The branding
Senior Member
- Apr 17, 2022
- 186
- 320
Hivi hii ndiyo ilitajwa kuhusika na moja wa wagombea urais wetu hapa nchini mwaka 2005Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Hawa watu ni vichwa maji, hata sasa unasikia wanasema Hamas kashinda vita. Hawa kushindwa vita ni labda wafe waishe.Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Upo sahihi kabisa mkuu, hilo pengo la teknolojia na ujasusi ndio limewamaliza Hezbollah.Technological gape ya Israel na Hezbollah ndio imewapoza vita ya sasa sio ya kuvaa magwanda na kutunishiana misuli , bali uwe umewekeza kwenye high tech na kwenye high tech kwa Israel ndio kama maji na samaki hapo Hezbollah must prepare for the worst,unless otherwise wanyooshe mkono juu mambo yaishe.
Hapana sio hii....Hivi hii ndiyo ilitajwa kuhusika na moja wa wagombea urais wetu hapa nchini mwaka 2005
Kuna yule mlevi mwingine wa Houth huwa anaongea kama anaimba, ukiwa huwajui wazee wa biti, utadhani wana nguvu za ajabu, kumbe vihande tu.Ukisikiliza propaganda za yule Ibrahim Rahbi supporter wa magaidi unaweza kudhani Israel inaenda kufutwa na Hezbollah
Ni Hezbollah yenyewe...waambieni watu kuwa:Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Yule jamaa sijui kwa nini hupewa mic yaani anamapenzi kwa waarabu kwenye uchambuzi kibaya zaidi kila analotabiri kuhusu Israel huenda kinyume na matarajio yake π€£π€£Ukisikiliza propaganda za yule Ibrahim Rahbi supporter wa magaidi unaweza kudhani Israel inaenda kufutwa na Hezbollah
Mbinu inayotakiwa kutumika sasa, Hamas watakwisha na Hezbollah watakwisha.Upo sahihi kabisa mkuu, hilo pengo la teknolojia na ujasusi ndio limewamaliza Hezbollah.
Israel haiwezi kuiangamiza kabisa Hezbollah ila itaidhoofisha tu kama ilivyofanya kwa Hamas
Uko kwenye kushabikia vita ndugu?Vilisikika vitisho vingi sana mara ooh, Hesbollah sio gaza, mara ooh kumbuka 2006, n. K.
Tulivyokwenda kwenye uhalisia kumbe hedbollah ni wachumba tuu, na ni mara 100 Hamas.
Hao jamaa yahudi anajipigia mpaka kuna muda unawaonea huruma wanaume wazima na vilemba na midevu wakikaa mashimoni.
Mapenzi makubwa kwa dini yako yamekufanya uwe zombieKateka kiasi gani bwana israel?..wiki ya tatu sasa