The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mkuu ni aibu tupuProf Luoga, Gavana wa bank kuu, naye hii namba imemchanganya. Alafu cha kushangaza na kupitiliza huyo ndiye anachagua maprofessa kwenye nafasi mbali mbali. Du
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni aibu tupuProf Luoga, Gavana wa bank kuu, naye hii namba imemchanganya. Alafu cha kushangaza na kupitiliza huyo ndiye anachagua maprofessa kwenye nafasi mbali mbali. Du
Nawasalimu kwa jina la USD 6253 Billion. (17,000,000,000,000,000)
Kila siku tunaelezana ya kwamba wanamake walipewa heshima kubwa kua walezi wa familia ndio majukumu yao kwa asili. Wazae na kulea ukweli ni kwamba wanawake are so incompitent katika vipimo, ujazo na mahesabu na sio jambo baya hawakuumbwa kwa majukumu hayo waliumbwa kuzaa na kulea.
Jokes aside, fanya utafiti wako wafuate wanawake 10 randomly kila mmoja mwambie akuonyeshe urefu wa inch moja wengi wakwambia hawajui, anaejifanya mjuaji atakwambia "nikuteka jengo lile pale mpaka lile kule" haa haa ha waulize meter moja ina makadirio ya urefu gani atakwambia urefu wa wa ukucha akimaanisha mm. Botomline wanawake hawakuumbwa kwa majukumu ya mahesabu, vipimo, ujazo ni wazazi na walezi, haya Saa100 anatuambia hazina ya USD billion 6253 maskini hajui hiyo hata ni kiasi gani, ukweli ni kwamba hata marekani hawana hazina kubma kiasi hicho takribani 17,000,000,000,000,000 yani figure hata haitamkiki
au nabisha na gavana wa BOT?!!?HATUNA KIASI HICHO HATA
Gavana wa BOT ndiye aliyeitaja hiyo figure?au nabisha na gavana wa BOT?!!?
Sasa kama unajua kuna makosa yakiuandishi kwanini ulianza kukebehi watu waliokua wanahoji?.Umetukana weee mwishoni umeaibika mwenyewe.Jifunze ustarabu na punguza ujuaji.ata kama jambo unalijua tumia njia zakistarabu kuelewesha badala ya kutukana nakuona wengine hawajui ni wewe tu.Makosa ya kiuandishi ni mil.6250 sawa na til.14 .5 za tzn
Nawasalimu kwa jina la USD 6253 Billion. (17,000,000,000,000,000)
Kila siku tunaelezana ya kwamba wanamake walipewa heshima kubwa kua walezi wa familia ndio majukumu yao kwa asili. Wazae na kulea ukweli ni kwamba wanawake are so incompitent katika vipimo, ujazo na mahesabu na sio jambo baya hawakuumbwa kwa majukumu hayo waliumbwa kuzaa na kulea.
Jokes aside, fanya utafiti wako wafuate wanawake 10 randomly kila mmoja mwambie akuonyeshe urefu wa inch moja wengi wakwambia hawajui, anaejifanya mjuaji atakwambia "nikuteka jengo lile pale mpaka lile kule" haa haa ha waulize meter moja ina makadirio ya urefu gani atakwambia urefu wa wa ukucha akimaanisha mm. Botomline wanawake hawakuumbwa kwa majukumu ya mahesabu, vipimo, ujazo ni wazazi na walezi, haya Saa100 anatuambia hazina ya USD billion 6253 maskini hajui hiyo hata ni kiasi gani, ukweli ni kwamba hata marekani hawana hazina kubma kiasi hicho takribani 17,000,000,000,000,000 yani figure hata haitamkiki
"Mimi sina uwezo wa kuhesabu matofali kama xxxx" kumbe sio uwezo wa kuhesabu matofali tu hata uwezo wa kufanya hesabu ya fedha. TumepigwaIkitokea kiongozi wa nchi hajui hesabu kabisa kama jinsi dalili zinavyoonesha walio chini yake watajibebea mapesa mpaka waseme wamechoka!
"Mimi sina uwezo wa kuhesabu matofali kama xxxx" kumbe sio uwezo wa kuhesabu matofali tu hata uwezo wa kufanya hesabu ya fedha. Tumepigwa
Mkuu ni kweli haujajua kateu wanawake wenzake kila kona ?Kwa hiyo wasaidizi wa Mama Ni wanawake?
Kule usukumani walimpa na UchifuMwanamke siku zote hawezi kuwa kiongozi mbele ya wanaume
labda awe kiongozi mzuri mbele ya wanawake wenzake
Wanawake hao wanaoteuliwa hajui wanaishi na akina nani hilo ndilo tatizo . Unakuta wizara inaongozwa na watu wawili tena usio wajuaMkuu ni kweli haujajua kateu wanawake wenzake kila kona ?
ni mama ndo kaitaja,gavana wa BOT hajakanusha, au ndio wewe??!!??Gavana wa BOT ndiye aliyeitaja hiyo figure?
Atakanusha kauli ya Rais aliyeteuliwa na katiba ya mwaka 1977?ni mama ndo kaitaja,gavana wa BOT hajakanusha, au ndio wewe??!!??
Aidha, katika kuhakikisha uchumi haupati athari hasi, tulichukua hatua za kudhibiti Mfumuko wa bei, ambapo umeendelea kuwa kati ya asilimia 3 hadi 5; na kuhakikisha kwamba tunakuwa na akiba ya kutosheleza ya fedha za kigeni ambapo kwa sasa nchi yetu ina kiwango cha kiasi cha Dola za Kimarekani bilioni 6,253 zitakazotosheleza kuagiza chakula na huduma kwa kipindi cha miezi 7.alisema lini tena hii
Mwanamke ni mwanamke tu ubishi haufaiHangaya anahujumiwa, ila yeye haelewi hilo.
Hujajibu swali, nimeuliza huo mfumo umeundwa na nini?Hamtaki mfumo tena. Maana ilisemwa mfumo ndiyo kila kitu na Mama kaimarisha mifumo.
haaya bhaana,nimekuelewaAtakanusha kauli ya Rais aliyeteuliwa na katiba ya mwaka 1977?
Heri ya mwaka mpya 2022Hujajibu swali, nimeuliza huo mfumo umeundwa na nini?