Mjumbe hauwawi, wasomi wengi wa bongo(ukimtoa Fernandez wa, Nala, Melo wa JF) hawana akili, huyu jamaa hajasoma kama anavyosema, lakini ana social skills kubwa, kwenye jamii,kuliko kijana mwenye Masters, kwanza waliosoma madegree hawawezi hata kujichanganya na watu wa chini, kuongea lugha ya mtaani, itakayoelekweka kwa mama ntilie, bodaboda, nk, huwa wanajitenga,
Elimu yetu inatukalilisha vitu kibao, ambavyo havina matumizi kwrnye maisha ya wanacnhi wa kawaida, Engineer, inabidi aweze kuwa na kujinyunbylisha kadri atakavyo, awe MC, mchungsji, DJ, mpiga debe nk, kama umesoma vitu vigumu harafu unazidiwa na asiesoma kufanya vitu rahisi,hapo kuna shida!
Miaka hiyo, nimeanza, chuo, mwaka wa pili, nikarudi kwa, anko, likizo,nikakutana na binamu yangu katoka kijijini, yupo hapa dar anauza mitumba, siku moja, akaniambia nimsaidie kuandika business plan, anataka kutafuta mtaji afungue biashara ya sterionery na vibanda vya kupiga simu,
Nilibaki nimetoa macho! Sijuhi kitu!
Akaona akasome English course, akaandika mchanganuo wake, akaomba pesa kwa ndugu, marafiki, akafungua biashara zake, akaacha kuuza mitumba, akawa anasimamia stationery zake,akahama pale hm, akapanga kimara,subuh anafungua ofc zake, anakagua mahesabu, anaacha wadada wanaendelea kufanya kazi, akaenda zake Kulala hm,
Mwaka mmoja tu, alikuwa ameishatengeneza ukwasi wa kutosha, akaagiza container ya computer afungue internet cafe, akapoteza maisha!
Kijana wa std 7,lakini nilikuwa na mpiga vizinga vya pocket money, boom likichelewa!
Wasomi wa bongo, stop winning, and shape up, we are disgrace, alichoongea Doto magari, kina ukweli ndsni yake,