Hii kisheria ipoje? Simba haiwezi kutafuta tafsiri ya kisheria kwa Yanga kutumia Logo ya Simba kujinufaisha kibiashara?

Umesema bado hujaajiriwa? Hii knowledge ni kubwa sana kutokufanyiwa kazi.

Mungu akusaidie upate ajira rasmi, na kama kuna watakaopita hapa wenye uhitaji mchukueni kijana yuko vizuri.
Nimekukubali sana 🙌🏾🙌🏾
Mwambie atembee na bahasha ya khaki,
 
Sipati picha siku Yanga akamfunga Al ahly japo goli moja sijui itakuwaje uku mtaani
Ndio Al Ahly watafungwa na matokeo yatawekwa lile bango la million 5 acha hilo la million 3
 
Yangah ni timu masikini
Waache wapate visenti kupitia timu tajiri Simba
Timu Ina ofisi bondeni,ni timu hiyo?😂
 
Simba Kuna vilaza hawawezi kung'amua, Kama mo anatumia kampuni yake kutengeneza khanga za Simba na kuuza huku Simba hawapati hata Senti tano wataweza kuhoji kuhusu logo yao kutumika kwenye mabango
.
Jidanganye hvyo yule mwanasheria wa yanga hajawahi kushinda hata kesi moja ni kilaza wa kupindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…