Hezbollah yajeruhi zaidi ya wanajeshi 40 kwenye mesi nchini Israel wakati wanakula

Israel hawafanyi kitu ikiwa hawana sababu ya hilo, amini nakuambia inawezekana kuna sababu ya hilo kutokea ili kuidhinisha mashambulizi ya kule ambako hizo UAV zinatokea kwenda kwa Hezobollah ambako ni Iran, kumbe j1 nuclear zilishambuliwa.kule Iran kupitia cyber attack.
 
😁😁😁😆
 
Hii vita, israel hapigani tu na Kamas na Hezbu Allah bali pia anapigana na Iran na Askari Mchongo wa UN pia. Ona hapa chini mahandaki ya Hezbu Allah yakiwa karibu sana na Kambi ya Askari wa UN huko Lebanon
Your browser is not able to display this video.
 
Wanajeshi wa Israel hawajifichi kwa akina mama na watoto kama wafanyavyo magaidi.

Hilo shambulizi ni kwamba hao magaidi wamekojolea upele na kinachofuata ni safari kwenda akhera kwa mabikra 72 wenye macho kama mayai. Wasubiri mziki.

Uongo mbaya, umeloa na umeumia kuliko huko Israel kwenyewe.
 
Endelea kuimba taarab
Naona mmeamua kujifariji achana na zilipotokea drone Iran si ili rusha makombora kabisa kutokea Iran kwenda kwa hao wazayuni au Ile haikua sababu israhell itachakazwa na Iran na hivyo ilivyo jaza machoko jeshini
 
Yaani waruhu kambi ya jeshi kushambuliwa, maafisa wafe na wengine wajeruhiwe Ili ku-justify kuishambulia Iran?

We mjinga sana, unadhani hao wayahudi siyo binadamu.

Acheni kulishana ujinga usio na logic. Iran ni technological powerhouse ya middle East.
 
Endelea kuimba taarab

Naona mmeamua kujifariji achana na zilipotokea drone Iran si ili rusha makombora kabisa kutokea Iran kwenda kwa hao wazayuni au Ile haikua sababu israhell itachakazwa na Iran na hivyo ilivyo jaza machoko jeshini
Mjinga sana huyu jamaa, wayahudi hofu imetanda na wanakimbizana hospitalini yeye anaamini wameruhusu makusudi. Jinga sana hili jamaa
 
Usiseme uongo ni amri ya Mungu.

Namna gani basi taifa teule hapo?

Mbona Hezbollah na wenzake huthibitisha bila kuchelewa yakiwakuta?
Vyombq vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa moja kwa moja au kinyumenyume na Israel au wat wenye uhusiano wa karibu n maslahi ya israel.

Wanaweza kutangqza wao kafa alafu haohao wakakqnusha kama picha zinazosambaa akikqgua sehemu palipolipuliwa na drone hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…