Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

1699371223450.png
 
Abdul na Riziwani wanafanana kama awamu ya 4 na 6 zinavyofanana.
we acha kufananisha awamu ya 4 na 6 hazifanani hata kidogo awamu ya 4 maisha yalikuwa mazuri sana na hata awamu zingine isipokuwa hii ya sasa hali tete angalia mfumuko wa bei unavyotisha
 
Doto James Masanja hana undugu wowote na Magufuli isipokuwa wanatoka sehemu moja tu Chato. Kama unabisha taja Jina la mamake Doto ambae ni dada wa Magufuli.
Yote hayo yalikuwa ni propaganda tu.
Swali zuri sana hili!

Ngoja tumsubiri
 
Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .


Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.

Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Kina Abduli wanamchango upi kabla ya ........(......) kuwa Rais
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Lakini na yeye aliwapa kipaumbele Wasukuma katika teuzi nyingi na ajira nyingi.
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Unaweza dhani ni maadili yake kumbe ni hofu yake kile ambacho kitamkuta Baadae baada ya kupata madaraka kisimkute mwanae!!

Ni upendo na hofu ya njia uliopitia kupata utajiri ndio hukuogofya kumshirikisha mtoto!

Katika Kila utajiri Kuna kafara nyuma yake inaweza ukawa wewe ndio kafara ya utajiri ulioupata na usingependa n watoto wapitie hayo!

Madaraka Yana siri nzito sana mkuu!!


Wakubwa hawafi kwa bahati mbaya mkuu!!

Huyu mwanae anaonekana coz akipata tu kwa bahati na ana furaha na bahati alioipata na hakuna kafara nalioitoa hadi hapo inayomhusu yeye hivyo Haina madhara kwa watoto wake!!

Nimejaribu!
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kana kwamba nao ni viongozi wetu, sisi kama Taifa, yatupasa tuliweke jambo hili sawa!

Kwamba, tukipata Rais, basi hata watoto wake wawe sehemu ya uongozi wa mzazi wao na au itambulike kuwa, (baba/mama)yao ndiyo kiongozi wetu, watoto wao wawe kama watoto wa mkurugenzi ama kiongozi yeyote yule

Tumpigie kura mtu fulani, badala ya yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake ambao nao anataka wawe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe kwa hao? Huku ni kukosa soni!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Kwa magu Ni amri magu hajaleya watoto kimandazi Ni kwamba sitaki hiki sitaki
 
Back
Top Bottom