Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Hii akiba ya fedha za kigeni dola Bilioni 6,253 aliyosema Rais Samia kiboko, deni la Taifa lingekuwa hela ya peremende

Nawasalimu kwa jina la USD 6253 Billion. (17,000,000,000,000,000)


Kila siku tunaelezana ya kwamba wanamake walipewa heshima kubwa kua walezi wa familia ndio majukumu yao kwa asili. Wazae na kulea ukweli ni kwamba wanawake are so incompitent katika vipimo, ujazo na mahesabu na sio jambo baya hawakuumbwa kwa majukumu hayo waliumbwa kuzaa na kulea.

Jokes aside, fanya utafiti wako wafuate wanawake 10 randomly kila mmoja mwambie akuonyeshe urefu wa inch moja wengi wakwambia hawajui, anaejifanya mjuaji atakwambia "nikuteka jengo lile pale mpaka lile kule" haa haa ha waulize meter moja ina makadirio ya urefu gani atakwambia urefu wa wa ukucha akimaanisha mm. Botomline wanawake hawakuumbwa kwa majukumu ya mahesabu, vipimo, ujazo ni wazazi na walezi, haya Saa100 anatuambia hazina ya USD billion 6253 maskini hajui hiyo hata ni kiasi gani, ukweli ni kwamba hata marekani hawana hazina kubma kiasi hicho takribani 17,000,000,000,000,000 yani figure hata haitamkiki

75DD0F07-5C1D-42C7-A0B1-F78EEB621ABD.jpeg
 
Makosa ya kiuandishi ni mil.6250 sawa na til.14 .5 za tzn
Sasa kama unajua kuna makosa yakiuandishi kwanini ulianza kukebehi watu waliokua wanahoji?.Umetukana weee mwishoni umeaibika mwenyewe.Jifunze ustarabu na punguza ujuaji.ata kama jambo unalijua tumia njia zakistarabu kuelewesha badala ya kutukana nakuona wengine hawajui ni wewe tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu kwa jina la USD 6253 Billion. (17,000,000,000,000,000)


Kila siku tunaelezana ya kwamba wanamake walipewa heshima kubwa kua walezi wa familia ndio majukumu yao kwa asili. Wazae na kulea ukweli ni kwamba wanawake are so incompitent katika vipimo, ujazo na mahesabu na sio jambo baya hawakuumbwa kwa majukumu hayo waliumbwa kuzaa na kulea.

Jokes aside, fanya utafiti wako wafuate wanawake 10 randomly kila mmoja mwambie akuonyeshe urefu wa inch moja wengi wakwambia hawajui, anaejifanya mjuaji atakwambia "nikuteka jengo lile pale mpaka lile kule" haa haa ha waulize meter moja ina makadirio ya urefu gani atakwambia urefu wa wa ukucha akimaanisha mm. Botomline wanawake hawakuumbwa kwa majukumu ya mahesabu, vipimo, ujazo ni wazazi na walezi, haya Saa100 anatuambia hazina ya USD billion 6253 maskini hajui hiyo hata ni kiasi gani, ukweli ni kwamba hata marekani hawana hazina kubma kiasi hicho takribani 17,000,000,000,000,000 yani figure hata haitamkiki

Kwa hiyo wasaidizi wa Mama Ni wanawake?
 
Ikitokea kiongozi wa nchi hajui hesabu kabisa kama jinsi dalili zinavyoonesha walio chini yake watajibebea mapesa mpaka waseme wamechoka!
"Mimi sina uwezo wa kuhesabu matofali kama xxxx" kumbe sio uwezo wa kuhesabu matofali tu hata uwezo wa kufanya hesabu ya fedha. Tumepigwa
 
Mwanamke siku zote hawezi kuwa kiongozi mbele ya wanaume
labda awe kiongozi mzuri mbele ya wanawake wenzake
 
Mkuu ni kweli haujajua kateu wanawake wenzake kila kona ?
Wanawake hao wanaoteuliwa hajui wanaishi na akina nani hilo ndilo tatizo . Unakuta wizara inaongozwa na watu wawili tena usio wajua
 
alisema lini tena hii
Aidha, katika kuhakikisha uchumi haupati athari hasi, tulichukua hatua za kudhibiti Mfumuko wa bei, ambapo umeendelea kuwa kati ya asilimia 3 hadi 5; na kuhakikisha kwamba tunakuwa na akiba ya kutosheleza ya fedha za kigeni ambapo kwa sasa nchi yetu ina kiwango cha kiasi cha Dola za Kimarekani bilioni 6,253 zitakazotosheleza kuagiza chakula na huduma kwa kipindi cha miezi 7.

Hii ni

Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya kufunga mwaka 2021. Kirusi kipya cha Corona cha Omicron kimeshaingia Nchini Tanzania​

 
Back
Top Bottom