Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kiasi cha kwamba nao ni viongozi wetu, tungependa kuwa Taifa la namna gani,?

Taifa la kichief na kifalme? Au ni taifa linalofuata taratibu na sheria za nchi?

Tumpigie kura mtu fulani, badala yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake tena ambao nao anataka wewe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe pia kwa watoto wake!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Katika watu ambao sijawahi kumkubali ni Magufuli baada ya kuwa rais. Alileta utawala mmoja wa kipuuzi sana. Lakini kwenye hili la kutopendelea familia yake kwenye uongozi nanimtendea haki, hakufanya hivyo.

Lakini Kuna watu huwa wanaonyesha mapenzi zaidi kwa watu Baki kuliko familia zao. Huenda yeye alikuwa mtu wa aina hiyo.
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kiasi cha kwamba nao ni viongozi wetu, tungependa kuwa Taifa la namna gani,?

Taifa la kichief na kifalme? Au ni taifa linalofuata taratibu na sheria za nchi?

Tumpigie kura mtu fulani, badala yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake tena ambao nao anataka wewe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe pia kwa watoto wake!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Uliwahi kuwajua watoto wa Nyerere kabla?
Uliwahi kuwajua watoto wa Mkapa kabla?
 
Jesca alijulikana baada yakugundulika kuwa wakati Magufuli anavunja ile course ya ualimu pale UDOM ya form 4 zilizofeli na Jesca alikuwa muathilika la tukio ilo maana nae alikuwa mwanafunzi
Sema kwa sababu Jesca alifeli ndo tukamjuq
 
Yule alikuwa mshamba, jitu lenye roho mbaya mpaka kwa familia yake
Sina hakika iwapo unaelewa kile kimeandikwa hapo! Au niishie kusema, ushabiki unaozima hata uwezo wa kupambanua mambo nao si mzuri sana!
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Museveni huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wana nafasi gani hapo serikalini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!

Tunapozungumzia maadili ya kiuongozi na kuondoa sintofahamu ya familia za viongozi wetu kufanya watoto wao wawe frontline kiasi cha kwamba nao ni viongozi wetu, tungependa kuwa Taifa la namna gani,?

Taifa la kichief na kifalme? Au ni taifa linalofuata taratibu na sheria za nchi?

Tumpigie kura mtu fulani, badala yeye tu kuwa ndiye kiongozi na anayepaswa aheshimiwe, badala yake kunakuwepo na watoto wake tena ambao nao anataka wewe sehemu ya uongozi wake na nusu ya heshima yake, ipelekwe pia kwa watoto wake!

Je, hakuna utata wowote mtoto wa Rais kuwa sehemu ya kiuongozi?
Watoto wa Walioba unawajua, Sumaye, Msuya?
Ni, kitu cha kawaida, may be walikuwa wanapenda maisha binafsi, watoto wa Mwinyi(Raisi wa, zenj), unawajua?
 
Suzan John Magufuli
Joseph John Magufuli
Edna John Magufuli
Jesca John Magufuli
Jurgen John Magufuli
Jeremiah John Magufuli
Juliana John Magufuli ( Alikufa wakati Magufuli akiwa Waziri)
 
Suzan John Magufuli
Joseph John Magufuli
Edna John Magufuli
Jesca John Magufuli
Jurgen John Magufuli
Jeremiah John Magufuli
Juliana John Magufuli ( Alikufa wakati Magufuli akiwa Waziri)
Umewahi kuwaona na kiherere cha kuwa baba yao ni rais kiasi cha kuwa wawakilishi mahali kama alivyofanya Abdul na kuleta migogoro na TRA eti ni biashara za mtoto wa Rais?
 
Nilikuwa naomba nipate ufafanuzi.

Kwa mfano mtoto ni zero brain au alikuwa hazingatii masomo, mara ghafla mzazi wake anakuwa rais. Je, mzazi ambaye ni rais anaweza kumuingiza serikalini au mifumo ya ajira lazima iendelee kukataa tu hata kwa mtoto wa rais?

Kama mifumo ya ajira itakaa kwa huyu mtoto wa rais, si itabidi mzazi amtengenezee mtoto biashara ili asikae kihasara kwa sababu siyo lazima kuajiriwa! Hapa sasa mtoto ndio anatakiwa apambane kujibrand au?
 
Nilikuwa naomba nipate ufafanuzi.

Kwa mfano mtoto ni zero brain au alikuwa hazingatii masomo, mara ghafla mzazi wake anakuwa rais. Je, mzazi ambaye ni rais anaweza kumuingiza serikalini au mifumo ya ajira lazima iendelee kukataa tu hata kwa mtoto wa rais?

Kama mifumo ya ajira itakaa kwa huyu mtoto wa rais, si itabidi mzazi amtengenezee mtoto biashara ili asikae kihasara kwa sababu siyo lazima kuajiriwa! Hapa sasa mtoto ndio anatakiwa apambane kujibrand au?
Nch za afrika,utaingizwa tu
Na uzero brain wako tu
Mambo ni mbele kwa mbele

Ova
 
Doto James alikuwa ni mtoto wa dada, “anko ni mama” huu msemo unaujua?
Doto James Masanja hana undugu wowote na Magufuli isipokuwa wanatoka sehemu moja tu Chato. Kama unabisha taja Jina la mamake Doto ambae ni dada wa Magufuli.
Yote hayo yalikuwa ni propaganda tu.
 
Back
Top Bottom