
Maana nimekuletea hoja, hujaijadili hoja, unanijadili mimi.
Una uwezo wa kujadili hoja wewe?