Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Hayati Magufuli aliwezaje watoto wake kutojulikana kabisa hadi siku ya msiba?

Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .


Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.

Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Sjui kama umeelewa ulichosoma
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watotobnao wanataka kuwa ndo kama ni makamo wa Rais?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Juzi kati Rais Tinubu wa Nigeria kamtimua mtoto wake wa kiume kwenye kikao chake na Wafanyabiashara. Mzee alichukia kuwa hata kama yeye ni Rais, mwanae hana mamlaka ya kuhudhuria kikao chake ambacho hajaalikwa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .


Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.

Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Kwani Abdul ana impact gani zaidi ya kubebwa na Mama yake!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Juzi kati Rais Tinubu wa Nigeria kamtimua mtoto wake wa kiume kwenye kikao chake na Wafanyabiashara.Mzee alichukia kuwa ata kama yeye ni Rais,mwanae hana mamlaka ya kuhudhuria kikao chake ambacho hajaalikwa!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kura tumpe Samia, Abdul ndio awe mwakilishi wake, hii hapana aisee
 
Jesca mlimjua sababu pamoja na baba yake kuwa rais ye aliendelea kusoma vyuo vya serikali..lakini hata picha yake hatuijui.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Jesca alijulikana baada yakugundulika kuwa wakati Magufuli anavunja ile course ya ualimu pale UDOM ya form 4 zilizofeli na Jesca alikuwa muathilika la tukio ilo maana nae alikuwa mwanafunzi
 
Mtu ili ujilikane unabidi kuwa na mchango chanya katika Jamii na Taifa kwa ujumla .


Unaweza kuwa wewe baba yako ni rais Ila kwakuwa hauna impact chanya katika Jamii Basi hakuna mtu utaendelea kukuzingatia.

Mtu Kama Joel Nanauka mnamuonaje je? Angekuwa ndo mtoto wa rais watu wasingemzingatia
Huyo wa Mama yenu ana mchango gani?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Leo tuna akina Abdul ambao utawaona na kina Mseven huko wakiwakilisha Watanzania na wakati huo huo hawajulikani wananafasi gani hapo serikarini

Watoto wa Magufuli na familia yake kwa ujumla walifundwa siyo siri

Baba yao alikuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, lakini niseme ukweli kuwa, sikuwahi kuwaona kwenye Hafla, Ikulu wala kwenye mkusanyiko wowote wa viongozi wakiwa kama watoto wa Rais

Haya ndiyo maadili twapaswa kuwajengea watoto wetu

Mtu unapata nafasi ya Kuongoza nchi, watoto wako nao unataka wawe viomgozi? Haya sidhani kama ni maadili ya kiuongozi!

Ofisi tumpe Rais, watoto nao tuwe tunawahudumia kama viongozi wetu? Watuhoji kwa nini tumechelewa ofisini?


Hii hapana

JPM apewe mauwa yake kwa maadili ya familia yake!
Huna akili,kwan kifungu gani cha katiba kinazuia hayo!

Makufuli yeye nani haswa kiasi aigwe yeye dikteta yule!?
 
Back
Top Bottom