Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajakosea kutaja , hajui hesabu na hajawahi kuisomaNimefuatilia comments za watu. Kwahiyo wote tumekubaliana kwamba mama amekosea kutaja hiko kiwango cha pesa. Huo mzigo hakuna kwenye stock.
Maana yake nini, niko nataka niwaeleweshe washkaji kijiweni baadae. Nichambulie tafadhali.Hajakosea kutaja , hajui hesabu na hajawahi kuisoma
Sawa mke wa kijiji.
Aise majinga ni mengi mno. Azina ya namna hyo hata USA hawana we kolo.Sijaelewa concern yako..kwamba hazipo hizo ela au unahasira tu na mama wa watu.
Hizo trilioni ni Tsh..unamaanisha US hawana hicho kiwango cha dola are you seriousAise majinga ni mengi mno. Azina ya namna hyo hata USA hawana we kolo.
Prof Luoga, Gavana wa bank kuu, naye hii namba imemchanganya. Alafu cha kushangaza na kupitiliza huyo ndiye anachagua maprofessa kwenye nafasi mbali mbali. DuNawasalimu kwa jina la USD 6253 Billion. (17,000,000,000,000,000)
Kila siku tunaelezana ya kwamba wanamake walipewa heshima kubwa kua walezi wa familia ndio majukumu yao kwa asili. Wazae na kulea ukweli ni kwamba wanawake are so incompitent katika vipimo, ujazo na mahesabu na sio jambo baya hawakuumbwa kwa majukumu hayo waliumbwa kuzaa na kulea.
Jokes aside, fanya utafiti wako wafuate wanawake 10 randomly kila mmoja mwambie akuonyeshe urefu wa inch moja wengi wakwambia hawajui, anaejifanya mjuaji atakwambia "nikuteka jengo lile pale mpaka lile kule" haa haa ha waulize meter moja ina makadirio ya urefu gani atakwambia urefu wa wa ukucha akimaanisha mm. Botomline wanawake hawakuumbwa kwa majukumu ya mahesabu, vipimo, ujazo ni wazazi na walezi, haya Saa100 anatuambia hazina ya USD billion 6253 maskini hajui hiyo hata ni kiasi gani, ukweli ni kwamba hata marekani hawana hazina kubma kiasi hicho takribani 17,000,000,000,000,000 yani figure hata haitamkiki
Aisee....Sawa mke wa kijiji.
plz tell usikimblie kulinganisha na USA, lete hesabu/takwimu hapa kuivunja nguvu hoja ya mama, je tunazo?!? au hatuna?!?Aise majinga ni mengi mno. Azina ya namna hyo hata USA hawana we kolo.
Sina uhakika kama umeongea fact au unadhania......pesa ya MO Dewji uiingize kuwa hifadhi ya taifa? Tena useme unaweza kuinunulia ugali wa nchi kwa miezi 7? Can't be seriousHizo sio hela za umma tu ni pamoja na za sector bijafsi.
Stock ya dola ina maana wakichukua dola zote za serikali, na zile zinazomilikiwa na watu binafsi kwenye bank na bureau ndio unapata akiba ya fedha za kigeni. Kusema serikali ikazilipie deni sio sahihi maana sio hela zake
Hakuna hiyo fedhaplz tell usikimblie kulinganisha na USA, lete hesabu/takwimu hapa kuivunja nguvu hoja ya mama, je tunazo?!? au hatuna?!?
Ikitokea kiongozi wa nchi hajui hesabu kabisa kama jinsi dalili zinavyoonesha walio chini yake watajibebea mapesa mpaka waseme wamechoka!
prooveHakuna hiyo fedha
Angekuwa na hizo fedha IMF alikwenda kukopa fedha za kujenga madarasa 1.3 Trilion ya kutoa elimu bure ya nini?proove
ilikuwa ya kujenga madarasa, akiba iendelee kuwepoAngekuwa na hizo fedha IMF alikwenda kukopa fedha za kujenga madarasa 1.3 Trilion ya kutoa elimu bure ya nini?
HATUNA KIASI HICHO HATAplz tell usikimblie kulinganisha na USA, lete hesabu/takwimu hapa kuivunja nguvu hoja ya mama, je tunazo?!? au hatuna?!?
Hizo trilioni ni Tsh..unamaanisha US hawana hicho kiwango cha dola are you serious