Hayati Magufuli alikuwa na utashi lakini alikosa uwezo

Jk aliwezaje? wakati wa Jk ndipo kulikuwepo migomo kibao,akina Olimboka walipigwa na kutekwa kwasababu ya upungufu wa madaktari na vifaa duni katika hospital zote za umma pamoja na maslahi duni,Wewe naona ni mtoto wa 2000,haujui kitu.
Migomo ni indicator ya maendeleo dogo. Ukiona rais hapendi migomo kipmbia hiyo nchi ni mateso tu na hakuna maendeleo yoyote. Ulaya kila siku ni migomo ndo maana Kuna maendeleo makubwa
 
"kiniweni"...[emoji1732][emoji4]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kweli we ni Daktari wa mchongo [emoji28]

"Kukalili" ndiyo nini? na nilipotezea ujumbe wako mwingine uliochapia vile vile "udakatari"

You are really a failed mind sets with 100% full hatred mental disorders.

You're very poor, poor, PUA...[emoji16]
Kwa nini nyie mliosoma arts m apenda sana kukosoa miandiko badara ya akili. Akili haipimwi na kuandika vizuri mdogo wangu. Come on achaneni na ujinga huo kwanza kuandika ni kupoteza mda tu wengine walioendelea ni voice note tu
 
Migomo ni indicator ya maendeleo dogo. Ukiona rais hapendi migomo kipmbia hiyo nchi ni mateso tu na hakuna maendeleo yoyote. Ulaya kila siku ni migomo ndo maana Kuna maendeleo makubwa
Nitajie nchi mojawapo ulaya uliyoiona madaktari wakigoma,kama Sio kenya na hapa Tanganyika, kwasababu ya ufisadi.
 
Ukiangalia daraja la Tanzanite, daraja la Busisi, daraja la kigamboni, bwawa la Nyerere, fly over na barabara zote alizojenga. Magufuli ni Rais alikuwa na akili nyingi Sana.
 
Mi Nina ajira kubwa sana na niliajiriwa enzi za jk siyo lile li vampire ambalo linaaim kuua watu tu. Enzi zetu hata private sector ilikuwa inaajiri mpaka ikafikia hatua elimu ikawa na value lakini value ya elimu ikaanza kuzima kipindi Cha jpm.
Comment yako mbona niya kipumbavu sana,hiyo ajirakubwa uliipataje.

You must be cheti feki wewe.
 
Nitajie nchi mojawapo ulaya uliyoiona madaktari wakigoma,kama Sio kenya na hapa Tanganyika, kwasababu ya ufisadi.
Uingereza wafanyakazi wote wamegima kutaka mishahara ipande. Ufaransa juzijuzi wafanyakazi wote wamegima kupinga ongezeko la mda wa kustaafu ambapo ilikuwa umeongezw badala ya miaka 60 iwe 64
 
Comment yako mbona niya kipumbavu sana,hiyo ajirakubwa uliipataje.

You must be cheti feki wewe.
Njoo dm nikutumie matokeo yangu. Nina A kumi zote. Jpm alikuwa anawapiga fix eti Kuna wenye vyeti feki wakati hakuna ilimradi apate sababu ya kupunguza wafanyakazi baada ya serikali yake kufirisika kifedha. Jiulize kwa Nini hakuwa anareplace badala yake anaongeza unemployment rate tu
 
JPM hakuwapa nafasi kina Mbowe na wengine wafanya biashara wahuni na wasiolipa kodi, mpaka leo wamekunja sura kama ndimu kisa, kulipa kodi
Kwa hiyo Mbowe ni mkwepa kodi ?
 
Ni bora uajiri madaktari na walimu kuliko kupeleka hizo pesa katika serikali kuhamia Dodoma na kujenga Airport Chato.
Kupanga ni kuchagua!

Uajiri kidogo na miradi iende ama uajiri tuu ili pesa iende kulipa mishahara

Kupiga hatua ya maendeleo, kuna watu wengine waumie

Hata hivyo suala la ajira halitamalizwa na serikali yoyote
 
Africa tunayo laana sio bure, Yani sababu tu ya ushabiki upo radhi kutetea hata ambacho kinakuumiza wewe mwenyewe.

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
Wewe umeandika vyema kabisa. Kufanya miradi mikubwa kwa mpigo kwa uchumi mdogo wa Tz, ilikuwa lazima ushindwe kupandisha mishahara, kuajiri vile inavyopaswa na hata kupandisha vyeo. Maumivu kwa uchumi yalikuwa makubwa mno.
 
😬😬
 
Sasahivi upo kazini ama unafanya shughuli zako binafsi?.
 
Hizi ni porojo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…