Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Unajua fika kuwa kwamatendo yako una maadui wenye uwezo,je uta expose family yako?La pili unanyoosha watu kila siku kwa dunia ya leo kosa moja la mwanao linaweza kuharibu mipango yako yote.
Yote kwa yote wanafaidi pepo wakiwa duniani,sidhani kama wana shida yoyote
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Tumeelewa in advance.....
 
Waziri kamili Nishati na madini,vibali vyote vya Tanzanite lazima uwe last signatory 😁😁😁sitaki ujinga
😂 nmekubali teuzi nangoja siku ya kiapo nianze kazi, nje Vieite inanguruma na hapa kiunoni ipo (in dotto magari voice)
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Nakubali.
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Ulikuwa sigimbi yapi?mbona tulimfaham jesca
 
Kulamba asali
Kulamba asali gani? Kwani Mbowe angetaka asali si angehamia CCM? upinzani kuna kipi cha kulamba wakati mabilion yote yapo serikalini?
Safi sana Jpm wapinzani feki walitamani kuishi usanii wa Enzi za Vasco
Wapinzani feki ilihali hawakwenda CCM licha ya mateso? Mwisho wa siku Mbowe is the winner na JPM yupo kuzimu, nani mjanja hapo?
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Lakini walikuwa wanapewa vyeo kimya kimya. Bora anayewaonesha kuliko kuliko aliyewapa mavyeo makubwa serikalini kimya kimya. Kuna mme wa mtoto wake magufuli alipeqa ujaji fasta bila hata sifa. Mtoto wake anasoma hapa mother of mercy madale.
 
Sijawahi sikia hilo, ila la james kuna mtu anaitwa Malulu niwa kanda hiyo alisema yule ni mpwa wa hayati na ni rafiki wa malulu wamepiga kampeni wote ili hayati ashinde, kuhusu jina la mama sijui!
Acha maneno ya kusikia...Familia yao walikwepo John (mh Rais..RIP), Magufuli wa Utumishi kabla alikuwa anafundisha Chuo cha maendeleo ya jamii Buhare Musoma, Gokan (Goro..mfanyabiashara), Dada yao marehemu ( unakumbuka msiba wa Dada wa Rais Magufuli aliefiwa Bugando), wa mwisho tunamwita Shangazi yupo Chato hadi sasa.

Mama yake Doto yupo hai na yupo Chato hapa tunapina nae stori kila leo.
Wewe elewa kuwa Doto na Magufuli hawana vinasaba.
 
Lakini walikuwa wanapewa vyeo kimya kimya. Bora anayewaonesha kuliko kuliko aliyewapa mavyeo makubwa serikalini kimya kimya. Kuna mme wa mtoto wake magufuli alipeqa ujaji fasta bila hata sifa. Mtoto wake anasoma hapa mother of mercy madale.
Kilichoulizwa ni watoto wake kuzoelea Ikulu na ama wao kujiona ni kama sehemu ya uongozi wa babayao

Unaposema walipewa madaraka makubwa ni kama yepi na jina la hao ni kina nani sasa?
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Watoto wa JPM walikuwa ni wadogo wakati anaaga dunia, alikuwa na Jesca peke yake akiwa mtu mzima na yule kibonge.

Malezi ya kikristo na ya kiislam ni tofauti. Samia ni mke wa tatu wa mume wake. Hayati JPM aliacha mke mmoja tu.
 
Back
Top Bottom