Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Narudia tena kukwambia wewe ni kiazi na mjinga wa mwisho.Ukite nyie ndio machadema eti mnataka kuongoza na Nchi [emoji38][emoji38][emoji38]..

Kwa akili zako fupi hujawahi sikia lugha hiyo? Kwa hiyo mtu akitamka mia tano elfu au elfu miatano wewe huelewi?

Narudia tena upende kujifunza lugha za fedha na namba na aina kadhaa za matamshi.

Ili ujione ulivyo mjinga nakusaidia kwa figures hizi hapa chini zote zimetoka kwa serikali.Sasa niambie kama Hawa wamekosea [emoji2960][emoji2960]

View attachment 2064705

View attachment 2064706

View attachment 2064707

View attachment 2064709

View attachment 2064710

View attachment 2064711
Unakisonono cha akili wewe,unataka kujifanya unajua kumbe jinga tu.ulicholeta hapo ni kitu tofauti kabisa na kile chakwenye hotuba.Alafu huna haja yakutumia nguvu nyingi sana kusifia au kuficha makosa maana kila mtu ana akili na anajua kipi ni kipi.Kama unapiga mapambio piga mapambio hadi unye kabisa maana huwezi kua wa kwanza ila sio ndo ujifanye wewe ndo unajua kuliko wengine.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unakisonono cha akili wewe,unataka kujifanya unajua kumbe jinga tu.ulicholeta hapo ni kitu tofauti kabisa na kile chakwenye hotuba.Alafu huna haja yakutumia nguvu nyingi sana kusifia au kuficha makosa maana kila mtu ana akili na anajua kipi ni kipi.Kama unapiga mapambio piga mapambio hadi unye kabisa maana huwezi kua wa kwanza ila sio ndo ujifanye wewe ndo unajua kuliko wengine.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nakusaidia wewe kilaza,,dola za Marekani mil.6250 usione kitu cha ajabu.
 
Uko pretty innovative katika kuhamisha magoli. Endelea, tunakusikiliza. Ila n'achoshukuru, umeelewa FIKA ulikokosea, na mantiki ya ukosoaji husika. So, unachojaribu sasa kufanya hakina maana yoyote, in a nutshell.
Hivi unaelewa maana ya ku-spin? Na kama unaelewa, unaweza kufafanua nime-spin vipi au nime-spin nini?!

Na kama unashindwa kuelewa sentensi "sikukosea" bali "nili-overlook" basi you've serious problem unless kama unahangaika ku-prove something in a very wrong way! Nasema you've a long way kwa sababu 14 000 Trillion na 14 Quadrillion ni kitu kile kile, sasa sijui tatizo lako lipo wapi hapo!!

Halafu, usiseme, ^you've serious problem^ Huku ni ku-abuse lugha adhimu ya Kiingereza. Kama hukijui, afadhali mapema tumia Kiswahili, tuko tunakuelewa vizuri.

Instead: ^you've A serious problem^ Hiyo ^A^ uliyoiruka ni dhahiri shahiri inakushuhudia kihasi kwamba hukupata ^A,^ bali ^F^ kwenye lugha ya Inglishi.
 
Uko pretty innovative katika kuhamisha magoli. Endelea, tunakusikiliza. Ila n'achoshukuru, umeelewa FIKA ulikokosea, na mantiki ya ukosoaji husika. So, unachojaribu sasa kufanya hakina maana yoyote, in a nutshell.


Halafu, usiseme, ^you've serious problem^ Huku ni ku-abuse lugha adhimu ya Kiingereza. Kama hukijui, afadhali mapema tumia Kiswahili, tuko tunakuelewa vizuri.

Instead: ^you've A serious problem^ Hiyo ^A^ uliyoiruka ni dhahiri shahiri inakushuhudia kihasi kwamba hukupa ^A,^ bali ^F^ kwenye lugha ya Inglishi.
Nimekuambia TAJA NIME-SPIN nini, na ikiwa kweli unafahamu maana ya ku-spin! Jikite hapo! Na ndo maana nikakuuliza hivi unahangaika ku-prove nini?! Hatimae nimegundua! UJUAJI MWINGI na ndo maana badala ya kujibu nilichokuuliza, unakimbilia kujifanya Mwalimu wa Kiingereza! Ni ushamba ulioje!!

