CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
===
Akiba ya fedha za kigeni Tanzania imefikia kiasi cha US$ 6,253M au US$ 6.253BL sawa na TZS 14.5Trilioni fedha inayoweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi saba mfululizo,
Kwa msiofahamu,Rekodi hii haijawahi kufikiwa tangu Tanzania ipate Uhuru wake trh 09|12|1961 na kuanzishwa kwa TRA mwaka 1996,
Watanzania puuzeni uongo unaosambazwa na wanaopenda "Petty Politics " kuhuru hii akiba yetu kilichotokea ni tatizo dogo la kimatamshi tu kwa Mhe Rais wetu Wale watu wa mahesabu wanaelewa hili vizuri sana,
#HAPPY NEW YEAR 2022
Akiba ya fedha za kigeni Tanzania imefikia kiasi cha US$ 6,253M au US$ 6.253BL sawa na TZS 14.5Trilioni fedha inayoweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa miezi saba mfululizo,
Kwa msiofahamu,Rekodi hii haijawahi kufikiwa tangu Tanzania ipate Uhuru wake trh 09|12|1961 na kuanzishwa kwa TRA mwaka 1996,
Watanzania puuzeni uongo unaosambazwa na wanaopenda "Petty Politics " kuhuru hii akiba yetu kilichotokea ni tatizo dogo la kimatamshi tu kwa Mhe Rais wetu Wale watu wa mahesabu wanaelewa hili vizuri sana,
#HAPPY NEW YEAR 2022