Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hiyo sekta Sipo kabisa labda umenifananisha maana mimi nina wake 3 na wajukuu naozesha sasaIla wamama single wa kumwaga. Hao mabinti wa kitasha watakuua bure... komaa na mimama ya Kispanyola na kimeksikana ipo ya kumwaga [emoji28][emoji1487][emoji1474]
Ndio nazaliwa mkuuMwaka 1982 salary 810/=TSH
Sijui mmeelewa?
Nilinunua kitanda na godoro mwezi huo huo wa kwanza tu!!!!
Sote tunajua kwamba ni mwalimu, lakini anamakasiriko na ualimuMpwayungu Village akiona hii atafurahi sana
1997 mshahara nilianzia 60,000Nimejikuta nawaza tu....
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.
Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Nilianza na mshahara 1.2 million... ndani ya miezi sita nikapiga tukio la zaidi 40 million... nikadakwa nikawekwa ndani.. wakanitoa baada ya siku tatu nikarudishwa kazini... nikafanya miezi mitatu nikaacha kazi mwenyewe.... paka sasa hivi mshahara wangu ni NIL sifuriiiNimejikuta nawaza tu....
Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikua mwaka 2000, na mshahara wangu ulikua 115,000Tsh.
Nakumbuka nilikua nimemzidi babayangu mshahara na alishangaa sana.
Tunapita mbali mkuuJobless huu uzi hautuhusu
Nifungulie pm nina salamu zako huko[emoji12]Amina amina kubwaaa kakangu kipenzi asanteni kwa kunikumbuka Mbarikiwe sana!... Msalimie sana wifi yangu na nimewamiss kupita Maelezo.. mwambie asiwe na wasiwasi kabisa God has been so good to me saivi nipo akili imetulia nipi njema sana na ninafuraha isio kifani!
Hizo zilikuwa nyingi sana Mkuu, maana kipindi hicho ardhi hekta moja ilipatikana kwa shs 10,000 ambapo kwa Sasa sehemu hizo zinauzwa kwa m80 - m 200Pindi nilipomaliza shule tu nikasepa na mshahara wangu wa kwanza ulikuwa $900 mwaka 1980
Sawa chiefUsiulize maswali ya kiwaki... shortly huyo ni TISS GUBERI! wa kitambo
Na sidhani kama atakuwa huko bongo huyu... atakuwa yuko level za Interpol sasa 🤔🤔🤔
Labda anafanya kwenye mabalozi ya TZ majuu
USD?Mwaka 2020, nakula net 78,000. Gross 100,000. Halafu ni kitambo.
shkamoo babu🙏🏾Ajira ya kwanza mwaka 1973, malipo 670; sasa hivi wajukuu zangu wananicheka kweli.
Umenikumbusha mbali, enzi hizo ya magodoro ya pamba. Yakikojolewa yanachukua muda kukauka.Mwaka 1982 salary 810/=TSH
Sijui mmeelewa?
Nilinunua kitanda na godoro mwezi huo huo wa kwanza tu!!!!
Zimezidi sukari na majani ya chaiiChai ni nyingi