Hapa kwa upande mmoja umeongea kwa jaziba isiyo na uhalisia wa furaha ya moyo wako
Kwa sababu unajua fika kwamba, hakuna mshindi na mjanja wa kifo!
..kama hakuna mshindi na mjanja wa kifo kwanini Jiwe alituma watu wamuue Lissu?
..Ccm ndio wanaoleta shida ktk nchi yetu kwa kutumia mabavu ya dola dhidi ya vyama vya upinzani.