Jibu nilichokuuliza "NIME-SPIN NINI NA UNAELEWA NINI KUHUSU KU-SPIN JAMBO"! Kama huna jibu, then kuwa na siku njema manake unanmipotezea muda!
 
Kwani msomaji mwenyewe hajui ukweli? Ukiandikiwa uongo na ukasoma uongo bila kuonyesha kushtukia ina maana wewe ni Rais usiyejua tuna akiba kiasi gani ya fedha za kigeni ni hatari sana

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Basi tuseme hakuiona wakati anasoma. So, it means hakupitia hotuba yake kabla ya kuiwasilisha kwa umma. Ni mwendo wa kunakili na kubandika nzimanzima. Hivi kitendo hiki kina tofauti gani na kuibia mtihani?
 
Basi tuseme hakuiona wakati anasoma. So, it means hakupitia hotuba yake kabla ya kuiwasilisha kwa umma. Ni mwendo wa kunakili na kubandika nzimanzima. Hivi kitendo hiki kina tofauti gani na kuibia mtihani?
Bila kumung'u ya maneno ni kuwa TUMEPIGWA na kitu kizito kichwani katika awamu hii ya sita kuliko awamu zote zilizo tangulia!
 
Nonsense!
Nimekuambia TAJA NIME-SPIN nini, na ikiwa kweli unafahamu maana ya ku-spin! Jikite hapo! Na ndo maana nikakuuliza hivi unahangaika ku-prove nini?! Hatimae nimegundua! UJUAJI MWINGI na ndo maana badala ya kujibu nilichokuuliza, unakimbilia kujifanya Mwalimu wa Kiingereza! Ni ushamba ulioje!!

Jibu nilichokuuliza "NIME-SPIN NINI NA UNAELEWA NINI KUHUSU KU-SPIN JAMBO"! Kama huna jibu, then kuwa na siku njema manake unanmipotezea muda!
Wewe ndiye mshamba, unayekurupuka kukosoa bila kuchunguza kwa makini. Then unasema ^hujakosea^ ila ^ume-overlook!^ Yaani hata hujui maana ya maneno hayo mawili. Pole!

Two, kama matumizi ya articles ^a^ na ^an^ hujui, utawezea wapi maana ya ^ku-spin^?

Three, unasema: ^unanipotezea muda^ Are you sure? Have I grabbed you by the throat and force you to comment? Huo nao ni ushamba na ukurupukaji.

Lastly, ^manake^ ni neno la lugha gani vile?
 
Nonsense!

Wewe ndiye mshamba, unayekurupuka kukosoa bila kuchunguza kwa makini. Then unasema ^hujakosea^ ila ^ume-overlook!^ Yaani hata hujui maana ya maneno hayo mawili. Pole!

Lastly, kama matumizi ya articles ^a^ na ^an^ hujui, utawezea wapi maana ya ^ku-spin^?
Umeshindwa kujibu "MKALI WA KIINGEREZA",!
 
Speech imeandikwa kwa Kiswahili wala sio kwa Kifaransa. Speech ya juu kabisa katika nchi ni speech ya Rais; haitakiwi kuwa na makandokando ya aina yoyote!

Inatakiwa inyooke kama rula in all aspects; in short ni final. Haitakiwi aje sijui nani baadaye kurekebisha speech ya Rais ikishaenda hewani. Baada ya hapo ni wananchi kutoa maoni yao tu.
Kwa kuongezea kama unahutubia watanzania milioni 60 na lugha yao kuu ni Kiswahili Kuna haja gani hasa ya kuwaekezea Habari za dollar ya taifa lingine? Kwa nini usiseme kwa shilingi ya kitanzania?
 
Kuna umuhimu sasa wa kurekebisha utaratibu wa kuwapata watumishi wa uma kwa kuzingatia uwezo wa fikra badala ya vyeti tu.
Inawezekana wengi huajiriwa kwa kuangalia vyeti na matokeo yake ndiyo haya.
Watu wenye akili nzuri wanajulikana, pamoja na elimu ya vyeti, idara ya usalama wa taifa itumike kuwapata (kama nayo haijaathirika).
 
