Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Hadi Baba Jesca alikua censored hapa jukwaani. Baada ya kufeli lakini akapata Masters UDOM...wewe ulikua wapii
 
sio kila kitu cha kukanusha wewe inamaana chadema walipokituambia ridhiwani kikwete kakamatwa na dawa za kulevya china halafu alipotakiwa anyongwe baba yake akatoa gesi ya mtwara ili aachiwe huru hukuwepo?
Sijawahi sikia hilo, ila la james kuna mtu anaitwa Malulu niwa kanda hiyo alisema yule ni mpwa wa hayati na ni rafiki wa malulu wamepiga kampeni wote ili hayati ashinde, kuhusu jina la mama sijui!
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Sijasoma ulichoandika.
Ila kw staili yake ya uongozi haikufaa wajulikane, wangeweza kudhuliwa na wapinzani wake. Alikuwa na maadui wengi sana hata ndani ya ccm achana na wazingu, wafanyabiashara, vyama pinzani majipu nk
 
Sijawahi sikia hilo, ila la james kuna mtu anaitwa Malulu niwa kanda hiyo alisema yule ni mpwa wa hayati na ni rafiki wa malulu wamepiga kampeni wote ili hayati ashinde, kuhusu jina la mama sijui!
Kumbe ni ya kuambiwa tu mkuu
 
Sijasoma ulichoandika.
Ila kw staili yake ya uongozi haikufaa wajulikane, wangeweza kudhuliwa na wapinzani wake. Alikuwa na maadui wengi sana hata ndani ya ccm achana na wazingu, wafanyabiashara, vyama pinzani majipu nk
Mbona watoto wa Kagame wanajulikana mkuu
 
Kwani unamjua doto james humu ndugu, kwani wewe yote unayoyajua uliota?
Nilitaka wewe uthibitishe juu ya hilo na umtaje walau dada ake Jpm mzaa Dotto maana ni kama unao uelewa kumhusu Dotto
 
Mbona watoto wa Kagame wanajulikana mkuu
Unalinganisga mkoa na nch.
Kagame ana maadui fani zaidi ya wanasiasa.
JPM aliwabip gadi wauza unga.
Wauza unga walishakula viapo vya kuua na kufa. Drug cartel ni hatari hawana akili.
Tanzania ni kubwa kuluko Rwanda, hawana resource za maana za kutamaniwa ba mabepari.
Uwazuie wazungu wasichimbe madini unategemea nini kama sio kuzikwa.
Unawajua CIA.
 

Attachments

  • 597EC68C-71E2-4D4E-9D03-2D3D5C6844AD.png
    597EC68C-71E2-4D4E-9D03-2D3D5C6844AD.png
    31 KB · Views: 3
Ulichotaka kukieleza ili tuelewe, umebaki nacho kichwani kwako mkuu

Kwenye andiko hili, kuna kitu umeamua ukae nacho kwa sababu hapa haujatuelewesha vya kutosha kama akili yako ilivyosheheni uwelewa wa chapisho lako

Sawa mkuu
Ni kweli. Siyo mambo yote huelezwa, lazima uweke akiba. Mwisho wa maisha siyo leo.
 
Unalinganisga mkoa na nch.
Kagame ana maadui fani zaidi ya wanasiasa.
JPM aliwabip gadi wauza unga.
Wauza unga walishakula viapo vya kuua na kufa. Drug cartel ni hatari hawana akili.
Tanzania ni kubwa kuluko Rwanda, hawana resource za maana za kutamaniwa ba mabepari.
Uwazuie wazungu wasichimbe madini unategemea nini kama sio kuzikwa.
Unawajua CIA.
Ndio kukosa akili huko kwa JPM, kwenye siasa you need strategy. Mfano angeweka front watu wengine kabisa kulikua hakuna haja yeye mwenyewe kushika mic na kutoa vitisho kwa wapinzani, wawekezaji, corona n.k Creating unnecessary drama. Ajifunze kwa JK alikua anatumia kina zitto kuwaondoa mawaziri asiowataka ma kuna wakati hadi nyaraka zilikua zinavujishwa makusudi ili mafisadi waondolewe na umma.

JPM hakujua siasa ndio kilimcost.
 
..Magufuli alikuwa fisadi, lakini sifa yake kubwa kuliko zote ilikuwa ni unyama na ukatili wake.

..sasa mnaoulizia ushiriki wa watoto wa Magufuli ktk utawala wa Baba yao, mlitaka kuwaona au kusikia watoto hao wakishiriki ktk utekaji na mauaji?
 
Ndio kukosa akili huko kwa JPM, kwenye siasa you need strategy. Mfano angeweka front watu wengine kabisa kulikua hakuna haja yeye mwenyewe kushika mic na kutoa vitisho kwa wapinzani, wawekezaji, corona n.k Creating unnecessary drama. Ajifunze kwa JK alikua anatumia kina zitto kuwaondoa mawaziri asiowataka ma kuna wakati hadi nyaraka zilikua zinavujishwa makusudi ili mafisadi waondolewe na umma.

JPM hakujua siasa ndio kilimcost.
Aliwakaushia akina Zitto na Mbowe Kulamba asali mkafura sana

Safi sana Jpm wapinzani feki walitamani kuishi usanii wa Enzi za Vasco
 
Back
Top Bottom