Hii kauli Dotto Magari kuhusu Elimu. Anatakiwa achukuliwe hatua za kisheria kwa kupotosha na kutukana umma

Hapo ndo tatizo linapoanzia watu.akili kisoda kabisa. Ivi kwa mfano unafika hospital unaambiwa daktari hayupo kaenda kwenye michongo na hakuna Huduma how will you fill? Hata siku moja elimu/Uvumbuzi haviwezi kuwa replaced na pesa never
Tafuta hela kelele za nini wewe kilaza kama huna hela maana yake huna akili
 
Jf kennedy aliwah sema
 

Attachments

  • images.jpeg
    47.1 KB · Views: 5
Mpaka wafanyabiashara wanakimbiliia kwa hakina Dotto Magari na wao kujitamba ni kwa sababu hakuna marketing firms za kuweza kutangaza biashara zao.

Sasa kwanini Dotto Magari asiongee ukweli elimu imekusaidia nini kama wafanyabiashara wanaona kumlipa yeye kufanya promotion unalipa kwao kuliko wewe unaejidai umesoma.

Kubwa zaidi hakuna sheria aliyovunja katoa mawazo kwa mtazamo wake (huna ulazima wa kukubalina) nae anao uhuru huo. Unaweza ku-counter argue mtazamo wake.

Mi ndio maana nikipata wasaa nawaendea kule kwenye jukwaa la ‘stories of change! Kuwapa mapande yao wajinga wajinga.

Dotto hana kosa kwa kutoa opinion yake ambayo ni ya msingi kwa upande wangu.

Kuna mtu anaweza tają ‘marketing firm’ hata moja Tanzania. Sasa kwanini asiseme ukweli.
 
Ni afrika tu unakuta anasema wasomi vbya leo tumeona hata wanasiasa wasiokua wasomi maaamuzi yao yaliyokua yakipumbavu Taifa bila wasomi ni sawa na taifa la mahayawani
 
Sahihi kabisa madaktari popote mlipo akitokea mwambieni akachemshr pesa zake anywe kama dawa msimpe tiba yeyote
***** hii umemaliza kabisa hiz habari za za kutokuheshimu professional za watu naliona hata makazini na uzuri watz tumerogeka instagram basi tunaona waliosoma hopeless hili nakataaa yeye dotto kwa upande wake marketing strategies yake inamlipa tuliona watu wengi wakija km yeye mfano. Mzee mpili,mzee wa liquid strategy yake nzuri ila sio longterm itafika time kila mtu atakua hana habari nae please tusidharau elimu kmyeye anaona haifai mtt wake asimpeleke shule amrisishe makelele
 
Kwa hiyo malaya na mashoga na majambazi yenye pesa yana akili? Kujiuza na ujambazi ni kipimo cha akili kuwa mtu anayo?
Mkuu, Tofautisha akili na elimu. Elimu ni chakula cha akili, inaipa misuli akili. Unaweza kuwa na elimu isiyo na msaada kwako na ukawa jambazi na ukawa na pesa. Ila huwezi kuwa na akili usiwe na pesa. Hakuna mtu mwenye akili ombaomba.
 
Kwa hiyo malaya na mashoga na majambazi yenye pesa yana akili? Kujiuza na ujambazi ni kipimo cha akili kuwa mtu anayo?
Mkuu, Tofautisha akili na elimu. Elimu ni chakula cha akili, inaipa misuli akili. Unaweza kuwa na elimu isiyo na msaada kwako na ukawa jambazi na ukawa na pesa. Ila huwezi kuwa na akili usiwe na pesa. Hakuna mtu mwenye akili ombaomba.
 
Mkuu, Tofautisha akili na elimu. Elimu ni chakula cha akili, inaipa misuli akili. Unaweza kuwa na elimu isiyo na msaada kwako na ukawa jambazi na ukawa na pesa. Ila huwezi kuwa na akili usiwe na pesa. Hakuna mtu mwenye akili ombaomba.

Pesa kiasi gani sasa ndio unakuwa na akili? Mwenye mshahara wa laki 5 na mwenye mshahara wa milioni 5 hapo mwenye akili ni huyo wa mshahara mkubwa?
 
huwezi kuwa na akili usiwe na pesa. Hakuna mtu mwenye akili ombaomba.
Hapa pia unaonyesha una tatizo la kielimu kwenye watu waliosoma pesa haiko katika vigezo vya kupima akili ya mtu

Kipimo cha akili kinaitwa

Intelligence quotient​

Na katika vigezo vya kupima pesa haimo

Lakina wewe kwa kuwa elimu huna endelea kuamini kuwa pesa ndio kipimo cha akili
 
Pesa kiasi gani sasa ndio unakuwa na akili? Mwenye mshahara wa laki 5 na mwenye mshahara wa milioni 5 hapo mwenye akili ni huyo wa mshahara mkubwa?
Hapana. Kuwa na pesa si kipimo cha akili sababu unaweza lipwa mshahara bila kutumia akili, ila hakuna mwenye akili asiye na pesa sababu akili itakuonyesha pa kuipata pesa.
 
Sijui kwanini hamuwezi kutofautisha elimu na akili? Hakuna mtu asiye na tatizo la elimu. Hata wewe kuna vitu huna elimu navyo.

Huwezi kuwa na akili usiwe na pesa, akili siku zote itakuonyesha ilipo pesa.
 
Anachosema ni ukweli mtupu.

Mimi nikikutana na mtu ana hela kuliko mimi basi pia atakua na akili kunizidi, maana haiwezekani uwe na akili halafu ukose hela, narudia tena haiwezekani.

Huna hela = Huna akili.
Haiwezekani hizo pesa akawa amerithi, ameiba au ameuza dawa za kulevya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…