Hahaha............wakati nipo High school nilikuwa Mwanachama wa Chama chenu, na ilikuwa naweza kwenda mara mbili au tatu kwa sikuhuku unahitajika moyo wa chuma usio ne feelings
na usiwe unaishi Tabata maana hutaweza
Dah, humu humu mkuu? Noma asee, akiwaamulia wadada wa humu si balaa hili.Kuna mzee yeye kila akipima ni mzima wa afya na yupo hapa hapa JF. Ila ni muathirika na anatumia mbaazi, juzi juzi nimepata mashtaka yake kamuingiza mtu gridi ya taifa. Hivyo vipimo usiviamini kabisa.
Kwann mkuu watu wa Tabata wana shida ganii?huku unahitajika moyo wa chuma usio ne feelings
na usiwe unaishi Tabata maana hutaweza
St.mary HOSPITAL, jiji la MANCHESTER pale.Anapatikana wapi π
Hahahaha.....................nimeacha Mkuu, nisije kuleta vita hapa πUnataka kufufua nyuzi zingine mkuu
Wapo wengi sana na wadada wa humu wanavyopenda pesa sasaDah, humu humu mkuu? Noma asee, akiwaamulia wadada wa humu si balaa hili.
Wewe unajuaje mkuu kwamba wapo wengi wanaotembea na nyaya zilizochubuka?Wapo wengi sana na wadada wa humu wanavyopenda pesa sasa
aliyetengeneza ukimwi alaaniwe kwa kweli, nyeto inachoshaHahaha............wakati nipo High school nilikuwa Mwanachama wa Chama chenu, na ilikuwa naweza kwenda mara mbili au tatu kwa siku
Kwa kweli bora tumeoa Sasa, vinginevyo ningesalia Mwanachama hai wa Chama chenu π€ͺ
machinjioni huko, kila siku Ijumaa natoka porini huku naja tabata kupunga upepoKwann mkuu watu wa Tabata wana shida ganii?
Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!Dah, humu humu mkuu? Noma asee, akiwaamulia wadada wa humu si balaa hili.
Kumbe humu watu wanafikaga mbali kiasi hicho πππ€Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!
Mkuu, una uthibitisho wa hili? Unaongea kwa kujiamini sana..Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!
Usimuamini mtu wala hivyo vipimo kuwa makini sana, usije ukaanza kula mbaazi.Kumbe humu watu wanafikaga mbali kiasi hicho πππ€
Mmh kwamba hujui watu wanahusiana humu?Kumbe humu watu wanafikaga mbali kiasi hicho πππ€
Ndio nauthibitisho anakula mbaazi kitambo tu. Nayeye ni member humu kitambo tu ila huwa anabadili ID. Watu walikuwa hawaamini ila mwaka jana waliniamini alikauka balaa sema pesa ilimsaidia kuendelea kupumua pumua kwa muda.Mkuu, una uthibitisho wa hili? Unaongea kwa kujiamini sana..
Usije ukanigombanisha na jf expert member humu π siwajuiWewe unajuaje mkuu kwamba wapo wengi wanaotembea na nyaya zilizochubuka?
Kwakweli ππUsimuamini mtu wala hivyo vipimo kuwa makini sana, usije ukaanza kula mbaazi.
Me najuaga flirts tu za hapahapa jukwaani na pm huko labda πππππππMmh kwamba hujui watu wanahusiana humu?
Mbona hatari hii!!Ndio nauthibitisho anakula mbaazi kitambo tu. Nayeye ni member humu kitambo tu ila huwa anabadili ID. Watu walikuwa hawaamini ila mwaka jana waliniamini alikauka balaa sema pesa ilimsaidia kuendelea kupumua pumua kwa muda.
Ww sio poa pker acha bas ujue unavunja sheriaNdio nauthibitisho anakula mbaazi kitambo tu. Nayeye ni member humu kitambo tu ila huwa anabadili ID. Watu walikuwa hawaamini ila mwaka jana waliniamini alikauka balaa sema pesa ilimsaidia kuendelea kupumua pumua kwa muda.