Kuna umuhimu sasa wa kurekebisha utaratibu wa kuwapata watumishi wa uma kwa kuzingatia uwezo wa fikra badala ya vyeti. Inawezekana wengi huajiriwa kwa kuangalia vyeti na matokeo yake ndiyo haya.
Watu wenye akili nzuri wanajulikana, pamoja na elimu ya vyeti, idara yusalama wa taifa itumike kuwapata (kama nayo haijaathirika).
 
Katika kipande kifupi cha video hapa chini ni Rais Samia akihutubia jana kuelekea siku ya mwaka mpya.

Katika kipande hiki cha video Rais anadai kuwa nchi ina akiba za fedha za kigeni kiasi cha dola za kimarekani 6253 bilioni Kitu ambacho siyo sahihi wala siyo kweli kwa sababu hii ni zaidi ya trilioni 14,000 kwa fedha za Kitanzania.

Kinachotia kichefuchefu na kukasirisha ni kwamba alieandaa hotuba hii alipaswa kuihariri kisha kumpa Rais.Rais nae alipaswa kuihariri hotuba yake ndipo apande nayo hewani.

Assumption hapa ni kwamba kwa hotuba kubwa na muhimu kama hiyo kutoka kwa Rais wa nchi hayo yote yalifanyika.Lakini cha kushangaza hotuba hiyo imesomwa na Rais ikiwa na makosa kama hayo.

Makosa haya yanaweza kuwa na maana moja kati ya maana hizi mbili.Kwanza inawezekana hotuba hii alieiandika hakuihariri kabisa na pia alipopewa Rais nae hakuihariri kabisa hadi anapanda hewani,kitu ambacho ni ngumu kuamini.

Lakini maana ya pili inawezekana kuwa wote wawili, yaani Rais pamoja na alieandika hotuba hii kusoma namba iliwapiga chenga.Yaani alieandika hotuba namba zilimchanganya akasema iende hivyo hivyo tuuu na Rais nae namba zikamchanganya akasema iende hivyo hivyo tuu.Hii inaleta maana zaidi kwa sababu kwa point ya kwanza ni ngumu Rais kusoma hotuba ambayo yeye mwenyewe hajaipitia.

Hotuba kama hii ambayo mamilioni ya watanzania walikuwa wanaenda kuisikiliza ilipaswa iandikwe kwa makini ikiwa ni pamoja na kuhaririwa na mtu zaidi ya mmoja ikiwa ni pamoja na Rais mwenyewe.

Kitendo cha hotuba hii kwenda hewani ikiwa na makosa ya kizembe namna hii inaonyesha wazi kwamba system nzima ya uongozi katika nchi hii kuanzia Rais hadi wasaidizi wake imeoza.

Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yanaibua maswali yafuatayo ambayo yanatia mashaka:

1.Wasaidizi wa Rais wanajua kusoma na kuandika?

2.Wasaidizi wa Rais wapo serious na kazi yao?

3.Rais anajua kusoma na kuandika?

4.Rais yupo serious na kazi yake?

5.Hotuba hii imeibua aina ya Rais tulienae pamoja na wasaidizi wake?

6.Wananchi waliosikiliza hotuba hii wanamchukuliaje Rais wao?

7.Rais ana uwezo wa kuongoza?

8.Je,Tanzania ina kiongozi kipofu ambae anaongoza vipofu wenzake?

9.Nani anastahili lawama kubwa katika hotuba hii zaidi ya Rais mwenye hotuba yake?

10.Kama nchi tuna mfumo mzuri wa kupata viongozi sahihi?

Kwa makosa haya Rais hawezi kukwepa lawama zote hata kidogo kwa sababu yeye ndiye alikuwa mtoa hotuba na alipaswa kuhakikisha kuwa hotuba yake ipo safi kabla hajaenda hewani.Makosa ya kijinga kabisa katika hotuba hii yamewanyima wananchi kupata habari muhimu kabisa juu ya akiba yetu ya fedha za kigeni.

Imagine hawa ndiyo viongozi wanaosimamia miradi mikubwa ya mabilioni ya fedha za walala hoi kama vile SGR na Stigler gorge.Tutawaamini vipi hawa?!
View attachment 2065193
View attachment 2065245
Samia amewekwa hapo na Kikwete, juzi kampa kazi ya Chancellor for 6 years? Why 6? Wote wezi hao wapo kujaza matumbo yao. Sheria inadilishwe ili tuweze kuwashitski. They are thieves and they care less.
 
Back
Top Bottom