Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hatari mno hii ni komesha.Duh? Hatari sana I see!
Msitufanyie hivyo😂😂😂😂😂
Kweli naona umefupisha 😂Huyu jamaa namjua vizuri sana, Nyumbani kwao ni karubu na kwetu, kwa hyo historia yake yote naijua, ulivyo kua mwanzo mpaka sasa alipo fikia, aliondoka kesho na na ndege ya saa tano juz kuelekea marekan karud jana, kusema ukweli sina meng yakusema, huo ndio ukwel, historia yake ni ndefu sana nimeamua kuifupisha.
Huyo Mwanamke nafuu aliachwa kwakuwa Hana Akili,Mtoto ni Zawadi Mungu anatupatia,huwezi ukamuweka hivyo.ndoa zinatangazwa,angeweza kuzuia kama alikuwa na madai Kuliko huo unyanyasaji Kwa MtotoPicha ni Mwanandoa aliyezaa nje mtoto kisha hakumuoa huyo dada. Mwanamke aliyekua anamuoa alikuwa hajui kama ana mtoto nje.
Siku ya harusi wakati wa kutoa zawadi, mwanamama aliweka mtoto kwenye beseni kama zawadi.
View attachment 3018018
sio kila mahali ndoa hutangazwa mkuu, sisapoti alichokifanya.Huyo Mwanamke nafuu aliachwa kwakuwa Hana Akili,Mtoto ni Zawadi Mungu anatupatia,huwezi ukamuweka hivyo.ndoa zinatangazwa,angeweza kuzuia kama alikuwa na madai Kuliko huo unyanyasaji Kwa Mtoto
😂
Hebu iweke hapa mkuu..maisha ya mtu siku zote ni funzo kwa mwingine.Huyu jamaa namjua vizuri sana, Nyumbani kwao ni karibu na kwetu, kwa hyo historia yake yote naijua, alivyo kua mwanzo mpaka sasa alipo fikia, aliondoka kesho na ndege ya saa tano juzi kuelekea marekan karudi jana, kusema ukweli sina mengi ya kusema, huo ndio ukwel, historia yake ni ndefu sana nimeamua kuifupisha.
Honeymoon ishakuwa chungu😫😫😫asee jamaa anashidwa alie au acheke
😂 huyo mwanamama ana ujasiri sana.Uamuzi sahihi sana huu, inaonekana jamaa alikuwa hatoi matumizi, pia sioni unyanyasaji kwa mtoto maana amewekwa kwenye beseni la baba yake.
Soma Sheria ya Ndoa.ndoa hiyo hapo na kumelemela Kwa Bibi harusi,ilishatangazwa ikajulikana! Hujaoa labda ndio Maana hujui,au umeona za Mila,sio kila mahali ndoa hutangazwa mkuu, sisapoti alichokifanya.
Ndio damu yakeZawadi ya mtoto