Hii ina maana gani ni positive au negative?

Hii ina maana gani ni positive au negative?

Dah, humu humu mkuu? Noma asee, akiwaamulia wadada wa humu si balaa hili.
Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!
 
Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!
Kumbe humu watu wanafikaga mbali kiasi hicho 😃😃🤔
 
Kazingua kinoma anatumia pesa zake vibaya sana. Huwa anatembea na vipimo kabisa sanyingine kuna vidawa anameza hata upime vipi utaona majibu ni mzima. Ila ni kagonjwa kalizidiwa mwaka jana kakapelekwa india, naona ndio kidogo saivi amepoa. Hata humu JF naona kapunguza moto wake kidogo. Take care aisee!
Mkuu, una uthibitisho wa hili? Unaongea kwa kujiamini sana..
 
Back
Top Bottom