Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jesca alionekana kwenye mitandao tu tena siyo yeye kujipostisha bali mashankumpe ndo walimpostiHata Jesca haukumuona?
Last born ungenipa wizara gani dada?Nampenda sana marehemu ila Kwa Hilo,hata Mimi nisingeweza niwe raisi wanangu wasienjoy ikulu watasimulia Nini baada ya miaka 10,weee😁
Unajua fika kuwa kwamatendo yako una maadui wenye uwezo,je uta expose family yako?La pili unanyoosha watu kila siku kwa dunia ya leo kosa moja la mwanao linaweza kuharibu mipango yako yote.Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Tumeelewa in advance.....Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Waziri kamili Nishati na madini,vibali vyote vya Tanzanite lazima uwe last signatory 😁😁😁sitaki ujingaLast born ungenipa wizara gani dada?
😂 nmekubali teuzi nangoja siku ya kiapo nianze kazi, nje Vieite inanguruma na hapa kiunoni ipo (in dotto magari voice)Waziri kamili Nishati na madini,vibali vyote vya Tanzanite lazima uwe last signatory 😁😁😁sitaki ujinga
Nakubali.Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Ulikuwa sigimbi yapi?mbona tulimfaham jescaLeo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Kulamba asali gani? Kwani Mbowe angetaka asali si angehamia CCM? upinzani kuna kipi cha kulamba wakati mabilion yote yapo serikalini?Kulamba asali
Wapinzani feki ilihali hawakwenda CCM licha ya mateso? Mwisho wa siku Mbowe is the winner na JPM yupo kuzimu, nani mjanja hapo?Safi sana Jpm wapinzani feki walitamani kuishi usanii wa Enzi za Vasco
Hapa kwa upande mmoja umeongea kwa jaziba isiyo na uhalisia wa furaha ya moyo wakoWapinzani feki ilihali hawakwenda CCM licha ya mateso? Mwisho wa siku Mbowe is the winner na JPM yupo kuzimu, nani mjanja hapo?
Wabunge wanachaguliwa kutoka kwenye majimbo yao hivyo ajira ya kibunge haitokani na serikali bali wananchi.Hivi kabila gani linaongoza kuwa na wabunge wengi hapa Tanzania?
Umeelewa kilichoulizwa?Wabunge wanachaguliwa kutoka kwenye majimbo yao hivyo ajira ya kibunge haitokani na serikali bali wananchi.
Nampenda sana marehemu ila Kwa Hilo,hata Mimi nisingeweza niwe raisi wanangu wasienjoy ikulu watasimulia Nini baada ya miaka 10,weee😁
Lakini walikuwa wanapewa vyeo kimya kimya. Bora anayewaonesha kuliko kuliko aliyewapa mavyeo makubwa serikalini kimya kimya. Kuna mme wa mtoto wake magufuli alipeqa ujaji fasta bila hata sifa. Mtoto wake anasoma hapa mother of mercy madale.Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Acha maneno ya kusikia...Familia yao walikwepo John (mh Rais..RIP), Magufuli wa Utumishi kabla alikuwa anafundisha Chuo cha maendeleo ya jamii Buhare Musoma, Gokan (Goro..mfanyabiashara), Dada yao marehemu ( unakumbuka msiba wa Dada wa Rais Magufuli aliefiwa Bugando), wa mwisho tunamwita Shangazi yupo Chato hadi sasa.Sijawahi sikia hilo, ila la james kuna mtu anaitwa Malulu niwa kanda hiyo alisema yule ni mpwa wa hayati na ni rafiki wa malulu wamepiga kampeni wote ili hayati ashinde, kuhusu jina la mama sijui!
Kilichoulizwa ni watoto wake kuzoelea Ikulu na ama wao kujiona ni kama sehemu ya uongozi wa babayaoLakini walikuwa wanapewa vyeo kimya kimya. Bora anayewaonesha kuliko kuliko aliyewapa mavyeo makubwa serikalini kimya kimya. Kuna mme wa mtoto wake magufuli alipeqa ujaji fasta bila hata sifa. Mtoto wake anasoma hapa mother of mercy madale.
Watoto wa JPM walikuwa ni wadogo wakati anaaga dunia, alikuwa na Jesca peke yake akiwa mtu mzima na yule kibonge.Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini
Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri
Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais
Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu
Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!
Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?
Hii hapana
JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!
Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule
Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!
Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?